Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Uchaguzi 2020 Membe anaweza shinda uchaguzi ujao. CHADEMA kazi kwenu

Mkuu unajipa matumaini hewa tu, Watanzania hatuko civilised hivyo eti tufanye waliyofanya Malawi.. Hakuna hiyo kitu boss.

Leo si tulikubaliana kuwe na 77 Nyeupe, vipi raia wameitikiaje hiyo?? Boss amini kwa raia sisi CCM itatawala mpaka itakapoamua kusema basi, la sivyo labda hiki kizazi kife na kutokomea chote..

From the top to the bottom Watanzania ni watu waoga kiasili. Tunaogopa hata kuingia kwenye soko la pamoja la EA eti kwa hofu ya kupoteza ajira na ardhi kwa Wakenya na wengine. We are inferiors by nature, PLS ACHANA NA MAWAZO ETI CCM WAKIJISHINDISHA WATU WATAINGIA BARABARANI. ONDOA HILO WAZO UNAJIDANGANYA
Na ww unajipa matumaini kuwa haiwezekani??...subiri mwaka huu utajionea mwenyewe..tunaingia na hamtaamini na masikio yenu
 
Watu wengine bhana😂, yaani unawaza chadema kushinda uchaguzi kweli!??, hivi upo kwenye akili za wapiga kura!?, Mtaishia kuleta thread kama hizi lakini lakini chadema kuchukua dola ni ndoto. Trust me mkuu.

Ni kana kwamba dunia hii ni kwa ajili yenu tu...

You want us to trust you; who are you by the way?

We trust in the Almighty God, Yehova, the Creator of the universe and all the living and non living things...

Mungu hana upendeleo. Mungu habagui. Tena huviabisha vyenye nguvu na kuviinua vinyonge....

So, you mean we should trust you because you believe to be so powerful than the Almighty God, right?

You are wrong. You are nothing. We are all equal and we have the same opportunity and value before God, Yehova...!!
 
Na ww unajipa matumaini kuwa haiwezekani??...subiri mwaka huu utajionea mwenyewe..tunaingia na hamtaamini na masikio yenu

Nimewaambia hawa watu lakini wagumu kuelewa...

Wanaamini kuwa miungu yao ina nguvu kuliko Mungu wetu wa kweli...

Wanaamini mazoea ya miaka yote bado yanatenda kazi kwao...

Wanaamini kuwa wao ni maalumu sana kuliko wengine....

Wanaamini kuwa wao ndio binadamu na hawa wwngine ni nguruwe....

They are wrong...
 
Mlikubaliana na nani hili la 77?

Angalieni, huu usije ukawa ndiyo ukweli kwenu/kwao....KUJIPA MATUMAINI HEWA...

Naamini katika falsafa ya;

".....hakuna cha asili ya binadamu kisichokuwa na mwanzo wake na vivyo hivyo mwisho wake....."

Historia iko wazi sana juu ya hili. Hakuna ubabe uliodumu kwa miongo mingi...

Na ubabe na uhahari huanguka katika majira na nyakati ambapo wahusika hudhani ndiyo wako imara zaidi kuliko nyakati zingine zote...

Haya ndiyo matumaini hewa. Hayatambui nguvu inayotawala uumbaji huu...
Mkuu keyboard warriors wenzako huko kwenye mitandao wakiongozwa na mashangazi wenu Fatma Karume na Maria Sarungi ndio waanzilishi wa hiyo 77 Nyeupe.. Sio hiyo pekee, mengi mnayokubaliana keyboard warriors kuanzia UKUTA, maandamano ya Mange na mingeneyo mengi mnaishia kuangukia pua. Vipi kuhusu tume huru?? Mlikubaliana kabla ya uchaguzi mkuu mlipiganie hili tena kwa maandamano yasiyoisha. Mpaka leo naona holaaa...

Boss hakuna ukomo wowote, Wachina na Warusi mpaka leo wanatawaliwa na vyama vyao vilivyowakomboa, that is a nature of SOCIALISM.

Socialism inajenga nature ya uoga, utegemezi na uzalendo uliokithiri (ule wa kipumbavu). Dalili ya mvua mawingu, hao uvumilivu unaodai wananchi umewashinda mbona hatuoni hata dalili??

Mkuu tena kwa taarifa tu, mwaka huu wapigakura wengi sana wala hawatapoteza muda kwenda kupiga kura au hata kuudhuria mikutano ya kampeni. Tupo hapa na tutaona
 
Membe aende akagombee Kupitia ACT-WAZALENDO ili angalau wapate kura za Kusini,Magharibi,Visiwani na Wabunge kadhaa.
Lakini CHADEMA wakitaka kupunguza idadi na imani wampe Membe wajizike rasmi.
Kura nyingi zaidi ya theruthi za wapiga kura wapo kutoka majimbo ya wanyamwezi na wasukuma na kuongeza kanda ya ziwa na Kigoma ni Magufuli

Kusini Tanzania bara na kisiwa cha Pemba hawatoshi ni ACT ya Membe

Dar,Pwani,Morogogoro, Tanga ,Singida ,Dodoma,hakuna mbabe ni kwa wote.

