Mema kwa mkulima wa Tanzania... Bashe na Rais Samia wanafanya kweli

Mema kwa mkulima wa Tanzania... Bashe na Rais Samia wanafanya kweli

Labda unalisikia Kanisa Katoliki kwa juu juu tu. Ndani ya Kanisa Katoliki, hakuna anayeweza kukuruouka na kuropoka kwa suala kama hili. Likitoka tamko la Kanisa Katoliki, tena kupitia TEC, ni tamko wakilishi la maaskofu na taasisi zake zote zinazohusiana na mambo ya utawala.

Ufahamu kuwa karibia mifumo yote ya kiutawala Dunia nzima, hata mifumo ya kimahakama, imerithiwa kutoka Kanisa Katoliki.

Anayeshauriwa ana haki ya kuukataa au kuupokea ushauri. Lakini huo ni msimamo wa Baraza la Maaskofu, na ushauri ukikataliwa, unaenda kufafanuliwa kwa waumini wote mpaka ngazi ya familia ili kila muumini aone ubaya wa mkataba huo.

Nchi na rasilimali zake zote ni zawadi na ni urithi tuliopewa na Mungu wetu. Tuutumie kwa hekima na busara ili na wenzetu watakaokuja baada yetu, nao wawe na nafasi ya kutumia na kufaidika kama tulivyofaidika sisi.
Hiyo ilikuwa zamani, ushoga umewaangusha duniani.

BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
 
Labda unalisikia Kanisa Katoliki kwa juu juu tu. Ndani ya Kanisa Katoliki, hakuna anayeweza kukuruouka na kuropoka kwa suala kama hili. Likitoka tamko la Kanisa Katoliki, tena kupitia TEC, ni tamko wakilishi la maaskofu na taasisi zake zote zinazohusiana na mambo ya utawala.

Ufahamu kuwa karibia mifumo yote ya kiutawala Dunia nzima, hata mifumo ya kimahakama, imerithiwa kutoka Kanisa Katoliki.

Anayeshauriwa ana haki ya kuukataa au kuupokea ushauri. Lakini huo ni msimamo wa Baraza la Maaskofu, na ushauri ukikataliwa, unaenda kufafanuliwa kwa waumini wote mpaka ngazi ya familia ili kila muumini aone ubaya wa mkataba huo.

Nchi na rasilimali zake zote ni zawadi na ni urithi tuliopewa na Mungu wetu. Tuutumie kwa hekima na busara ili na wenzetu watakaokuja baada yetu, nao wawe na nafasi ya kutumia na kufaidika kama tulivyofaidika sisi.
BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
Please rudisheni pesa mliyohongwa na kina "Habibii" ,bandari zetu ni urithi wetu,kama mnawapenda sana waarabu wapeni "Magogoni" na "Chamwino" waziendeshe.

========
Kataa Madalali ,Kataa Wahuni ,Kataa Wezi wa rasilimali.
Umelala?

Wapewe mara ngapi?

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Umelala?

Wapewe mara ngapi?

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Wewe ndiyo inaonekana bado upo kwenye usingizi mzito ,kamati ya bunge haujasikia walivyosema? SISIEMU yenu kupitia chongolo haujasikia alichosema kwamba mkataba siyo msaafu au biblia? Rekebisheni vipengele vya kichief Mangungo ili twende mbele.
 
Kama hawatavunja mkataba wa kihuni wa bandari,haya yote yakilimo hayana maana kwa kuwa waarabu watamilikishwa vyanzo vya maji vyote ambavyo kwa sasa vinatusaidia kwenye kilimo
 
Labda unalisikia Kanisa Katoliki kwa juu juu tu. Ndani ya Kanisa Katoliki, hakuna anayeweza kukuruouka na kuropoka kwa suala kama hili. Likitoka tamko la Kanisa Katoliki, tena kupitia TEC, ni tamko wakilishi la maaskofu na taasisi zake zote zinazohusiana na mambo ya utawala.

Ufahamu kuwa karibia mifumo yote ya kiutawala Dunia nzima, hata mifumo ya kimahakama, imerithiwa kutoka Kanisa Katoliki.

Anayeshauriwa ana haki ya kuukataa au kuupokea ushauri. Lakini huo ni msimamo wa Baraza la Maaskofu, na ushauri ukikataliwa, unaenda kufafanuliwa kwa waumini wote mpaka ngazi ya familia ili kila muumini aone ubaya wa mkataba huo.

Nchi na rasilimali zake zote ni zawadi na ni urithi tuliopewa na Mungu wetu. Tuutumie kwa hekima na busara ili na wenzetu watakaokuja baada yetu, nao wawe na nafasi ya kutumia na kufaidika kama tulivyofaidika sisi.
BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
Please rudisheni pesa mliyohongwa na kina "Habibii" ,bandari zetu ni urithi wetu,kama mnawapenda sana waarabu wapeni "Magogoni" na "Chamwino" waziendeshe.

