Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Mbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.
Kwani royal tour ilikuwa ni ziara ya kiserikali ya kwenda kuomba misaada ??!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.
Mzee wa kitengo cha kufowadi sms za sensaMbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.
Tunanufaikaje kama nchi?Ni katika harakati za kuimarisha uhusiano wa kiulinzi meli hii kubwa ya kijeshi kutoka USA inafika bandari Salama ikiwa ni zaidi ya muongo mmoja kutokea kwa tukio hili.
🤣Angekuepo Makonda angesema yeye ndio kafanya juhudi za kuileta
Ipo liverpool saiv nyuma ya mtumbwiHiyo meli ipo wapi hapo? Au nyuma ya huo mtumbwi kwenye picha
US ndio kuna soko kubwa la utalii; Kwani Tanzania ikitaka kutangaza biashara ya mahindi itaenda uganda?Mbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.
Kama ile ya ChinaInakuja tupu ila itarudi na mzigo kweli bongo lala hapo utakuta wameleta condom.
Jiulize wewe mwenyewe utanufaikaje pale EX wako atakapokutembelea halafu jijibu mwenyewe hilo swaliTunanufaikaje kama nchi?
Je Urusi akiomba naye atutembelee kwa nia hiyo tutamkubali?
Vipi ikitokea na China anataka kufanya vivyohivyo?
😂😂😂Ipo liverpool saiv nyuma ya mtumbwi
Soko kubwa la utalii halipo US.US ndio kuna soko kubwa la utalii; Kwani Tanzania ikitaka kutangaza biashara ya mahindi itaenda uganda?
Wanaweza kuomba waje kuzimua ziara ya hawaChina walikuja 2015
IrrelevantJiulize wewe mwenyewe utanufaikaje pale EX wako atakapokutembelea halafu jijibu mwenyewe hilo swali
Umeua nyoka kwa kumpiga kichwaniMbona Samia kaenda US lakini hajaenda Russia? Nafikiri angezindua Royal Tour yake Moscow, ingekuwa poa zaidi.