Meli ya mafuta ya Ugiriki yakiuka marufuku ya kusafiri kwa bandari za Israel yalipuliwa.

Meli ya mafuta ya Ugiriki yakiuka marufuku ya kusafiri kwa bandari za Israel yalipuliwa.

Achana story za vijiweni tumia akili yako kufikiri, wazungu hawawezi kumpenda kiongozi yoyote wa africa mwenye mtizamo wa kujikomboa kutoka utegemezi wao, wanaishi kwa riba na kuiba resources, gaddafi aliifikisha libya kuwa na maisha bora kuliko hata ulaya na hakuna nchi ya africa ambayo haijasaidiwa na gaddafi
Sikiliza mahojoano ya museveni kuhusu kilichotokea libya na yule ni mkristo kama wewe, acheni kuabufu wazungu tumieni akili mlizopewa na mungu, mkiambiwa muwe mashoga ili mpewe msaada mnakuwa wakali huku mnaabudu wazungu bila ya kufikiria, when u want to kill a dog u have to give it abad name
Gaddafi alipoingia madarakani Libya kitu cha kwanza kupiga marufuku ni uwepo wa makanisa inshort alipiga marufuku ukristo usiwepo.
Alianza na Libya kwanza lakini agenda yake ilikua ni bara zima la Africa
 
Gaddafi alipoingia madarakani Libya kitu cha kwanza kupiga marufuku ni uwepo wa makanisa inshort alipiga marufuku ukristo usiwepo.
Alianza na Libya kwanza lakini agenda yake ilikua ni bara zima la Africa
Hapana mkuu sidhani kama upo sahihi maana alizisaodia nchi nyingi sana africa ambazo zina wakristo wengi mfano uganda 85% ni wakristo na kimsingi 80% za nchi za kiafrica zimesaidiwa na gaddafi, ni kutaka kujustify wizi wao wanatengeneza story za uongo, gaddafi alitaka africa iwe moja itumie currency yake iachane na dollar na kutumia mifumo ya kifedha ya wazungu ambayo ni ya kinyonyaji, unajua nchi yako kwamba hizo arv ambazo wewe jnapewa bure serikali yako ina mkataba wa kukulipia kila mwaka huko kwa wazungu
Kuna mifumo kandamizi na riba za ajabu wazungu wameziweka ili tuwe tegemezi milele
Magufuli alijaribu kupambana na mfumo ,ula hawa jamaa ukijaribu kupambana nao lazima uwe na mwisho mbaya ,brics wanajaribu kupambana na mfumo ila sioni wakitoboa
 
Wa kuhurumia ni wanawake na watoto wa Yemen kwa sababu wenyewe ndio wataponzwa na hao magaidi na kama kawaida allah hawezi kutoa msaada wowote madhila yakiwafika.

Time will tell.
Firauni alikuwa ana nguvu kuliko USA na alifikia kujita yeye ni Mungu mkubwa 😄

Kama Yesu kakunjwa katundikwa na wa Israel, mnavyo dai, afu mkadai kafa kwa kujitolea ili mfutiwe dhambi zenu haha. Uwongo wazi wazi mtu katundikwa msalabani mkasema Yesu kajitolea kufa kwa ajili yenu, wakati aliye kufa ni mwingine mkamzika afu mkadai kafufuka mlimuona katoka kaburini.

Si bora Allah wetu tunafahamu anavyo tusaidia, we unaye sema hatusaidii, wewe tuambie Yesu kakusaidia nini, hebu tuonyesheni Yesu kawasaidia nini? Kelele kila siku Yesu. Yesu kama Yesu ndio Mungu wenu basi Mungu wenu kisha kufa. Hamna Mungu kwa sasa, na kufuka ni ndoto tutafufuka naye nasisi tukisha kufa, siku ya kiama. Hio ndoto mnayo sema Yesu atarudi duniani endeleni tu kuiota.
 
