Uchaguzi 2020 Membe aenda Tume ya Uchaguzi kuhakiki fomu zake kabla ya kuziwasilisha rasmi kesho

Uchaguzi 2020 Membe aenda Tume ya Uchaguzi kuhakiki fomu zake kabla ya kuziwasilisha rasmi kesho

Acha UJUHA wako wewe! Chadema mwingine aliyekosa imani na tumeccm huyu hapa.

1598278837471.jpeg


Hahahahahhaaha chadema nao wanatoa vitisho ni hv Sheria zitafwatwa kama mmevunja sheria na taratibu za NEC au uchaguzi huyo kibaraka wa mabeberu anatolewa tu then tuone mtafanya nini sasa
Usije ukakimbilia Kenya bwashee kesho siyo mbali!
 
Tuwe wapole ndugu zangu, Mambo yote ni kesho.

Ila sisiemu nao wakifanya hila itakuwa wameonyesha uoga mkubwa sana
 
Kwani mara yake ya kwanza kuchukua fomu..? Huyo tayari ana experience ndugu..
Yaani mwanasheria ashindwe kujaza form?Mna akili timamu kweli au mmekosa mambo ya kuzungumza na mnashambulia tu hata kwa mambo yasiyo na mantiki?Kweli kujaza form iwe issue?Unajua form ya mgombea urais ndani ya chama inahakikiwa na wanasheria wangapi?Msiwe mazombie bhana!
 
Mzee wa watu mwoga wa kukatwa huyo; CCM ameishi nao miaka nenda rudi hajui wakitaka kubetua jina lake hata ahakiki form mara mia wanalinetua tu!!
 
Hata akiacha tu kwani nini shida mtu mwenyewe inaonyesha atakuja kutuuza huyu!.. swala la ushoga analiita swala la faragha!! Huyu hafai na Kama ni mkiristu wajue kabisa hapa hakuna kiongozi hata angekuwa dini yoyote tu.. hata zile dini mbili kuu zinapinga hilo swala lkn yeye inaonyesha anamsimamo wa kipuuzi tu japo hasemi rasmi maana anajua atajiharibia.. chadema Mara hii sijui mmeweka muwakilishi gani huyu!!..
Msipomfungia kitu mdomoni walahi utawafedhehesha subirini tu..
Dini kuu!!!
[emoji2][emoji2] mnavyojipendelea!!

Kila mwenye dini anaiona yake ndio kuu, hilo lazima lieleweke
 
Mgombea Urais wa ACT wazalendo Bernad Membe leo amekwenda kwenye ofisi za Tume ya uchaguzi jijini Dodoma kuhakiki fomu zake kama ziko sawasawa kabla ya kuziwasilisha rasmi hapo kesho 25/08/2020.

Membe aliongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwemo mkuu wa ngome ya vijana Abdul Nondo.

Yohana najiuliza huu utaratibu upo siku zote? Na je mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu amehakiki fomu zake?

Maendeleo hayana vyama!
Kwanini chadema tu na si vyama vyote vinavyoshiriki?
 
Mgombea Urais wa ACT wazalendo Bernad Membe leo amekwenda kwenye ofisi za Tume ya uchaguzi jijini Dodoma kuhakiki fomu zake kama ziko sawasawa kabla ya kuziwasilisha rasmi hapo kesho 25/08/2020.

Membe aliongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwemo mkuu wa ngome ya vijana Abdul Nondo.

Yohana najiuliza huu utaratibu upo siku zote? Na je mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu amehakiki fomu zake?

Maendeleo hayana vyama!
sasa hivi naona MATAGA wote washakuwa mashabiki wa Membe... hahahaaaa!
 
Acha UJUHA wako wewe! Chadema mwingine aliyekosa imani na tumeccm huyu hapa.

View attachment 1546853
Mila na tamaduni zangu huwa sizungumzii marehemu so kwa hilo sina cha kuongea wala kusema but all in all Chadema mnataka kuona amani inapokosekana huwa kunakuwaje na nakuhakikishia hamtaweza hata kidogo
 
Hiv kwa akili yako unafikir hakuna cha kufanya hebu waulize police wa tunduma jana mini kimetokea tatizo mataga matataga sana mwaka huu
Hahahahahha kwa vurugu na maandamano ya nyuma ya keybord na keypad hapo sawa but kwenye reality sidhani kama kuna mtu yeyote anaweza leo ungeniambia CUF ile wanaweza but Chadema hahahahaha hahahah
 
Sema huna hoja acha kujibaraguza. Baba wa Taifa kafariki miaka 21 iliyopita hadi leo hii anazungumziwa itakuwa Mkapa ambaye hata miezi miwili hajatimiza!?
Chadema haijafanya chochote cha kuharibu amani bali ni huyo yesu fake na wahuni wa maccm. Waliochoma moto ofisi za Chadema kule Hai na Mbeya walikuwa ni Chadema?

Acha ujinga!

Mila na tamaduni zangu huwa sizungumzii marehemu so kwa hilo sina cha kuongea wala kusema but all in all Chadema mnataka kuona amani inapokosekana huwa kunakuwaje na nakuhakikishia hamtaweza hata kidogo
 
Hivi membe jamaniiii naye anawaza uraisi kweli,kumpigia kula membe bora nimpigie Shibuda
 
Hivi kuna watu bado wapoga ccm ? Nadhani wameisha
 
Back
Top Bottom