Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Mkuu nawe umepoteza muda bure,chadema sasa hivi ajikite kwenye kutafuta japo wabunge watano katika mbunge lijalo,kuwashauri kuhusu mgombea urais ukitumaini kuwa watashinda urais ni ndoto za mchana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakae chuana na bwana jonh wa ccm..!

Kama chadema kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo october mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Chadema haihitaji ushauri kama huu, hususam unaotolewa na mtu anae sound kama wa "lumumba".
Hii kazi itafanywa kwa taratibu za Chadema.
Mara mia awekwe hata Halima Mdee,Ester Bulaya, au hata diwani wa chadema kutoka kata isiyojulikana kuliko kumpokea huyo mtu.
HAIWEZEKANI TENA ....Huyu alikuwa akipinga hoja za chadema na upinzani kiujumla zilizokuwa na mwelekeo wa kukuza demokrasia....
**kuanzia hoja za kuwepo mgombea binafsi,tume huru ya uchaguzi/marekebeshisho/mabadiliko ya kikatiba.
Acha atundike daluga....tuuu.Labda aende ACT
 
Membe kumuamini kama mpinzani wa kweli inahitaji akili ndefu, yatakuja tokea ya mzee lowasa na sumaye hawa sio wakuamini hata wa 15% pengine atumike kuongeza wabunge wa upinzani,
Kachelo mbobezi.. hawezi kuisaliti kazi yake
 
Una hoja nzuri, ila natofautiana na wewe katika mtazamo wa Urais! Upinzani sawa uweke mtu mwenye kukubalika. Fine, lkn sidhani kama kwa "miafrika" na akili zetu tunachagua mtu kwa kutazama sera, utendaji etc. Huku ni njaa, undugunisation, party politics/partisan, urafiki, wa kwetu kanda ya ziwa, rafiki and the like!
My point is:
1. Upinzani ukazane kupata viti vingi vya wabunge. BASI! Ukiwa na wingi wa viti bungeni, wewe ni "RAIS" maana upuuzi wa ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooo hautakuwepo!
2. Tunafanyaje kupata wabunge hao? Ndilo nakutaka utoe mawazo!
Bila TUME huru ni kutwanga maji kwenye kinu
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Anaweza shinda atashindaje bila kutangazwa? Kwa nn hamtaki kufikiri? Lowasa alishindwa membe ndio ataweza? Ktk watendaji wa tume membe kamteua nani?
 
Fursa nzuri ya upinzani kuiondoa CCM madarakani ni walipokuwa na Lowassa na Sumaye. Bahati mbaya sana CHADEMA/UKAWA wameshindwa kuwatumia vizuri hawa wazee. Itachukua miaka mingi kutengeneza siasa za upinzani wenye nguvu kama wa 2015. Membe is overrated.
Nafkr Lowasa na sumaye wangekuwa bado wapo chadema na membe akajoin the race hapo kdog wangeenda 50/50 na CCM , lakn kwa sasa hv ni ngumu , hakuna tumaini lolote zaid ya miujiza
 
Bila TUME huru ni kutwanga maji kwenye kinu

Nguvu ya uma ya kweli kweli haizuiwi na tume huru au isiyo huru. Kama umma ukimuelewa na ukimkubali mgombea, tume haiwezi kuzuia, hata kama sio 'huru'.
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Mkuu umeelezea vizuri sana..na maelezo yako ni KWELI tupu..
Asante sana.
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa

Hii ni aina ya ushauri inayoonyesha kama Tanzania ni taifa lililokufa. Yaani watu wake ama ni mazezeta au hawana umuhimu kabisa. Hawahusiki kabisa na mustakabali wa nchi yao. Ni Taifa linalomilikiwa na kufaidiwa na “CCM” na, pengine, “CHADEMA”. Wananchi wanaishi kwa huruma ya vikundi maslahi hivyo! Ni upumbavu mkubwa sana tuliorithi tangu kuasisiwa kwa taifa hili.

Yaani uchaguzi ni mapambano kati ya “CCM” na “CHADEMA”. Mikakati au njama za ushindi kwao ndio kitu muhimu. Ile dhana kwamba uchaguzi ni hatua muhimu ya wananchi kupata uongozi wa maana ni “illusion” - ndoto ya mchana. Cha maana ni kuzidiana kete kwa CCM/dola na upinzani! KUNA HAJA GANI YA UCHAGUZI WA AINA HII?

Kama hilo ndilo taifa aliloasisi Nyerere basi alifanya kitu cha ovyo sana. ALIUNDA NA KUTUACHIA CHAMA DOLA ambacho kinahakikisha dhana ya demokrasia ya vyama vingi haiwezekani nchini. Ni kupoteza muda, nguvu, jasho na damu za Watanzania kuwaaminisha kushiriki katika chaguzi hizi za viini macho! Hazina manufaa yoyote kwao.

SASA, unapotaka kuwaaminisha watu kuwa chama cha upinzani kinaweza kushinda uchaguzi kwa kumsimamisha MEMBE kama mgombea wake wa urais ni kuendeleza ULAGHAI uleule wa tangu enzi za awamu ya kwanza hadi leo. Dola ipo kuhakikisha CCM inashinda by hooks and crooks, PERIOD.
 
Membe ana jipya kwakuwa mfumo wa uchaguzi waratibu ni vyombo vya dola hata akiwa ameshinda hawawezi kumpa ushindi!
Tatizo lenu la kipuuzi kuacha h. Hapa inaonesha ulitaka kusema Membe hana jipya.... Lakini inasomeka membe ana jipya... Hivi shule mlienda kuvuta bangi?
 
