Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo aliyejiapisha mwenyewe alikuwa anafanya usanii na mzaha!Ulishawahi kuona wapi mtu akijiapisha?Ndio ukanjanja wengine!Nimesema kujaza form kunatosha kuhakikiwa ndani ya chama kwani yaliyoko kwenye form ni maelezo ya kawaida sana hata darasa la 7 anajaza kwa ufasaha tu!Kuna mwanasheria mmoja wa CHADEMA huko sehemu za Iringa au Mbeya alijaza fomu za ubunge, halafu akajiapisha mwenyewe ambapo ni kinyume cha sheria, na hivyo fomu yake ikatupiliwa mbali. Kuwa mwanasheria siyo kuwa bingwa wa kila kila kitu; uzoefu una matter sana. Lissu sasa hivi amekuwa anaongea maneno yanayoonyesha kuwa uwezo wake wa sheria umepungua sana, kwani hajafanya kazi zake za kutetea kesi za mazingira na haki za binadamu kwa muda mrefu sana tangu aanze siasa. Ndiyo maana mara nyingi amekuwa anaropoka madai kama vile siyo mwanasheria tena. Kumbuka kuwa hata Richard Nixon alikuwa mwanasheria mzuri sana kabla ya kuingia kwenye siasa; baada ya muda mrefu kwenye siasa akawa crook.
Aliwakilisha Chadema kwenye kesi dhidi Zitto akishirikiana na Kibatala; wakati ule Zitto aliwakilishwa na Albert Msando, ambaye alikuwa hajulikani sana wakati huo. Chadema ilibwagwa!..kesi ya karibuni ambayo ninaikumbuka ni TL kumtetea Peter Lijualikali.
..hata alipokuwa bungeni, TL alikuwa ni msaada mkubwa ktk kurekebisha makosa ya serikali ktk miswada waliyokuwa wakiwasilisha.
..ukitaka kujua umahiri wa TL ktk sheria waulize wanasheria waliofanya naye kazi wakati wa bunge maalum la katiba.
Busara inasema kuwa kama huna uhakika, uliza. JPM aliwahi kuzijaza hivyo yeye anaweza kuwa ana uhakika, Membe ametumia busara hiyo, na iwapo Lissu ana uhakika, basi hana haja ya kufanya uhakiki. Ila sasa ikitokea kuwa jamaa wa tume wakamwambia kwamba fomu yake ina makosa basi asilalamike. And this applies kwa Magufuli pia, kuwa iwapo fomu zimebadilika na yeye akawa amefuata format ya 2015, pia silalamike iwapo tume itaona kuna makosa kweye fomu zake.Huyo aliyejiapisha mwenyewe alikuwa anafanya usanii na mzaha!Ulishawahi kuona wapi mtu akijiapisha?Ndio ukanjanja wengine!Nimesema kujaza form kunatosha kuhakikiwa ndani ya chama kwani yaliyoko kwenye form ni maelezo ya kawaida sana hata darasa la 7 anajaza kwa ufasaha tu!
Mwambieni basi na JPM aende kuhakiki form zake NEC kama amejaza kwa ufasaha!
Tatizo hutaki kuamini kuwa wapo bunch of fools and idiots kwenye fani mbalimbali. Fuatilia humumu JF kilichotokea jimbo la Kibamba kwa mgombea wa ACT Wazalendo kuna video clip leo.Hilo ni suala jingine unalozungumzia na ni technical!Hili la kujaza form hadi darasa la saba anaweza kwa ufasaha kabisa sembuse mwanasheria ambaye yeye ni area of exoperities!Come on bhana!!!!Kama ni makosa ya kibinadamu,mbona hamjahoji kwanini JPM hajaenda kuhakiki?Kama ni uzoefu,basi hata Lissu ni mzoefu na fomu hizo kwani amekuwa mwanasheria wa CDM kwa miaka mingi na hizo form zimekuwa zikipita kwake wakati wagombea wengine wanagombea urais kupitia CDM!
Aliwakilisha Chadema kwenye kesi dhidi Zitto akishirikiana na Kibatala; wakati ule Zitto aliwakilishwa na Albert Msando, ambaye alikuwa hajulikani sana wakati huo. Chadema ilibwagwa!
Nasema CDM ni taasis kubwa,suala la kujaza form linahakikiwa huko huko CDM na copy za form zinawekwa kama ushahidi!Tatizo hutaki kuamini kuwa wapo bunch of fools and idiots kwenye fani mbalimbali. Fuatilia humumu JF kilichotokea jimbo la Kibamba kwa mgombea wa ACT Wazalendo kuna video clip leo.
Form zina maelekezo ya namna ya kujaza!Wala sio jambo gumu kama mnavyoaminisha watu!Busara inasema kuwa kama huna uhakika, uliza. JPM aliwahi kuzijaza hivyo yeye anaweza kuwa ana uhakika, Membe ametumia busara hiyo, na iwapo Lissu ana uhakika, basi hana haja ya kufanya uhakiki. Ila sasa ikitokea kuwa jamaa wa tume wakamwambia kwamba fomu yake ina makosa basi asilalamike. And this applies kwa Magufuli pia, kuwa iwapo fomu zimebadilika na yeye akawa amefuata format ya 2015, pia silalamike iwapo tume itaona kuna makosa kweye fomu zake.
Mganga hajigangi; hasa yule anayedhani kuwa ana tatizo dogo tu.Form zina maelekezo ya namna ya kujaza!Wala sio jambo gumu kama mnavyoaminisha watu!
Watu mnadeal na petty issues mpaka mnaboa!
Albert Msando alikuwa Wakili wa Zitto; na nadhani alikuwa bado ni kinda sana kwenye bar wakati huo, ila kesi hiyo ndiyo iliyomtangaza...Albert Msando yuko CCM, alitia nia ubunge wa Arusha mjini hakupitishwa.
..Ni vigumu wakili kushinda kesi zake zote. Na kushindwa kesi haimaanishi kwamba 100% wakili ni mbaya.
..mchango wa TL ktk kutetea wananchi WANYONGE hapa nchini ni wa kupigiwa mfano. mawakili wachache sana wana rekodi kama yake.
Membe anajichosha maana hata kura laki 1 hafikishiMgombea Urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe leo amekwenda kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi Jijini Dodoma kuhakiki fomu zake kama ziko sawasawa kabla ya kuziwasilisha rasmi hapo kesho 25/08/2020.
Membe aliongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwemo mkuu wa ngome ya vijana Abdul Nondo.
Yohana najiuliza huu utaratibu upo siku zote? Na je mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lisu amehakiki fomu zake?
Maendeleo hayana vyama!