Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

mserekale

Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
79
Reaction score
103
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
 
Screenshot_20200706-235908.png
 
Upinzani Kama mkirudia kosa mlilolifanya 2015 la kumpokea yule mzee mwenye nywele yeupe ndo utakuwa mwisho wenu kisiasa.

CCM Ina mbinu nyingi Sana za kucheza na wapinzani kinachonisikitisha nikuwa Wapinzani nao huwa hawajishitukii hata japo Kuna watu smart kabisa huko..

Je nikweli Wanachama wote wa vyama vya Upinzani hayopo hata mmoja Alie Bora zaidi ya Membe?

Na je Membe asingefukuzwa huko kwake asilia Msingesimamisha Mgombea?

Je nikweli Upinzani bila Membe hauna Nguvu?

Mwisho; Ni wakati wa kujenga Upinzani imara Sasa na Wala siyo Upinzani uliojaa mamuluki.
 
Napenda nimwone Membe akiisumbua ccm hata ikibidi kuiangusha . Baadhi ya viongozi kwenye ccm wanahitaji kukaa nje ya system ili wapate somo kuwa wanapaswa kuhudumia watu na siyo kuwabagaza.
Tumwache Membe awashe moto ili watu wajitathmini.
 
To me, membe is a real deal. why..?
Una hoja nzuri, ila natofautiana na wewe katika mtazamo wa Urais! Upinzani sawa uweke mtu mwenye kukubalika. Fine, lkn sidhani kama kwa "miafrika" na akili zetu tunachagua mtu kwa kutazama sera, utendaji etc. Huku ni njaa, undugunisation, party politics/partisan, urafiki, wa kwetu kanda ya ziwa, rafiki and the like!
My point is:
1. Upinzani ukazane kupata viti vingi vya wabunge. BASI! Ukiwa na wingi wa viti bungeni, wewe ni "RAIS" maana upuuzi wa ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooo hautakuwepo!
2. Tunafanyaje kupata wabunge hao? Ndilo nakutaka utoe mawazo!
 
Fursa nzuri ya upinzani kuiondoa CCM madarakani ni walipokuwa na Lowassa na Sumaye. Bahati mbaya sana CHADEMA/UKAWA wameshindwa kuwatumia vizuri hawa wazee. Itachukua miaka mingi kutengeneza siasa za upinzani wenye nguvu kama wa 2015. Membe is overrated.
 
Membe ana jipya kwakuwa mfumo wa uchaguzi waratibu ni vyombo vya dola hata akiwa ameshinda hawawezi kumpa ushindi!
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakae chuana na bwana jonh wa ccm..!

Kama chadema kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo october mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Wewe inaonekana siyo mwanachama ama mfuasi wa CHADEMA lazima utakua ccm ama ACT
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakae chuana na bwana jonh wa ccm..!

Kama chadema kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo october mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Mwaka huu akienda mtayaita mafuriko ama?




na barabara zilidekiwa
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakae chuana na bwana jonh wa ccm..!

Kama chadema kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo october mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa

Rudisha hela ya Membe kabla hujaimaliza, tuko radhi kupata kura 5 na Tundu Lissu, kuliko kura milioni tano na Membe. Huu uhuni kawaambie wajinga.
 
Kweni una uthibitisho kua hao wazee nibkweli walikua wapinzani? Kina Mbowe Zitto Kabwe hao wote siyo wapinzani. Nchi na uongozi wanatumia akili kuhakikisha raia wake wanakua salama bila kuletewa uasi na wazungu washenzi, isipokua raia hawajiongezi kufikirisha akili zao kujua kuna nini kinaendelea
Fursa nzuri ya upinzani kuiondoa CCM madarakani ni walipokuwa na Lowassa na Sumaye. Bahati mbaya sana CHADEMA/UKAWA wameshindwa kuwatumia vizuri hawa wazee. Itachukua miaka mingi kutengeneza siasa za upinzani wenye nguvu kama wa 2015. Membe is overrated.
 
Kati ya mnywa gongo na huyo shushu nani bora?
 
Back
Top Bottom