Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi.

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa

## Uko vizuri kwa propaganda za kuingiza watu kichakani na kuwachinja bila wao kujua kuwa wanaenda machinjioni. Safari hii unaonekana na kujulikana unapeleka watu kichakani. Haendi mtu huko. Kaeni na Membe wenu...

## Ushauri wako juu ya uchaguzi wa SZM mwaka jana hauwezi kuwa msingi. Ulibeti na ukabahatika. This time mkeka wako umeshachanika maana game ya kwanza tu, matokeo ni kinyume chako...!

## uchaguzi utaamuliwa kikanda. Jiwe anakubalika Kanda ya Ziwa Victoria (Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mara na Kagera)...

Kwa hoja hii, sijui unaandika ukiwa wapi. Inawezekana uko DSM ama Dodoma. Mimi naposti ujumbe huu kwako nikiwa Kanda hii. Niko Shinyanga. Siyo kweli. Jiwe hana kura za moja kwa moja huku. Hakubaliki unless ashawishi watu kwa hoja na bahati mbaya kwake ni kuwa hawezi, hana ushawishi. Hakuna "automatic votes" kwa kigezo cha "usukuma wake" au eti ukanda wake...!!

Ipo mikoa kama Mara na Kagera. Huko hawaishi wasukuma. Kagera ni wahaya na wanyambwa; Mara ni Wakurya na wajita, wazanaki na mengine madogo dogo. Kihistoria mkoa wa Mara kwa ujumla hawaipendi CCM...

Kwa hiyo, wataweza kumchagua JIWE na CCM kwa kile kwa miaka mi5 uwepo wake na miaka zaidi ya 60 ya maisha ya CCM. Lazima atoe ushawishi kwa watu ili wamuelewe. Lazima CCM ijieleze kwa ufasaha ili ichaguliwe tena. Hakuna kura za mezani....!!

## Kuhusu Tundu Lissu kukubalika ndani ya chama yake. Yes, may be you are right...

Labda hujui na hutambui kuwa CHADEMA kina wanachama zaidi ya milioni 10 achilia mbali mashabiki na wapenzi. Sasa kama anakubalika ndani ya chama kwa kura zaidi 10M hajashinda huyo???

##. Sikia ndugu. CCM na MAGUFULI hawakubaliki na hawapendeki Tanzania. Magufuli is a dead horse. CCM is old fashioned house. CCM in its reality, is no longer exists...

Yote uliyoyaeleza hapo juu kwenye bandiko lako hayana impact kwake wala CCM yake. Ni propaganda za ulaghai tu kwa kudhani mnaandaa watu kisaikolojia kukubali ushindi wa uporaji....

This time haporwi na haibiwi mtu. Ni kwa katiba hii, NEC hii, mazingira haya haya. Lazima kitaeleweka tu. Ni ama zenu ama zetu....

We can agree on one thing;

Kwamba, Magufuli na CCM Urais kama kawaida yao watalazimisha ushindi siyo kwa BALLOT BOX bali kwa kutumia nguvu za kimfumo wa dola (fedha za umma, polisi, jeshi na TISS)...

Akilazimisha kutwaa ushindi mwaka huu 2020 hata atakapokuwa ameshindwa (na ofcoz ndivyo ilivyo) hapo ndipo mtakapoona yanayotokea nchi zingine hususaani Malawi juzi kati yakitokea Tanzania tena katika UNIQU STYLE....

Ataiona NGUVU YA UMMA (PEOPLE'S POWER) in its reality...

MAJIRA na NYAKATI ya haya kutokea ni SASA siyo KESHO tena....!!!
 
## Uko vizuri kwa propaganda za kuingiza watu kichakani na kuwachinja bila wao kujua kuwa wanaenda machinjioni....

## Ushauri wako juu ya uchaguzi wa SZM mwaka jana hauwezi kuwa msingi. Ulibeti na ukabahatika. This time mkeka wako umeshachanika maana game ya kwanza tu, matokeo ni kinyume chako...!

## uchaguzi utaamuliwa kikanda. Jiwe anakubalika Kanda ya Ziwa Victoria (Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mara na Kagera)...

