Melkiori Mahinini, Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, aachiwa huru

Melkiori Mahinini, Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, aachiwa huru


Frateri Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, Merikiori Mahinini pamoja na mwenzake raia wa Mali, Padre Paul Sanogo wameachiwa huru usiku wa kuamkia leo Alhamis Agosti 24, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk Benson Bana amethibitisha.

Mtanzania huyo ambaye pia ni frateri wa Shirika la Wamisionari wa Afrika (White Fathers) mzaliwa wa Parokia ya Kabanga, Jimbo la Kigoma, alitekwa nyara na watu wasiojulikana Agosti 4 mwaka huu katika jimbo la Minna huko Nigeria akiwa na mwenzake raia wa Burkina Faso.

Pia, soma:
-
Mtanzania, Melchior Dominic Mahinini anayesomea ukasisi nchini Nigeria atekwa na waasi
Watu bwana, sasa mtu unaenda Nigeria unatuata nini huko? Ndiyo hawa wakitoka huko kurudi Bongo wanafungua makanisa ya kishikaji na kufuga ndondocha humo ndani na kujikusanyia makondoo kibao wakiwauzia maji ya uzima na mafuta ili wawe matajiri na kupata wachumba na bado hawafanikiwi tu.
 
Alitekekewa akiwa matembezini au wapi

Je ,kanisa au serikali wamelipa chochote hitajiwa na watekaji
 

Frateri Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, Merikiori Mahinini pamoja na mwenzake raia wa Mali, Padre Paul Sanogo wameachiwa huru usiku wa kuamkia leo Alhamis Agosti 24, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk Benson Bana amethibitisha.

Mtanzania huyo ambaye pia ni frateri wa Shirika la Wamisionari wa Afrika (White Fathers) mzaliwa wa Parokia ya Kabanga, Jimbo la Kigoma, alitekwa nyara na watu wasiojulikana Agosti 4 mwaka huu katika jimbo la Minna huko Nigeria akiwa na mwenzake raia wa Burkina Faso.

Pia, soma:
-
Mtanzania, Melchior Dominic Mahinini anayesomea ukasisi nchini Nigeria atekwa na waasi
Katoka Nigeria huyu Muha, basi subirini.....sasa hivi mtasikia anafuga misukule na kafungua kanisa lake la ufufuo na kuabudiwa na mikondoo kibao isiyojitambua akili.
 
Watu bwana, sasa mtu unaenda Nigeria unatuata nini huko? Ndiyo hawa wakitoka huko kurudi Bongo wanafungua makanisa ya kishikaji na kufuga ndondocha humo ndani na kujikusanyia makondoo kibao wakiwauzia maji ya uzima na mafuta ili wawe matajiri na kupata wachumba na bado hawafanikiwi tu.
Mkuu umeambiwa ni kanisa katoliki sio huo utapeli unaoufikiria ndio maana muhanga ametambulishwa kama frateli unaelewa frateli ni Nini? Usikurupuke
 
Mkuu umeambiwa ni kanisa katoliki sio huo utapeli unaoufikiria ndio maana muhanga ametambulishwa kama frateli unaelewa frateli ni Nini? Usikurupuke
Narudia tena, mafrateli hawa hawa mwisho wa siku ndio ufungua makanisa ya kishikaji na kuanza kuilaumu Roman Catholic ili wapate wafuasi wengi.
 
Back
Top Bottom