Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😄😃😀 Anafungua Mpaka Tuje TulipukeAnafungua nchi !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😃😀 Anafungua Mpaka Tuje TulipukeAnafungua nchi !
Acha uongo !!!!kwa protocol hiyo akuna kichwa cha treni kingeokotwa bandariniHakuna meli inayoweza kuingia bandari ya nchi yoyote bila kutoa taarifa na kupewa ruhusu. Ni pamoja na kutoa taarifa ya kila kitu kilichopo ndani ya meli pamoja na idadi ya crew member na wasifu wao.
Hivyo kama walisha call inn bandari ya Dar it means all protocols and security clearance have been in place.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Radioactive ndio vile viredio vya blutooth
Haya mtaalamu wa nuclear meli inakuja kafanye kazi.Ma ngwini fanyeni kazi zenu za ki ngwini na mtuache ma scientist tufanye kazi zetu za ki science. Tatizo lenu mangwini kila ngoma mnaoyo pigiwa ni lazima muicheze. For sure hata category za radio active material huzijui….
Well, kama unataka kujifunza kitu kaa Kwa kutulia. Kwanzaa nilishapuuza hii Habari baada ya kautafiti kadogo tu. Ila Kwa kuwa umequote acha nikwambie.Acha uongo !!!!kwa protocol hiyo akuna kichwa cha treni kingeokotwa bandarini
Eti wanasema yakuwashia taa.Ni manini hayo wakuu, kuuliza si ujinga
bomu lililo lipua ubalozi wa marekani lilianza kutengenezwa science - kijitonyama kwenye garage ya M.M ya yule mzee wa kichagga,Al Shabaab na makurdi mengine ya kigaidi yanaweza kuteka meli hiyo na kupora hiyo malighafi muhimu kwao.
Bomb lililolipua ubalozi wa USA 🇺🇸 lilitengenezwa Ilala jirani na kwa kina Ikupa Paighty Mwainyekule
Imebeba taka za sumu ya kinukilia!MBONA HUELEWEKI MKUU??? HEBU KUNYWA MAJI AFU UJE TENA