Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wanaukumbi.
Ansar Allah ya Yemen AILIPUA meli ya mafuta ya Ugiriki katika Bahari Nyekundu kwa kukiuka marufuku ya kusafiri kwenda bandari za Israel.
Yemen wamesema wazii kabisa hawataki kuona Meli yeyote ikipita red sea kupeleka bidhaa zozote Israel kwa wauaji wa Watoto wa Gazza.
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1827129076798067032?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mkiliwa vichwa mnaanza kujiliza