FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
Kwa mara ya kwanza Tanzania tunayaona anayoyafanya Bashe kwenye kilimo yakileta tija.Hizi ndio swagwa za kuwadanganya wajinga? Pitia pitia machapisho kule Misiri uonr nini maana ya Mapinduzi ya Kilimo, Bashe na Mama wanacheza na akili za wajinga
Misri walitowa ardhi kuwapa wakulima bure?