Achana story za vijiweni tumia akili yako kufikiri, wazungu hawawezi kumpenda kiongozi yoyote wa africa mwenye mtizamo wa kujikomboa kutoka utegemezi wao, wanaishi kwa riba na kuiba resources, gaddafi aliifikisha libya kuwa na maisha bora kuliko hata ulaya na hakuna nchi ya africa ambayo haijasaidiwa na gaddafi
Sikiliza mahojoano ya museveni kuhusu kilichotokea libya na yule ni mkristo kama wewe, acheni kuabufu wazungu tumieni akili mlizopewa na mungu, mkiambiwa muwe mashoga ili mpewe msaada mnakuwa wakali huku mnaabudu wazungu bila ya kufikiria, when u want to kill a dog u have to give it abad name
Hakuna msaada wowote alioutoa dikteta Gaddafi kwa nchi za Afrika, labda misikiti aliyowajengea waislam Dodoma na Butiama.

Kumbuka alileta askari wake nchini Uganda ili wamsaidie dikteta mwenzake Amin kuua watanzania na matokeo yake wakatekwa na wengine kuuliwa.
 
Hakuna msaada wowote alioutoa dikteta Gaddafi kwa nchi za Afrika, labda misikiti aliyowajengea waislam Dodoma na Butiama.

Kumbuka alileta askari wake nchini Uganda ili wamsaidie dikteta mwenzake Amin kuua watanzania na matokeo yake wakatekwa na wengine kuuliwa.
Hata waingereza walicharaza babu zako viboko ,kwenye historia hakuna aliyeua na kudhalilisha watu kama mzungu
Ila gaddafi ataendelea kukumbukwa africa nzima kwa misaada yake na vision ambayo sasa hivi wazungu wamefanikiwa kutugawa na kuendelea kutunyonya, sasahivi african union imekuwa kama jina tu ,ila gaddafi alikuwa na vision ya kutaka africa ijitawale na alifanikiwa kuifanya libya kuwa taifa bora kuliko mataofa mengj ya ulaya kwa hali ya maisha ya watu wake
 
Hata waingereza walicharaza babu zako viboko ,kwenye historia hakuna aliyeua na kudhalilisha watu kama mzungu
Ila gaddafi ataendelea kukumbukwa africa nzima kwa misaada yake na vision ambayo sasa hivi wazungu wamefanikiwa kutugawa na kuendelea kutunyonya, sasahivi african union imekuwa kama jina tu ,ila gaddafi alikuwa na vision ya kutaka africa ijitawale na alifanikiwa kuifanya libya kuwa taifa bora kuliko mataofa mengj ya ulaya kwa hali ya maisha ya watu wake
Hamna lolote huyo alikuwa anauchuuza uislam tu na kukomalia madarakani hadi watu wake walipomng'oa.
 
Huyo jamaa alikuwa mdini sana na dikteta. Alileta askari wake Uganda ili wamsaidie dikteta mwenzake Amin kuua watanzania na matokeo yake wakatekwa.

Huyu alikuwa ni kiongozi moja wa hovyo sana na ndio maana wananchi wake wakamuua baada ya kukatalia madarakani kwa miaka 42. Bure kabisa.
Yes alikua mdini balaa halafu eti anajifanya kuliunganisha bara la Africa.
Afadhali walimfyekelea mbali
 
Hapana mkuu sidhani kama upo sahihi maana alizisaodia nchi nyingi sana africa ambazo zina wakristo wengi mfano uganda 85% ni wakristo na kimsingi 80% za nchi za kiafrica zimesaidiwa na gaddafi, ni kutaka kujustify wizi wao wanatengeneza story za uongo, gaddafi alitaka africa iwe moja itumie currency yake iachane na dollar na kutumia mifumo ya kifedha ya wazungu ambayo ni ya kinyonyaji, unajua nchi yako kwamba hizo arv ambazo wewe jnapewa bure serikali yako ina mkataba wa kukulipia kila mwaka huko kwa wazungu
Kuna mifumo kandamizi na riba za ajabu wazungu wameziweka ili tuwe tegemezi milele
Magufuli alijaribu kupambana na mfumo ,ula hawa jamaa ukijaribu kupambana nao lazima uwe na mwisho mbaya ,brics wanajaribu kupambana na mfumo ila sioni wakitoboa
Huyo dikteta ni kweli alikua na nia ya kuunganisha bara la Africa lakini nyuma ya pazia alikua na agenda zake za udini.
Alifadhili vikundi vya kigaidi ili kueneza dini yake hasa west africa pamoja na ukanda wa Sahel.
Alimsaidia Iddi Amin kwenye vita vya Uganda kwa kigezo cha udini.
 
Back
Top Bottom