Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni katika harakati za kuimarisha uhisiano wa kiulinzi meli hii kubwa ya kijeshi kutoka USA inafika bandari Salama ikiwa ni zaidi ya muongo mmoja kutokea kwa tukio hili.
View attachment 2323433
Mbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.Hata USA afanyeje, Tz is pro Russians.
nawewe ungejiita chef ingekua poa sana. Vitu vyako wewe chef vipya huwaga unazinduliaga Moscow au unazinduliaga hapahapa bongo?Mbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.
Sawa Mrusi wa Buza, tuambie basi hao Warusi wenzio huwa wanatusaidia nini au kutukopesha? Hivi mama ataenda Moscow lini kutuletea mafuta ya bei poa na ngano?? [emoji12] [emoji12]Hata USA afanyeje, Tz is pro Russians.
nazan wanakuletea vifaa vya kudukua mawasiliano ya simu ya watu ili watu wakiongea kwenye simu, sms na mawasiliano yao yawe yanapitia kwa pwiloInakuja tupu ila itarudi na mzigo kweli bongo lala hapo utakuta wameleta condom.
Amekugonga mara ngapi bila ya kukupa hela?Angekuepo Makonda angesema yeye ndio kafanya juhudi za kuileta
Pro -Russia wa kwenye karatasi tu ?... Labda Pro-China tena sababu ya Ccm ili ibakie kwenye mamlaka.Hata USA afanyeje, Tz is pro Russians.
Wewe mbwa Naomba uishie hapo hapo! TafadhaliAmekugonga mara ngapi bila ya kukupa hela?
pro-kawePro -Russia wa kwenye karatasi tu ?... Labda Pro-China tena sababu ya Ccm ili ibakie kwenye mamlaka.
Sawa Mrusi wa Buza, tuambie basi hao Warusi wenzio huwa wanatusaidia nini au kutukopesha? Hivi mama ataenda Moscow lini kutuletea mafuta ya bei poa na ngano?? [emoji12] [emoji12]
Kumbe hili nalo ni sifa?Angekuepo Makonda angesema yeye ndio kafanya juhudi za kuileta
labda wanakuja kwasababau wamevutiwa na saa yako iliyopo kwenye avatarCCM watasema meli inakuja kwa sababu ya mvuto wa sinema ya Royal Tour!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]labda wanakuja kwasababau wamevutiwa na saa yako iliyopo kwenye avatar