Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu kiongozi.We nikikueleza unauchizi flani huamini
VIPI ILE MELI ILIYOTEKWA NA IRANI YENYE BENDERA YA TANZANIA VIPI???
AU HILO HUJUI ALWAZ??
MELI INA BENDERA YA ISRAEL AFU MABAHARIA NA WAMILIKI WAHINDI 🤣🤣🤣
Meli inamilikiwa na mfanya biashara mmoja nchini Israel na meli hiyo ilikuwa imepakia silaha kutokutoka Japan kwenda Israel.VIPI ILE MELI ILIYOTEKWA NA IRANI YENYE BENDERA YA TANZANIA VIPI???
AU HILO HUJUI ALWAZ??
MELI INA BENDERA YA ISRAEL AFU MABAHARIA NA WAMILIKI WAHINDI 🤣🤣🤣
Ugaidi ni neno unalitumia unavyotaka, kuua ni kuua tuUkishakuwa muislam ugaidi unakuwa rohoni mwako
Usidanganyike hakuna mabikira
Wailipue
Kipigo cha leo hicho, mtu anaenda mpaa kwenye kifaru nyie mnajinyea kwenye pampers hi aibu mtaificha wapi
View: https://youtu.be/txyL1w8awbU?si=vdP2lNi3rMOqH-_V
Meli ikishakuwa na bendera ya israel hyo ni ya israel mkuu na washaonya meli zenye bendera ya israel zisikatize hapo
We gaidi mbona kama umechanganyikiwa unaropoka ropoka au umekaribia kukata roho ovyoKwaiyo Mjapani sikuhizi anatengeneza Magari aina hizo kwenye hiyo Ship? hadi Humvee.
Nyie Waislam acheni ujinga hadi France anasema yupo tayari kuchukua wagonjwa wote awatibie Ufaransa nyie kazi yenu kupiga kelele kwenye Keyboard
Mbona unatumia nguvu nyingi kudanganya wakati habari zimeenea kote dunianiMeli hata sio ya muisrael wala hakuna myahudi ndani yake?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Apigwe mawe mpaka anyewewe mshabiki mandazi utajua nini.
Mambo yanamuendea kombo netanyahu hana pa kushikaIsrael anajua kazungukwa na maadui waliokaririshwa itikadi uchwara Ndo maana hana mda wa kuskiliza UN sijui UNICEF ni kupiga tu gaidi hana umri
Wapo kwenye mbingu ya matofali ya kuchomaUkishakuwa muislam ugaidi unakuwa rohoni mwako
Usidanganyike hakuna mabikira
kamungu kazinzi kameandaa mabikira dunia Ina maajabu yakeMabikra kuwapata ni cost
Unadhani utawapata Kwa kuimba mapambio ?
Al Aqsa brigade lipo wapiUkraine kimyaaa kama hakuna kinachoendelea.Intifada,Muqawama ,Mazayuni,Maroketi.
Na kiingereza chake kibovuSasa mbona unapanic 🤣
HawadhubutuHao Wajapani wawaachie waende zao, ila hiyoo meli waitie kiberiti