Membe aende akagombee Kupitia ACT-WAZALENDO ili angalau wapate kura za Kusini,Magharibi,Visiwani na Wabunge kadhaa.
Lakini CHADEMA wakitaka kupunguza idadi na imani wampe Membe wajizike rasmi.
 
Upinzani Kama mkirudia kosa mlilolifanya 2015 la kumpokea yule mzee mwenye nywele yeupe ndo utakuwa mwisho wenu kisiasa.

CCM Ina mbinu nyingi Sana za kucheza na wapinzani kinachonisikitisha nikuwa Wapinzani nao huwa hawajishitukii hata japo Kuna watu smart kabisa huko..

Je nikweli Wanachama wote wa vyama vya Upinzani hayopo hata mmoja Alie Bora zaidi ya Membe?

Na je Membe asingefukuzwa huko kwake asilia Msingesimamisha Mgombea?

Je nikweli Upinzani bila Membe hauna Nguvu?

Mwisho; Ni wakati wa kujenga Upinzani imara Sasa na Wala siyo Upinzani uliojaa mamuluki.
Hata hao wapinzani unaweza kuta ndo hao hao CCM kwenye vazi lingine tu!

Usiamini amini sana watu!
 
Membe kumuamini kama mpinzani wa kweli inahitaji akili ndefu, yatakuja tokea ya mzee lowasa na sumaye hawa sio wakuamini hata wa 15% pengine atumike kuongeza wabunge wa upinzani,
Kachelo mbobezi.. hawezi kuisaliti kazi yake
Membe aachwe apambane na CCM yao kwa njia zao...
Asikaribishwe upinzani kama mgombea, hakuwahi kuwa neutral katika suala la kukuza usawa wa kidemokrasia, akienda upinzani kuna watu kibao hatutashiriki uchaguzi believe.
Na mpaka sasa "speculation" zinaonyesha wabongo kibao ambao sio watu siasa,yani wapiga kura tu, hawana mpango wa kupiga kura.
Tutarudi kule waliojiandikisha milioni 15, walioshiriki zoezi la upigaji kura milioni 9.
Mshindi wa urais asilimia 75-85 yani rais anapatikana kwa kuchaguliwa na watu wasiozidi milioni 7.
Katika nchi yenye raia takribani milioni 56!!!
Hii inaonyesha kiasi gani watu "wamechoka"
 
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!

Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!

To me, membe is a real deal. why..?

#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,

#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..

#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!

#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!

#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!

#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!

Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!

vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Naunga mkono hoja watu wanapotosha kweli eti CHADEMA hawajajifunza eti kwa Lowassa ,kiukweli Lowassa aliibeba sana CHADEMA ,Bila Lowassa CDM/UKAWA isingekuwa na Wabunge na kura nyingi huo ndio ukweli hata CCM wenyewe wanaujua sema wanajaribu kupotosha tu.

Membe ni mtu sahihi wa Kupambana na ANKO MAGU maana anakijua kindakindaki CCM ,hata CCM wenyewe wanamuogopa Membe na ndio maana wanajaribu kupotosha na kuwakatisha tamaa upinzani kwamba hawakujifunza kwa LOWASSA.

Mziki wa 2015 ANKO anautambua na ndio maana anafanya figisu vyama visiungane na wakataka waweke sheria kibao kuzuia wagombea wasihamie vyama vingine kabla ya mwaka siku ya uchaguzi.

Twende na Membe - KAZI NA BATA.
 
Hii ni aina ya ushauri inayoonyesha kama Tanzania ni taifa lililokufa. Yaani watu wake ama ni mazezeta au hawana umuhimu kabisa. Hawahusiki kabisa na mustakabali wa nchi yao. Ni Taifa linalomilikiwa na kufaidiwa na “CCM” na, pengine, “CHADEMA”. Wananchi wanaishi kwa huruma ya vikundi maslahi hivyo! Ni upumbavu mkubwa sana tuliorithi tangu kuasisiwa kwa taifa hili.

Yaani uchaguzi ni mapambano kati ya “CCM” na “CHADEMA”. Mikakati au njama za ushindi kwao ndio kitu muhimu. Ile dhana kwamba uchaguzi ni hatua muhimu ya wananchi kupata uongozi wa maana ni “illusion” - ndoto ya mchana. Cha maana ni kuzidiana kete kwa CCM/dola na upinzani! KUNA HAJA GANI YA UCHAGUZI WA AINA HII?

Kama hilo ndilo taifa aliloasisi Nyerere basi alifanya kitu cha ovyo sana. ALIUNDA NA KUTUACHIA CHAMA DOLA ambacho kinahakikisha dhana ya demokrasia ya vyama vingi haiwezekani nchini. Ni kupoteza muda, nguvu, jasho na damu za Watanzania kuwaaminisha kushiriki katika chaguzi hizi za viini macho! Hazina manufaa yoyote kwao.

SASA, unapotaka kuwaaminisha watu kuwa chama cha upinzani kinaweza kushinda uchaguzi kwa kumsimamisha MEMBE kama mgombea wake wa urais ni kuendeleza ULAGHAI uleule wa tangu enzi za awamu ya kwanza hadi leo. Dola ipo kuhakikisha CCM inashinda by hooks and crooks, PERIOD.
Sasa imagine wanaotuandikia hizo habari za Membe, mara tuko uchumi wa kati ni watu kabisa wana nafasi katika vyombo vya serikali, kweli tutafika hiyo per capita ya 3000 usd by 2025?
 
Back
Top Bottom