Kwa hoja hii, sijui unaandika ukiwa wapi. Inawezekana uko DSM ama Dodoma. Mimi naposti ujumbe huu kwako nikiwa Kanda hii. Niko Shinyanga. Siyo kweli. Jiwe hana kura za moja kwa moja huku. Hakubaliki unless ashawishi watu. Hakuna "automatic votes" kwa kigezo cha "usukuma wake"...

Ipo mikoa kama Mara na Kagera. Huko hawaishi wasukuma. Wataweza kumchagua kwa nini amefanya. Lazima atoe ushawishi...!!

## Kuhusu Tundu Lissu kukubalika ndani ya chama yake. Yes, may be you are right. Labda...

Labda hujui na hutambui kuwa CHADEMA kina wanachama zaidi ya milioni 10 achilia mbali mashabiki na wapenzi. Sasa kama anakubalika ndani ya chama kwa kura zaidi 10M hajashinda huyo???

##. Sikia ndugu. CCM na MAGUFULI hawakubaliki na hawapendeki Tanzania. Magufuli is dead horse.

Yote uliyoyaeleza hapo juu kwenye bandiko lako hayana impact kwake wala CCM yake...

We can agree on one thing; kwamba, Magufuli anaweza kushinda kwa kutumia nguvu za kimfumo wa dola (fedha za umma, polisi, jeshi na TISS)...

Akilazimisha kutwaa ushindi mwaka huu 2020 hata atakapokuwa ameshindwa (na ofcoz ndivyo ilivyo) hapo ndipo mtakapoona yanayotokea nchi zingine hususaani Malawi juzi kati yakitokea Tanzania....

Ataiona NGUVU YA UMMA (PEOPLE'S POWER) in its reality...

MAJIRA na NYAKATI ya haya kutokea ni SASA siyo KESHO tena....!!!
Mkuu unajipa matumaini hewa tu, Watanzania hatuko civilised hivyo eti tufanye waliyofanya Malawi.. Hakuna hiyo kitu boss.

Leo si tulikubaliana kuwe na 77 Nyeupe, vipi raia wameitikiaje hiyo?? Boss amini kwa raia sisi CCM itatawala mpaka itakapoamua kusema basi, la sivyo labda hiki kizazi kife na kutokomea chote..

From the top to the bottom Watanzania ni watu waoga kiasili. Tunaogopa hata kuingia kwenye soko la pamoja la EA eti kwa hofu ya kupoteza ajira na ardhi kwa Wakenya na wengine. We are inferiors by nature, PLS ACHANA NA MAWAZO ETI CCM WAKIJISHINDISHA WATU WATAINGIA BARABARANI. ONDOA HILO WAZO UNAJIDANGANYA
 
Huyo Membe ccm impeleke kwingine CDM tuko TL ......hizi mbinu zenu ni za kizamani sana
 
Tatizo la wapinzani wanafikiri wanaweza kulala na kuamka kuitoa ccm madarakani kwa chama kikongwe kama ccm kunahitaji mkakati wa muda mrefu kuwatoa madarakani lakini kila uchaguzi ukifika wanasubiria mtu toka ccm awatoe madarakani
 
Membe its a strategic plan kuja upinzani chadema tuwe makini tumejenga chama kwa mda mrefu mlimleta lowasa tukaawaamini tuna mtaji wa uaminifu wa wafuasi wetu tutumie watu wetu wanatosha hatuhitaji ccm aje atusaidie. Tutafanikiwa tu lissu anatosha...... Acha akpambane na ccm wenzake..
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa

Mkuu Nami kakwambia watz wanahitaji maneno. JPM ndio DEAL lenyewe. Urais pigeni maneno Ila Ndo hivyo.
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Kwa maono yangu, Lowasa alikuwa na mvuto zaidi na maandalizi makubwa kuliko Membe. Kwa mantiki hiyo sioni maajabu ya kumpa ushindi
 
Una hoja nzuri, ila natofautiana na wewe katika mtazamo wa Urais! Upinzani sawa uweke mtu mwenye kukubalika. Fine, lkn sidhani kama kwa "miafrika" na akili zetu tunachagua mtu kwa kutazama sera, utendaji etc. Huku ni njaa, undugunisation, party politics/partisan, urafiki, wa kwetu kanda ya ziwa, rafiki and the like!
My point is:
1. Upinzani ukazane kupata viti vingi vya wabunge. BASI! Ukiwa na wingi wa viti bungeni, wewe ni "RAIS" maana upuuzi wa ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooo hautakuwepo!
2. Tunafanyaje kupata wabunge hao? Ndilo nakutaka utoe mawazo!

