Tetesi: MELT group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills?

Tetesi: MELT group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills?

Ndugu zangu wana Mara katika Utafiti wangu nimegundua kuwa Mo aka Metl group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills,

Lengo la mkopo kupanua kiwanda hicho cha Musoma Textile lakini Fedha zile Mo walienda kujengea kiwanda Cha Mo energy Vingunguti,

Wanamara wote, Kwa Pamoja tuamke kulipigania hili Kwa sababu Wabunge wa Mkoa wa Mara wamekaa kimya,Mkuu wa mkoa amekaa kimya, Uongozi wa mkoa umekaa kimya miaka inaenda Kiwanda Cha Musoma hakijengwi Wala kuendelezwa,

NINAOMBA YAFUATAYO:

1: Nimtake Mo na Kampuni yake warudishe hicho Kiwanda mikononi mwa serikali Ili wawekezaji wengine wapewe kuendeleza,

2: MO ashitakiwe kama mhujunu uchumi Kwa sababu amefanya Financia loan diversion kisheria ni mhujumu uchumi

3: Nimtake Mo atekeleze lengo la mkopo ule au atulipe Watanzania Kwa kuchukua asset ya Watanzania na kuifanyia biashara kinyume na taratibu za serikali,

4: Ashitakiwe Kwa kuwakosesha wanaMara Ajira za moja Kwa moja zisizopungua 100,000 Kwa maana wakulima wangeuza pamba, serikali ingekusanya Kodi, Technolojia ingekuwa,na Mapato yangeongezeka Kwa asilimia 120 ndani ya mkoa wa Mara

4: Mkoa wa Mara tunalia Vyanzo vya Mapato kumbe Vyanzo Hivi vinahujumiwa na watu wachache.

5: Wananchi wote tuungane kuwapinga watu kama hawa Tanzania

6:. Mo aombe radhi na kutekeleza pendekezo namba 3 nililotaja hapo juu.

7: Serikali ya mkoa itoe tamko juu ya hili na kuwaomba wananchi Radhi Kwa kutokuwa makini na kutofuatilia uwekezaji wa namna hii

8: Mkopo huu umeingizwa kwenye Deni la Taifa kupitia Mikopo inayochukuliwa na sekta binafsi,Tanzania

B: Kama hayatafanyika hayo

1: Natoa siku 60 kuifikisha Kampuni hii Mahakamani ukiwa ni pamoja na kuwataarifu Benki ya Maendeleo juu ya default ya mkopo ya namna hii regardless unarejesha.

2: Serikali ianzishe uchunguzi wa hili suala kama haitafanya wananchi tutaishitaki serikali na Kampuni husika.

Ç: Naomba kuwasilisha hoja kujadiliwa Kwa upana na kupata maoni juu ya hili Kwa pamoja tupate maoni.

Wenu Mzalendo Mara

B.Marela
Kiwanda chenu si Bado kipi huko Mara au? Kwani kimeondolewa? Na nyie kakopeni mkiendeleze Sasa.

Wajinga ndio waliwao,naunga mkono Mo.
 
Umesoma argument yake? Unachukuaje mkopo Kwa business plan A kisha unaenda kutekeleza plan B? Hujaelewa kuwa anakwambia huo ni uhujumi uchumi? Maana katika justification hizo ajira lazima ziliwekwa Kwa mfano etc
Hizo businesses A na B ni mali ya nani??
 
Ila wabongo ni wajinga sana katika mambo mengi. Hata asome vipi, yaani hata awe ni Professor wa Udsm maadam ni Mbongo bado atabakia kuwa mjinga tu. Wabongo wengi akili zao hazijachangamka na ndio maana huwa wanaingizwa mkenge kirahisi sana.
 
Huo ujanja kaufanya Sana, sio Mutex peke yake hata take mashamba ya katani alichukulia mkopo lakini pesa alipeleka sehemu nyingine.
Wakati anapiga kelele kuhusu uwekezaji was Simba kukwamisha, aliyekuwa mkuu was mkoa was Mara Adam Malima aliwashangaa Simba na kusema huyu Mutex imemshindwa he Simba ataiweza.
Ila anawachota watu akili kwa kutumia mpira.
 
Lengo la mkopo kupanua kiwanda hicho cha Musoma Textile lakini Fedha zile Mo walienda kujengea kiwanda Cha Mo energy Vingunguti,
Mjinga ndio anaweza kwenda kuweka pesa kwenye kiwanda chakavu.

Yaani maviwanda yamejifia Toka enzi za Mwalimu harafu teknolojia imepitwa mtu anasema eti akakifufue,wewe unaona inawezekana?

Hayo labda yageuzwe maghala la sivyo vunja Kila kitu Anza Upya.
 