Kilimanjaro,Manyara,Arusha,Mbeya Iringa ni Chadema
 
Na ww unajipa matumaini kuwa haiwezekani??...subiri mwaka huu utajionea mwenyewe..tunaingia na hamtaamini na masikio yenu
😂😂😂😂😂 Tumeshapata Tume huru ya Uchaguzi au tutashinda kwa tume hii hii??
 
Ni kana kwamba dunia hii ni kwa ajili yenu tu...

You want us to trust you; who are you by the way?

We trust in the Almighty God, Yehova, the Creator of the universe and all the living and non living things...

Mungu hana upendeleo. Mungu habagui. Tena huviabisha vyenye nguvu na kuviinua vinyonge....

So, you mean we should trust you because you believe to be so powerful than the Almighty God, right?

You are wrong. You are nothing. We are all equal and we have the same opportunity and value before God, Yehova...!!
Meaning no offense but kwa uhalisia tu mwaka huu chadema kushinda uchaguzi ni ndoto ya mchana kweupe kabisa hata kama wakimpitisha nani awe mgombea, wananchi wameona mazuri yaliyofanywa na Magufuli ni vigumu Sana kuwatwist mkuu. Najua na nyie mna mungu but sometimes we can speak the truth.
 
Membe its a strategic plan kuja upinzani chadema tuwe makini tumejenga chama kwa mda mrefu mlimleta lowasa tukaawaamini tuna mtaji wa uaminifu wa wafuasi wetu tutumie watu wetu wanatosha hatuhitaji ccm aje atusaidie. Tutafanikiwa tu lissu anatosha...... Acha akpambane na ccm wenzake..
Tuhamasishane wenyewe, na kuwashawishi watu ambao wako neutral.
Tutafute watu ambao wanakubalika ktk jamii maeneo yao ndio wagombee ubunge,yasitukute ya ma Prof watia nia kule Mara katika majimbo kadhaa ambao wameambiwa wakagombee wanapofanyia u proffessor wao😂😂
 
Kura nyingi zaidi ya theruthi za wapiga kura wapo kutoka majimbo ya wanyamwezi na wasukuma na kuongeza kanda ya ziwa na Kigoma ni Magufuli

Kusini Tanzania bara na kisiwa cha Pemba hawatoshi ni ACT ya Membe

Dar,Pwani,Morogogoro, Tanga ,Singida ,Dodoma,hakuna mbabe ni kwa wote.

Kilimanjaro,Manyara,Arusha,Mbeya Iringa ni Chadema
Na kura za kusini wasisitegemee sana maana watagawana na Majaliwa, anakubalika sana kusini...
 
Upinzani Kama mkirudia kosa mlilolifanya 2015 la kumpokea yule mzee mwenye nywele yeupe ndo utakuwa mwisho wenu kisiasa.

CCM Ina mbinu nyingi Sana za kucheza na wapinzani kinachonisikitisha nikuwa Wapinzani nao huwa hawajishitukii hata japo Kuna watu smart kabisa huko..

Je nikweli Wanachama wote wa vyama vya Upinzani hayopo hata mmoja Alie Bora zaidi ya Membe?

Na je Membe asingefukuzwa huko kwake asilia Msingesimamisha Mgombea?

Je nikweli Upinzani bila Membe hauna Nguvu?

Mwisho; Ni wakati wa kujenga Upinzani imara Sasa na Wala siyo Upinzani uliojaa mamuluki.
Kumbe lengo ni kujenga upinzani imara na siyo kushika dola....? Karne hii bado mnawaza kuwa chama kikuu cha upinzani badala ya kushika hatamu..??
 
Hiyo karata ya upendwa kanda flani haikumsaidia Lowassa na ukaskazini, haitamsidia Membe na ukusini.
Karata hiyo haijamsaidia Magufuli na ukanda wa ziwa.

Hizi ni siasa mfu na hatari.
 
Membe aachwe apambane na CCM yao kwa njia zao...
Asikaribishwe upinzani kama mgombea, hakuwahi kuwa neutral katika suala la kukuza usawa wa kidemokrasia, akienda upinzani kuna watu kibao hatutashiriki uchaguzi believe.
Na mpaka sasa "speculation" zinaonyesha wabongo kibao ambao sio watu siasa,yani wapiga kura tu, hawana mpango wa kupiga kura.
Tutarudi kule waliojiandikisha milioni 15, walioshiriki zoezi la upigaji kura milioni 9.
Mshindi wa urais asilimia 75-85 yani rais anapatikana kwa kuchaguliwa na watu wasiozidi milioni 7.
Katika nchi yenye raia takribani milioni 56!!!
Hii inaonyesha kiasi gani watu "wamechoka"

ikiwepo mm mmoja wao, sina ata ham tena na izi siasa! yaani mnajenga hoja kama upinzani miaka mitano yote mnaweka iman kwao alafu wanakuja tena kuchukua mtu wa ccm, najikalia zangu nyumbani mm
 
Rudisha hela ya Membe kabla hujaimaliza, tuko radhi kupata kura 5 na Tundu Lissu, kuliko kura milioni tano na Membe. Huu uhuni kawaambie wajinga.
Kwa nikujuavyo sikutegemea ungekuja na hoja mdororo namna hii...!! If that so, kuna haja gani sasa ya kwenda kushiriki uchaguzi ambao mnajua mtaambulia kura million 5...??
 
Back
Top Bottom