So kwa Utendaji. Membe na Lissu wanamshinda JPM. Hivi nyie Ni wacongo au watz.
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Watu wengine bhana😂, yaani unawaza chadema kushinda uchaguzi kweli!??, hivi upo kwenye akili za wapiga kura!?, Mtaishia kuleta thread kama hizi lakini lakini chadema kuchukua dola ni ndoto. Trust me mkuu.
 
Mkuu unajipa matumaini hewa tu, Watanzania hatuko civilised hivyo eti tufanye waliyofanya Malawi.. Hakuna hiyo kitu boss.

Leo si tulikubaliana kuwe na 77 Nyeupe, vipi raia wameitikiaje hiyo?? Boss amini kwa raia sisi CCM itatawala mpaka itakapoamua kusema basi, la sivyo labda hiki kizazi kife na kutokomea chote..

From the top to the bottom Watanzania ni watu waoga kiasili. Tunaogopa hata kuingia kwenye soko la pamoja la EA eti kwa hofu ya kupoteza ajira na ardhi kwa Wakenya na wengine. We are inferiors by nature, PLS ACHANA NA MAWAZO ETI CCM WAKIJISHINDISHA WATU WATAINGIA BARABARANI. ONDOA HILO WAZO UNAJIDANGANYA

Mlikubaliana na nani hili la 77?

Angalieni, huu usije ukawa ndiyo ukweli kwenu/kwao....KUJIPA MATUMAINI HEWA...

Naamini katika falsafa ya;

".....hakuna cha asili ya binadamu kisichokuwa na mwanzo wake na vivyo hivyo mwisho wake....."

Historia iko wazi sana juu ya hili. Hakuna ubabe uliodumu kwa miongo mingi...

Na ubabe na uhahari huanguka katika majira na nyakati ambapo wahusika hudhani ndiyo wako imara zaidi kuliko nyakati zingine zote...

Haya ndiyo matumaini hewa. Hayatambui nguvu inayotawala uumbaji huu...
 
Mlikubaliana na nani hili la 77?

Angalieni, huu usije ukawa ndiyo ukweli kwenu/kwao....KUJIPA MATUMAINI HEWA...

Naamini katika falsafa ya;

".....hakuna cha asili ya binadamu kisichokuwa na mwanzo wake na vivyo hivyo mwisho wake....."

Historia iko wazi sana juu ya hili. Hakuna ubabe uliodumu kwa miongo mingi...

Na ubabe na uhahari huanguka katika majira na nyakati ambapo wahusika hudhani ndiyo wako imara zaidi kuliko nyakati zingine zote...

Haya ndiyo matumaini hewa. Hayatambui nguvu inayotawala uumbaji huu...
Unaota mchana kweupe.

Nisome hapo juu. Unaweza kuwa ndiyo wewe unayeoota mchana huu!!
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Sasa Lengo la Membe ni kuiangusha CCM ili afanye kitu gani kipya, ebu acheni kituzingua. Kwanza chama cha Siasa tunachokitaka ni chama kinachoitwa JPM Philosophy. Hatuna Muda na waomba neti kwa kutoa Tanzanite, Diamond, Platinum
 
Upinzani Kama mkirudia kosa mlilolifanya 2015 la kumpokea yule mzee mwenye nywele yeupe ndo utakuwa mwisho wenu kisiasa.

CCM Ina mbinu nyingi Sana za kucheza na wapinzani kinachonisikitisha nikuwa Wapinzani nao huwa hawajishitukii hata japo Kuna watu smart kabisa huko..

Je nikweli Wanachama wote wa vyama vya Upinzani hayopo hata mmoja Alie Bora zaidi ya Membe?

Na je Membe asingefukuzwa huko kwake asilia Msingesimamisha Mgombea?

Je nikweli Upinzani bila Membe hauna Nguvu?

Mwisho; Ni wakati wa kujenga Upinzani imara Sasa na Wala siyo Upinzani uliojaa mamuluki.
Kweli membe ni threat mpaka wewe unalia lia ivyo kada?
 
Back
Top Bottom