Huo ujanja kaufanya Sana, sio Mutex peke yake hata take mashamba ya katani alichukulia mkopo lakini pesa alipeleka sehemu nyingine.
Wakati anapiga kelele kuhusu uwekezaji was Simba kukwamisha, aliyekuwa mkuu was mkoa was Mara Adam Malima aliwashangaa Simba na kusema huyu Mutex imemshindwa he Simba ataiweza.
Ila anawachota watu akili kwa kutumia mpira.
ELezea kivipi alichofanya ni uhuni?
 
Hujitambui, MUTEX ingekuwa na mitambo ya maana isingekufa
Maviwanda Yako outdated, teknolojia ya enzi ya Vita Baridi harafu kuna.wajinga kabisa wanakwambia ufufue kiwanda how?

Nawapongeza waliochukua mikopo hiyo plot na kwenda kujenga viwanda vipya.
 
Oyaaa acha basi kufatilia maisha au hela za mwanaume mwenzako hasa mwenye asili ya Asia, tabia zao sio nzuri....utaliwa mkuu
 
Ndugu zangu wana Mara katika Utafiti wangu nimegundua kuwa Mo aka Metl group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills,

Lengo la mkopo kupanua kiwanda hicho cha Musoma Textile lakini Fedha zile Mo walienda kujengea kiwanda Cha Mo energy Vingunguti,

Wanamara wote, Kwa Pamoja tuamke kulipigania hili Kwa sababu Wabunge wa Mkoa wa Mara wamekaa kimya,Mkuu wa mkoa amekaa kimya, Uongozi wa mkoa umekaa kimya miaka inaenda Kiwanda Cha Musoma hakijengwi Wala kuendelezwa,

NINAOMBA YAFUATAYO:

1: Nimtake Mo na Kampuni yake warudishe hicho Kiwanda mikononi mwa serikali Ili wawekezaji wengine wapewe kuendeleza,

2: MO ashitakiwe kama mhujunu uchumi Kwa sababu amefanya Financia loan diversion kisheria ni mhujumu uchumi

3: Nimtake Mo atekeleze lengo la mkopo ule au atulipe Watanzania Kwa kuchukua asset ya Watanzania na kuifanyia biashara kinyume na taratibu za serikali,

4: Ashitakiwe Kwa kuwakosesha wanaMara Ajira za moja Kwa moja zisizopungua 100,000 Kwa maana wakulima wangeuza pamba, serikali ingekusanya Kodi, Technolojia ingekuwa,na Mapato yangeongezeka Kwa asilimia 120 ndani ya mkoa wa Mara

4: Mkoa wa Mara tunalia Vyanzo vya Mapato kumbe Vyanzo Hivi vinahujumiwa na watu wachache.

5: Wananchi wote tuungane kuwapinga watu kama hawa Tanzania

6:. Mo aombe radhi na kutekeleza pendekezo namba 3 nililotaja hapo juu.

7: Serikali ya mkoa itoe tamko juu ya hili na kuwaomba wananchi Radhi Kwa kutokuwa makini na kutofuatilia uwekezaji wa namna hii

8: Mkopo huu umeingizwa kwenye Deni la Taifa kupitia Mikopo inayochukuliwa na sekta binafsi,Tanzania

B: Kama hayatafanyika hayo

1: Natoa siku 60 kuifikisha Kampuni hii Mahakamani ukiwa ni pamoja na kuwataarifu Benki ya Maendeleo juu ya default ya mkopo ya namna hii regardless unarejesha.

2: Serikali ianzishe uchunguzi wa hili suala kama haitafanya wananchi tutaishitaki serikali na Kampuni husika.

Ç: Naomba kuwasilisha hoja kujadiliwa Kwa upana na kupata maoni juu ya hili Kwa pamoja tupate maoni.

Wenu Mzalendo Mara

B.Marela
Leta USHAHIDI tuone malalamiko ya wakopeshaji wa hizo billion!
Je, wauzaji wa kiwanda wanalalamika?
Je, huyu mbunge hapa hakujua kuwa Mutex ishuzwa?Serikali Kufufua Kiwanda cha Nguo cha MUTEX Musoma
 
Ndugu zangu wana Mara katika Utafiti wangu nimegundua kuwa Mo aka Metl group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills,

Lengo la mkopo kupanua kiwanda hicho cha Musoma Textile lakini Fedha zile Mo walienda kujengea kiwanda Cha Mo energy Vingunguti,

Wanamara wote, Kwa Pamoja tuamke kulipigania hili Kwa sababu Wabunge wa Mkoa wa Mara wamekaa kimya,Mkuu wa mkoa amekaa kimya, Uongozi wa mkoa umekaa kimya miaka inaenda Kiwanda Cha Musoma hakijengwi Wala kuendelezwa,

