Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Putin sio binadam ndani yake anaongozwa na roho ya ukatili ambao muda sio mrefu utamgeukia. Nataka dunia yote ijuwe Mungu yupo Putin must go by God sake
Ingekuwa ni Mrusi na mataifa mengine tungetarajia hayo unayosema.Lakini kwa vile Marekani taifa lililolaaniwa kwa kuwapa nguvu mayahudi naye anajitia kimbele mbele katika hii vita sina shaka yoyote Mrusi ndiye atakayeibuka kidedea. Wote wawili si wema.Lakini Marekani ni muovu zaidi.Na katika ahadi za Mwenyezi Mungu daima haimpi nguvu aliye dhalimu.
 
moderators waanze kusafisha watu km ww , mnaharibu radha ya jf , jf ilikuwa tamu enzi za kila mtu anashusha nondo mpk unahisi umefika sehemu husika , ila watu wa jamii yetu mnaleta utoto wa fb huku jf
utoto ni wewe unayezani kufungiwa akaunti ndio sululisho kuna option inaitwa "create account" naweza kukufungulia id kwa ajili yako hadi uchukie hii platform.
 
Bila shaka utakua unavaa kubazi
 
utoto ni wewe unayezani kufungiwa akaunti ndio sululisho kuna option inaitwa "create account" naweza kukufungulia id kwa ajili yako hadi uchukie hii platform.
kwann ufikirie mbali kote huko , ukijiheshimu unapoteza nn ? hii ni sehemu ya kubadilishana mawazo na sio sehemu ya kulazimisha fikra zako kwa wengine , ukiona mtu haupo nae epuka lugha chafu tupo watu wazima humu japo sijui rika lako , so reply like adult
 
sasa Kama upo kwa ajili ya kubadilisha mawazo mbona hayabadiliki sasa. Unadhani kila mtu humu anaogopa ban
 
Hii ndio matokeo ya kujificha kwenye mashule, magaidi wanajificha kwenye mashule matokeo yake wamepigwa ISKANDER wote wamezikwa kabisa[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]

Russian rocket hit into the school building of the village. Belogorovka in the Popasnyansky district. At this time, 30 DEMILITARISED Ukrainian military have been dug out from under the rubble. Another 60 are being dug up.
THIS IS WHAT HAPPENS WHEN [emoji1255]HIDE IN SCHOOLS[emoji116][emoji116][emoji116] https://t.co/kzL1TwQqq8

Nyinyi endeleeni kujitungia ngonjera mkizileta humu kwa njia ya kujifariji, sisi tunaendeleza kichapo
 
Kwann hii habari haijawa maarufu duniani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…