Tetesi: Meli yenye kubeba Radioactive ipo njiani kuja Tanzania

Tetesi: Meli yenye kubeba Radioactive ipo njiani kuja Tanzania

wabongo walivyokuwa wanapenda dili, unaweza kuta washakula chao mwezi mzima wanakula bata Kidimbwi hata hawana habari kama container lenyewe lineshushwa au vipi....

Wasije wahuni wakatelekeza kama walivyotelekeza pale Beirut....
 
Waziri wa Afya wa Kenya amethibitisha kuwa kuna meli yenye shehena ya Radioactive imepita Kenya na inaelekea Tanzania. Je serikali ya Tanzania inataarifa ya meli hiyo?



====

Kenya secures ship suspected to be carrying radioactive substances
Saturday, December 18, 2021
Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe
Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe. He has ordered the quarantining of a cargo ship in Mombasa. Photo credit: File | Nation Media Group

Kenya Nuclear Regulatory Authority (KNRA) has secured a cargo ship in Mombasa that is suspected to be carrying radioactive substances.

KNRA Director General Joseph Maina said his authority is verifying the container on board MV Seago Piraeus voy which is docked at the port of Mombasa.

“We are in the process of getting the samples to determine the substance after suspicion of some radioactive materials. We have taken all measures as we work with other multi-agency teams to do tests whose results will be made public,” said Mr Maina.

In a statement, Mr Kagwe said the ship poses a “serious threat to the health and lives of Kenyans by the emission of radiation”.

Public Health Act
He also ordered the director-general for health and the port health officer in Mombasa to inspect any part and any load in the ship and medically examine all the people aboard the ship.

Kenya said it will compel all those on board to answer any question asked as per sections 60 and 62 of the Public Health Act.

On December 15, 2021, a multi-agency team consisting of officials from Kenya Ports Authority, Kenya Maritime Authority (KMA), Kenya Coast Guard Services and Port officials, immigration, Kenya Revenue Authority (KRA), Kenya Bureau of Standards (Kebs) and those from KNRA met to address the issue.

Kenya is a signatory of the Indian Ocean Memorandum of Understanding (IOMOU) and it has an international obligation to prevent, intercept, interdict and combat illicit trafficking of radioactive and nuclear material and proliferation of weapons of mass destruction, having ratified international instruments.

KMA Director General Robert Njue said the matter is a public health concern and is now being handled by KNRA.

“KMA was informed of the container with radioactive materials on 15th December, from a vessel at berth 21, the KPA called for a joint boarding of the vessel by a multi-agency team with the aim of getting information about the container. The team met with the vessel captain and senior officers where they were briefed about the container,” said Mr Njue.

Dangerous goods
The DG said the container was reported to have been loaded in Mumbai, India, being a transshipment to Tanzania, the container was undeclared as dangerous goods, the container was declared as dry cargo.

According to the KMA, the vessel had been inspected in July, 2021 under the IOMOU and found with NIL deficiencies.

“The vessel was found with a document of compliance for the carriage of dangerous goods. The team therefore tasked KNRA to take up the issue of the container with radioactive materials which was already discharged from the vessel and was secured in the yard at berth no. 21,” said Mr Njue.

The ship is said to have sailed under a Denmark flag and that in the past one month it has been to Kenya, Oman, India and Pakistan. At the time of the site’s last tracking of the ship on December 2, the ship was in Mundra, India.

akitimo@ke.nationmedia.com

 
Mzigo gani huo?
Usije kuwa wa Omicron [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu ukitua tu unafuata njia ya kile kimbunga Jobo.
Unacheka, wabongo bana, unapewa taarifa ya kitu kinachoweza kuangamiza maisha yako au kukupa magonjwa unachukulia masihara
 
Hii kama ni kweli ni Serious issue, nashangaa wadau tunachukulia poa..., hii inaweza kuwa watu wamelipwa ili kuja ku-dump hizo sumu sababu wanapotoka jinsi ya ku-dispose hizo waste ni gharama na ni hatari huku kuwaacha waje ni kujiua na kujiletea madhara hapo mbeleni

Ila hata kwao wanaoleta ni wapuuzi na wana upeo mfupi ni kama kujisaidia sebuleni sababu wewe upo chumbani unasahau kwamba mwisho wa siku harufu itafika
Kwa watanzania na waafrika kwa ujumla, kila kitu hakiko serious mpaka kimuathiri direct. Na sio direct tu, maana kikimuathiri direct atajua ni mabadiliko ya hali ya hewa tu, mpaka apewe na taarifa pia, kua unaumwa kitu fulani kwa sababu ya kitu fulani. Otherwise tumebaji kama walking morons. Inasikitisha
 
Tumshukuru Mungu huenda maisha yetu yatabadilika.
 