NINAOMBA YAFUATAYO:

1: Nimtake Mo na Kampuni yake warudishe hicho Kiwanda mikononi mwa serikali Ili wawekezaji wengine wapewe kuendeleza,

2: MO ashitakiwe kama mhujunu uchumi Kwa sababu amefanya Financia loan diversion kisheria ni mhujumu uchumi

3: Nimtake Mo atekeleze lengo la mkopo ule au atulipe Watanzania Kwa kuchukua asset ya Watanzania na kuifanyia biashara kinyume na taratibu za serikali,

4: Ashitakiwe Kwa kuwakosesha wanaMara Ajira za moja Kwa moja zisizopungua 100,000 Kwa maana wakulima wangeuza pamba, serikali ingekusanya Kodi, Technolojia ingekuwa,na Mapato yangeongezeka Kwa asilimia 120 ndani ya mkoa wa Mara

4: Mkoa wa Mara tunalia Vyanzo vya Mapato kumbe Vyanzo Hivi vinahujumiwa na watu wachache.

5: Wananchi wote tuungane kuwapinga watu kama hawa Tanzania

6:. Mo aombe radhi na kutekeleza pendekezo namba 3 nililotaja hapo juu.

7: Serikali ya mkoa itoe tamko juu ya hili na kuwaomba wananchi Radhi Kwa kutokuwa makini na kutofuatilia uwekezaji wa namna hii

8: Mkopo huu umeingizwa kwenye Deni la Taifa kupitia Mikopo inayochukuliwa na sekta binafsi,Tanzania

B: Kama hayatafanyika hayo

1: Natoa siku 60 kuifikisha Kampuni hii Mahakamani ukiwa ni pamoja na kuwataarifu Benki ya Maendeleo juu ya default ya mkopo ya namna hii regardless unarejesha.

2: Serikali ianzishe uchunguzi wa hili suala kama haitafanya wananchi tutaishitaki serikali na Kampuni husika.

Ç: Naomba kuwasilisha hoja kujadiliwa Kwa upana na kupata maoni juu ya hili Kwa pamoja tupate maoni.

Wenu Mzalendo Mara

B.Marela
Wafanyabiashara wengi Matapeli ndiyo watu wa karibu wa Chief Hangaya!
 
Ndugu zangu wana Mara katika Utafiti wangu nimegundua kuwa Mo aka Metl group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills,

Lengo la mkopo kupanua kiwanda hicho cha Musoma Textile lakini Fedha zile Mo walienda kujengea kiwanda Cha Mo energy Vingunguti,

Wanamara wote, Kwa Pamoja tuamke kulipigania hili Kwa sababu Wabunge wa Mkoa wa Mara wamekaa kimya,Mkuu wa mkoa amekaa kimya, Uongozi wa mkoa umekaa kimya miaka inaenda Kiwanda Cha Musoma hakijengwi Wala kuendelezwa,

NINAOMBA YAFUATAYO:

1: Nimtake Mo na Kampuni yake warudishe hicho Kiwanda mikononi mwa serikali Ili wawekezaji wengine wapewe kuendeleza,

2: MO ashitakiwe kama mhujunu uchumi Kwa sababu amefanya Financia loan diversion kisheria ni mhujumu uchumi

3: Nimtake Mo atekeleze lengo la mkopo ule au atulipe Watanzania Kwa kuchukua asset ya Watanzania na kuifanyia biashara kinyume na taratibu za serikali,

4: Ashitakiwe Kwa kuwakosesha wanaMara Ajira za moja Kwa moja zisizopungua 100,000 Kwa maana wakulima wangeuza pamba, serikali ingekusanya Kodi, Technolojia ingekuwa,na Mapato yangeongezeka Kwa asilimia 120 ndani ya mkoa wa Mara

4: Mkoa wa Mara tunalia Vyanzo vya Mapato kumbe Vyanzo Hivi vinahujumiwa na watu wachache.

5: Wananchi wote tuungane kuwapinga watu kama hawa Tanzania

6:. Mo aombe radhi na kutekeleza pendekezo namba 3 nililotaja hapo juu.

7: Serikali ya mkoa itoe tamko juu ya hili na kuwaomba wananchi Radhi Kwa kutokuwa makini na kutofuatilia uwekezaji wa namna hii

8: Mkopo huu umeingizwa kwenye Deni la Taifa kupitia Mikopo inayochukuliwa na sekta binafsi,Tanzania

B: Kama hayatafanyika hayo

1: Natoa siku 60 kuifikisha Kampuni hii Mahakamani ukiwa ni pamoja na kuwataarifu Benki ya Maendeleo juu ya default ya mkopo ya namna hii regardless unarejesha.

2: Serikali ianzishe uchunguzi wa hili suala kama haitafanya wananchi tutaishitaki serikali na Kampuni husika.

