Meli ya Israel yatekwa Yemen
Dini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
Hao Yemen wanajitia vidole wanacheka wenyewe,hawana impact yoyote kwenye hii vita ni kutaka atention tu km na wao wapo.
Waache tu fagia fagia Gaza leo inaisha wasije kuloloma tu hapo badae.
 
Mimi ninamuona anayewaza kama wewe kuwa ni mtu mjinga.kwa sababu magaidi wote wametengenezwa na Marekani na ushahidi umo hata osama alikuwa kijana wa CIA.mimi ni mkristo lakini najua hakuna watu wapenda amani na wachamungu kama waislamu.
Unatumia kipimo gani kufika hitimisho hili?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Meli ya Israel imetekwa na Wapiganaji wa Houthi ikiwa na ma baharia wa Kijapani, hii imefuatia tangazo la hivi majuzi kuionya Israel kua meli zake zote zitalipuliwa zikikatisha Yemen [emoji779] [emoji1267][emoji1134]Israeli Ship Seizure Update

Israeli media confirmed that Houthis attacked a ship that is partially owned by an Israeli company and now have control of it.

The source claimed that there were no Israelis on the ship - only Japanese.

RiseGSView attachment 2818835
Hao ni magaidi tu kama alshababu
 
Hii meli ilikua imekodiwa na Japan ila inamilikiwa na kampuni ya Uingereza, imesheheni raia wa Ufilipino na mataifa mengine ila hakukua na Muisraeli, dunia ikiendelea kuwachekea hawa watu italia, nafikiri wanaofanya maandamano wanapaswa kuanza kuona matukio kama haya.
==========================

The Israel Defense Forces says the hijacking of a shipping vessel in the Red Sea by the Iran-backed Houthis in Yemen is a “very serious incident on the global scale.”

It says the ship was sailing from Turkey to India with an international civilian crew, without any Israelis aboard.

“This is not an Israeli ship,” the IDF adds.


The military directly blames the Houthis for the hijacking.
There are no Israelis among the crew aboard the Galaxy Leader ship. Arabic-language media outlets say there are 52 crew members aboard the vessel.

The Bahaman-flagged vessel is registered under a British company, which is partially owned by Israeli tycoon Abraham Ungar, who goes by Rami. The vessel was leased out to a Japanese company at the time of the hijacking.

The Iran-backed Houthis have vowed to target Israeli-linked vessels in the Red Sea.
Ulitaka Israel wasemeje?
 
Dini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
Kabsa,mm pia nlikua mtu wa dini sana lakin nlikuja kugundua too much is harmful,cjui nielezeeje lakin usipo makinika inaweza kudestroy... humanity kwasabab sio wote wanaongoza hizo dini sio wa Mungu
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kuna wapumbavu humu wanafikiri kola anaye mchukia Israel ni mwisilamu,huo ni ujinga na upotofu wa fikra,mie ni mkristo mkatoliki,lkn naichukia sana Israel juu ya yale inayoyafanya Israel kwa mda mrefu.ni uonevu,unyanyasaji na ukandamizaji mkubwa.wayahudi ni zaidi ya makabulu wa afrika kusini.yeyote yule mpenda haki bira kujali dini yake,anamchukia Israel.
 
Makomandoo wa kizungu waede kuokoa mateka na meli yao au zile muvi zao huwa ni uongo,wanashindwaje kwenda kupambana na hao wanamgambo wa kihuth badala ya kubaki wanalialia kwenye media
 
Kuna wapumbavu humu wanafikiri kola anaye mchukia Israel ni mwisilamu,huo ni ujinga na upotofu wa fikra,mie ni mkristo mkatoliki,lkn naichukia sana Israel juu ya yale inayoyafanya Israel kwa mda mrefu.ni uonevu,unyanyasaji na ukandamizaji mkubwa.wayahudi ni zaidi ya makabulu wa afrika kusini.yeyote yule mpenda haki bira kujali dini yake,anamchukia Israel.
nadhani wewe ndio mpumbavu kwa kudhania watu ndio wanavyowaza.. fanya kwenza kutafuta maoni ndio uje na results yako bwege we.. Uislam na waislam wanasema waziwazi misikitini na vyombo vya habari kuwa lazima wawasaidie waislam wenzao wa Palestina na sio wa Sudan au huo china ndio jambo la kushangaza
 
Hii meli ilikua imekodiwa na Japan ila inamilikiwa na kampuni ya Uingereza, imesheheni raia wa Ufilipino na mataifa mengine ila hakukua na Muisraeli, dunia ikiendelea kuwachekea hawa watu italia, nafikiri wanaofanya maandamano wanapaswa kuanza kuona matukio kama haya.
==========================

The Israel Defense Forces says the hijacking of a shipping vessel in the Red Sea by the Iran-backed Houthis in Yemen is a “very serious incident on the global scale.”

It says the ship was sailing from Turkey to India with an international civilian crew, without any Israelis aboard.

“This is not an Israeli ship,” the IDF adds.


The military directly blames the Houthis for the hijacking.
There are no Israelis among the crew aboard the Galaxy Leader ship. Arabic-language media outlets say there are 52 crew members aboard the vessel.

The Bahaman-flagged vessel is registered under a British company, which is partially owned by Israeli tycoon Abraham Ungar, who goes by Rami. The vessel was leased out to a Japanese company at the time of the hijacking.

The Iran-backed Houthis have vowed to target Israeli-linked vessels in the Red Sea.
Pole sana
 
Back
Top Bottom