Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

***** sasa Putin mbona una putout tena. Mambo ya kuremba mashoga mwishowe nawe uwe kama wao.
Khaa kuungua Moto kitu gani mbona karume na kariakoo paliungua.
Putin go fire fire fire (ila Leo tumekamatika)
 
Hii twitter post ni sehemu ya propaganda!! Hakuna kitu kama hicho. Haiwezekani habari kubwa kama hiyo isionekane kwenye vyombo vikubwa vya habari vya magharibi kama CNN na BBC. Pia Al jazeera hawana habari kama hiyo!! Ni mtu tu kaamua kupost habari hii kama sehemu ya vita vya kisaikologia!!
Acha kutatalika kama mabisi Kama hutaki basi kaa kwa kutulia ule mlenda wako
 
Hawa jamaa utawajua kabisa kama wanamaumivu makubwa na wamepoteza, si wao tu hata NATO kwa ujumla, mavikwazo yamewaishia wanaona Urusi bado anaendeleza operations zake hata habari hana, mpka papa kaenda kumuangukia Putin bado kagoma [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23], sasa basi wakiripua kihelikopta kimoja wanavyofurahi na kupiga mayoe utazani wameshinda vita, yaani inakua ndio nyuzi zao za kujifariji kuwa tumepiga kitu flani yaani mpaka bbc ndio habari yao kubwa[emoji16], sasa ujue kuwa jamaa wanakula kichapo sana wakipata wao mara1 wanasema Urusi kashindwa vita kwa kitu chake kimoja kudunguliwa
Usiamishe magoli.....taarifa huko meli inaungua Kazime moto kenge wahed
 
Oyaaaa [emoji23][emoji23]

[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
Sasa bro si aibu hii wenzie wali clear anga la iraq ndani ya wiki hakuna nzi paa yeye hadi kwenye huu mwezi Ukrain bado anadunda angani?
 
Hizi dharau sasa, fanya kweli Putin! Piga popote pale, iwe hospitali, shuleni, kanisani, msikitini, piga popote ili mradi pawe Ukraine!
 
Download habari saa 7 mchana Ujerumani, Putin anasema mataifa ya ULAYA na US wanacherewesha operation yake, malengo yapo palepale na wanachokifanya ni Vita ya Dunia ya Njaa .
MADHARA :
UK Chama tawala kimeshindwa vibaya ktk Serikari za Mitaa na Majimbo ni sababu ya mfumuko wa bei iliyokithiri.
USA, USHAWISHI WA RAIS WAO umeporomoka baada ya Wananchi wake kulishwa propaganda bila uhalisia ktk uwanja wa Vita.
Haijazibitika
 
Hiyo meli imezushiwa kupigwa Neptune tokA mwanzoni mws Vita. Ni ajabu hili limerudi Tena na pengine Ni ukweli ama Ni uzushi.
Nb. Meli hi inayozushiwa anguko Ni meli ya kisasa na mpya zaidi katika Russian Marina .
Hivyo basi Kama itakua kweli Kama rumours zinavyosema basi Ni pico kubwa RF
 
Ukraine wako vizuri kimbinu za kivita eneo.la maji tayari wameshaonyesha superiority kivita

Wanabomoa meli zile ambazo ndio.uti wa mgongo na pride ya Jeshi.la urusi na warusi

Hizo meli walizobomoa lila mrusi anajizojua.kuwa ndizo baba zao kivita
 
***** sasa Putin mbona una putout tena. Mambo ya kuremba mashoga mwishowe nawe uwe kama wao.
Khaa kuungua Moto kitu gani mbona karume na kariakoo paliungua.
Putin go fire fire fire (ila Leo tumekamatika)
Putin = NATO , sizitaki mbich hiz
 
unajikana tena we lesbian
moderators waanze kusafisha watu km ww , mnaharibu radha ya jf , jf ilikuwa tamu enzi za kila mtu anashusha nondo mpk unahisi umefika sehemu husika , ila watu wa jamii yetu mnaleta utoto wa fb huku jf
 
Hiyo meli imezushiwa kupigwa Neptune tokA mwanzoni mws Vita. Ni ajabu hili limerudi Tena na pengine Ni ukweli ama Ni uzushi.
Nb. Meli hi inayozushiwa anguko Ni meli ya kisasa na mpya zaidi katika Russian Marina .
Hivyo basi Kama itakua kweli Kama rumours zinavyosema basi Ni pico kubwa RF
meli iliyolipuliwa mwanzon ni tofauti na hii
 
Meli ya Urusi maarufu Kama Admiral Grigorovich ya Wanamaji inaungua karibu na kisiwa cha Zmiiny katika Black sea , ndege za uokoaji za Urusi zinaendelea na juhudi za kuzima moto

View attachment 2213776

The Admiral Grigorovich class, ambayo pia ujulikana Kama Krivak IV class, Russian designation Project 11356R/М, ilijengwa na the Yantar Shipyard huko Kaliningrad Kwa ajili ya shughuli za kivita za Urusi majini ( the Russian Navy and Indian Navy), Kwa gharama ya 450-500 mill$. Kwa viwango Talwar class ipo inaungua sasa

View attachment 2213778
Chanzo cha mlipuko bado hakijajulikana




Habari inawakera warusi wa Kibaigwa ila hatuna jinsi

Britanicca

Putin sio binadam ndani yake anaongozwa na roho ya ukatili ambao muda sio mrefu utamgeukia. Nataka dunia yote ijuwe Mungu yupo Putin must go by God sake
 
Back
Top Bottom