Ç: Naomba kuwasilisha hoja kujadiliwa Kwa upana na kupata maoni juu ya hili Kwa pamoja tupate maoni.

Wenu Mzalendo Mara

B.Marela
Wewe lazima utakuwa ni Hamis Kigwangala
 
Mo janja janja nyingi, 100% ya matajiri bongo mali zao ni za kifisadi na wanashirikiana na watu watanzania tuliwaamin kama wasimamizi wa ........tuache ujinga sisi tutakufa kama watumwa wa .....tusimame tupiganie kizazi kijacho kisiishi maisha tulioishi, Makufuli words "hii nchi ni tajiri"
 
Kwahiyo umekubaliana na mleta mada kuwa kuna kiwanda kilikuwa na wafanyakazi laki moja? Majimbo kibao Tanzania Watu wamepata ubunge KWA kupata kura chino ya laki moja.
Mie musoma hata sipahamu comments kulingana na contents za mleta Uzi, mo kakopea kiwanda bilioni 250 so obviously kiwanda kitakuwa na thamani zaidi ya bilioni 250 may be kinaweza kuwa tilioni moja, hivi bank yenye akili timamu unaleta dhamana ya thamani ya milioni mbili halafu ikupe mkopo wa milioni mbili? Ukisoma maelezo ya mleta kuhusu ajira kaeleza wazi kabisa ni ajira laki moja za moja Kwa moja yaani ni wafanyakazi kabisa pale kiwandani sio unaosema wewe hao sio wakulima watauza pamba mamantilie watauzia chakula wafanyakazi hapana hizo sio ajira za moja Kwa ni indirect, sasa Kwa logic ya kawaida kiwanda kinachoweza kuajiri wafanyakazi laki moja direct bila Shaka kitakuwa na thamani zaidi ya bilioni 250.
Yaani umekubaliana na data za mleta mada kabisa. Kama kiwanda cha mkoa wa Mara kina wafanyakazi 100,000 je cha Dar es salaam kitakuwa na wafanyakazi wangapi?

Tufanye ni kweli. Tufanye kila mfanyakazi KWA wastani analipwa 100,000/= KWA mwezi.
100,000x100,000=10,000,000,000
Ambayo ni bilioni 10 kila mwezi kama mshahara ambayo ni bilioni 120 KWA mwaka kama mshahara.

Kiwanda kiwe Mara kilipe bilioni 120 kama mshahara kwa mwaka.


Ikiwa nchi ina viwanda 400 vyenye ukubwa kama cha Musoma jumla ya wafanyakazi itakuwa
100,000x400=40,000,000=40m

Watu 40m wawe viwandani Tanzania. Inakuja kweli?

Unapokosea data moja inafanya Watu wawe na shaka na data zingine
 
Mo janja janja nyingi, 100% ya matajiri bongo mali zao ni za kifisadi na wanashirikiana na watu watanzania tuliwaamin kama wasimamizi wa ........tuache ujinga sisi tutakufa kama watumwa wa .....tusimame tupiganie kizazi kijacho kisiishi maisha tulioishi, Makufuli words "hii nchi ni tajiri"
Matajriri wakubwa wote bongo wana asilii ya ushombeshombee kasoro Mengi ndo alikuwa pure african...nadhani sababu wabongo tunabaniana sana na hatupendi kuona wengine wanatoboa kabisa. Mtanzania kupewa hekta zote hizo awekezee ni ndotooo wanataka anunue kwa cash... wakujaa anapewa shambaa la mchongoo apate helaa za buree awekezee mbongoo hata bandarii unanyanganywaa apewe muarabu
 
Kwa logic ya kawaida Mie nikija na kisimu changu cha elf50 kama dhamana ili nikope elf50 huwezi Nipa, sana Sana umenionea huruma utanipa elf15 so kama mo alikopea bilioni 250 basi hicho kiwanda kutakuwa na thamani ya tilioni moja.
Mo ana viwanda vingi! Bank inaruhusu kukopa na kuweka dhamana zaidi ya moja kutokana na ukubwa wa Mkopo. MUTEX inaweza kuombewa mkopo ata wa Bilion 600 ikawa part ya dhamana kwa Bank
 
Sina shaka hii comment yako, imesukumwa na UTOPOLO wako! Kila likija suala lenye U- MNYAMA MNYAMA, lazima fahamu zikutoke!
Hakuna cha utopolo, wala nini. Wafanyabiashara wengi wakubwa wa Bongo wametajirika kupitia njia za ujanja ujanja tu.
Hata GSM mwenyewe anayeidhamini Yanga, hana tofauti yoyote ile na Mo.

Na hata mimi nikipata nafasi kama hiyo, siwezi kuiacha.
 
Back
Top Bottom