Meli ya Vitabu Bandari ya Dar es Salaam "Mv Logos Hope" yaingia tena baada ya miaka 7

Ila kwa upande wangu uwa naona hilo duka la vitabu halina cha ajabu kiviiiile sema labda kwa sababu duka lenyewe limo ndani ya meli. BTW hivi ule mgahawa mle ndani ndiyo mgahawa "wa kimataifa"? Safarii hii hapo dukani nimewanunulia watoto series kadhaa za The Famous Five, Nancy Drew n.k. na kila kitabu nimekinunua kwa unit 200 ambazo ni sawa na TZS 12,000/=.
 

Kuna maajabu gani mengine
 
Kwaiyo vile vitabu vizuri vinapatikana ? Kama vya The power of subconscious mind n.k? Law of Attraction , Big think , RICH DADY POOR DADY ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…