BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Acha UJUHA wako wewe! Chadema mwingine aliyekosa imani na tumeccm huyu hapa.
Hahahahahhaaha chadema nao wanatoa vitisho ni hv Sheria zitafwatwa kama mmevunja sheria na taratibu za NEC au uchaguzi huyo kibaraka wa mabeberu anatolewa tu then tuone mtafanya nini sasa
Usije ukakimbilia Kenya bwashee kesho siyo mbali!