========
Kataa Madalali ,Kataa Wahuni ,Kataa Wezi wa rasilimali.
Umelala?

Wapewe mara ngapi?

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Utafinya nchi nzima kwa ukubwa gani wa kucha ulizonazo?
Hata huyo mfinyaji mkuu IGP kwa sasa anapaswa kuwekwa pembeni kwa kumfedhehesha na kumuaibisha mteule wako ndani na nje ya nchi.


Tushaafinya patamu kwenye BBT, lazima mtie adabu.
 
Unaposikia Rais anasema ameamua kunyamaza, siyo kwa sababu ya busara. Inavyoonekana rais hana maamuzi ya nchi hii tena. Maamuzi yote alishakabidhi kwa waarabu. Wanachukua chochote wanachotaka; Bandari zote, Mashamba ya miwa Morogoro -NSSF kapokonywa, BBT ya Bashe, Misitu inanyemelewa, nk.

Hapa nimekuleta kwa ajili ya hayo ya Bashe, soma post namba moja na ufate links zilizopo.


Mbona umechelewa jamvini karamu imeshaliwa?
 
Anafanya kweli kitandani kwako?
Unaelewa kuwa kuanzia tarehe 5 September 2023 kuna mkutano wa wadau wa kilimo na chakula kutoka dunia nzima wanakuja Tanzania kuunga mkono BBT ya Bashe na mama Samia?

Mahoteli vitanda havitoshi. Wengine wameshaanza kuwasilili wameenda kujionea kizimkazi festival.
 
Mahindi Kule Songea yameporomoka bei kutoka Sh 900 hadi sh 550
 
Yaani wanawekeza kwenye vitu vya kipuuzi kuwadanganya wajinga, mfano ile ya kugunga GPS kwenye pikipiki za Maofisa Ugani inasaidia nini?

Ukitembelea zile Taasisi za Kilima kama TARI unawaonea huruma, hawana bajeti ya maana sana wanategemea wafadhili, ukitembelea zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia, nenda kwenye vyama vya Ushurika ni sanaaa tupu.
Kwanza hao maafisa ugani wenyewe wapo? Ni 36% tu ya kata zote nchini zenye maafisa ugani.

Hiyo mipango yake sijui itasimamiwa na nani kule field.

Bashe ujanja ujanja mwingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante Bashe:

 
Ushawai kulima ktk ardhi? Namaanisha Nchii hii? AMA unalimia Mitandaoni? Hiyo Neema unayozungumzia wewe inatokea wapi? Chukueni mashamba alafu ingieni mzigoni na baada ya msimu mmoja ndio mje mzungumzie huu Upuuzi wa Neema! Kilimo ni Biashara ukishajua hilo huwezi weka neno Neema hapo Mbele! Biashara si unafahamu mipachamo ya Biashara? Yaani kuanzia unaponunua shamba, kukodi trekta, kulima, palizi, mbolea, kulinda mali shambani, kuitoa, unaanza kukutana na tozo na kodi, unapangiwa bai ya kuuza, ukikataa wakulima wanajua nini hutokea! Sasa hapo Neema inatoka wapi? Mkulima huyu anayefanyishwa biashara kimaskhara anajua lolote? Hii Customer care ni kwa ajili ya kukuanya taarifa tu! Ni kama makampuni ya kubeti tu! Kifupi si kwa viongozi hawa wa Kitanzania ambao wanaweza anzisha jambo likawa na Neema kwa mwingine labda 4d dimension huko. Sio hapa. Watu wanazindua ili kuhalalisha tu na kuji defense.
 
Faiza
Muulize Bashe kuhusu PAMBA (white gold) ,wasukuma wanalalamika pesazao
 
Dini ya Kiislamu Naipenda kwa kitu kimoja tu.
Kuto kumruhusu Mwanamke kuwa Kiongozi.
Mwanamke sio mtu kamili.

Leo wanaume tunakaa kumsikiliza Mwanamke akiropokaropoka pumba za hovyo mbele ya wanaume walionyamaza kimya.
Hii ni Laana.

Mungu alikataa hii Laana ndio maana hakuna Mtume au Nabii au Padre au Shehe au Imamu Mwanamke.
Wala Mwanamama.
Wala Binti
Wote ni watu wa Hovyo sana.
Mwanamke anaweza kuuza kila kitu cha familia yake ili amridhishe mumewe mgeni.
Wenye Hekima na mamlaka hili liwe fundisho kwenu.
Waacheni wamama wapike jikoni inawatosha.
Hili lisirudiwe tena. Mtakuja kuuzwa wazima wazima sababu ya mapenzi tu.
Hawa viumbe sio wa kuwaonea huruma tena.
 
Back
Top Bottom