Hii mbona sioni watu wanawajibishwa yaani hii issue inachukuliwa poa tu, wahusika washikwe, washitakiwe na walipe fidia kubwa ili iwe funzo kwamba Tanzania is not a dumping ground (tena sio Tanzania tu, bali ulimwengu mzima sababu sumu hata ikitupwa India eventually itatuathiri na huku)
 
Yaani Meli imekamatwa Kenya wewe unasema ipo njiani kuja Tanzania, huwa mnawashwa makalio au ni nini?!
 
Yaani Meli imekamatwa Kenya wewe unasema ipo njiani kuja Tanzania, huwa mnawashwa makalio au ni nini?!

Tuliza munkari, hiyo meli ni kweli ilikuwa njiani kuja Tz ila imerudishwa Kenya kama sikosei ni jana au juzi.
Kuna clip ya taarifa ya habari ya ntv niliona jana
 
Tuliza munkari, hiyo meli ni kweli ilikuwa njiani kuja Tz ila imerudishwa Kenya kama sikosei ni jana au juzi.
Kuna clip ya taarifa ya habari ya ntv niliona jana
‘Ilikuwa inakuja’ , ‘inakuja’ we unaona ni vitu viwili vyenye maana sawa si ndio?
 
Kweupeeh...

Meli ya Tani zaidi ya tano za ngada..imekuja tz ..watu kimyaa..


Na bado..
 
Hii mbona sioni watu wanawajibishwa yaani hii issue inachukuliwa poa tu, wahusika washikwe, washitakiwe na walipe fidia kubwa ili iwe funzo kwamba Tanzania is not a dumping ground (tena sio Tanzania tu, bali ulimwengu mzima sababu sumu hata ikitupwa India eventually itatuathiri na huku)
Kwa nn meli ya sumu inaletwa tanzania na taarifa haitangazwi kwenye taarifa ya habari
 
Hii mbona sioni watu wanawajibishwa yaani hii issue inachukuliwa poa tu, wahusika washikwe, washitakiwe na walipe fidia kubwa ili iwe funzo kwamba Tanzania is not a dumping ground (tena sio Tanzania tu, bali ulimwengu mzima sababu sumu hata ikitupwa India eventually itatuathiri na huku)
Ni nn asee
 
Halafu Kenya hadi wanatuonea huruma, kwamba tunaweza tukawa hatuna uwezo wa kugundua hilo. Duh! Kweli tunadharauliwa.
 
Halafu Kenya hadi wanatuonea huruma, kwamba tunaweza tukawa hatuna uwezo wa kugundua hilo. Duh! Kweli tunadharauliwa.
Imagine ni wananchi wangapi innocent hawajui kuhusu hili swala. Na je zimeisha kuja meli ngapi mpaka inakamatwa hiyo moja. Je kuna meli kibao zimeisha kuja na kumwaga radioactive material?
Je hata vyakula tunavyokula vinavyotengenezwa viwandani tuviamini, maana hata viwandani kunaweza kutokea rushwa tukachanganyiwa killer chemical.
Je nani wa kumuamini. Je hata tusipoamini serikali, ni kama bado hatuna cha kufanya kama wananchi?
 
Tuliza munkari, hiyo meli ni kweli ilikuwa njiani kuja Tz ila imerudishwa Kenya kama sikosei ni jana au juzi.
Kuna clip ya taarifa ya habari ya ntv niliona jana
Niliona taarifa, Wakenya wakiitaka irudi India inakotokea na mzigo wake.
 
Back
Top Bottom