digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Chadema haihitaji ushauri kama huu, hususam unaotolewa na mtu anae sound kama wa "lumumba".Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakae chuana na bwana jonh wa ccm..!
Kama chadema kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo october mwaka huu...!
To me, membe is a real deal. why..?
#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,
#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..
#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!
#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!
#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!
#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!
Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!
vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Bila TUME huru ni kutwanga maji kwenye kinuUna hoja nzuri, ila natofautiana na wewe katika mtazamo wa Urais! Upinzani sawa uweke mtu mwenye kukubalika. Fine, lkn sidhani kama kwa "miafrika" na akili zetu tunachagua mtu kwa kutazama sera, utendaji etc. Huku ni njaa, undugunisation, party politics/partisan, urafiki, wa kwetu kanda ya ziwa, rafiki and the like!
My point is:
1. Upinzani ukazane kupata viti vingi vya wabunge. BASI! Ukiwa na wingi wa viti bungeni, wewe ni "RAIS" maana upuuzi wa ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooo hautakuwepo!
2. Tunafanyaje kupata wabunge hao? Ndilo nakutaka utoe mawazo!
Umefanya vyema kuwakumbusha , nadhan mtoa maada kpind hcho ndo alikuwa ameanza kubalehe...CCM huko ilishapita kitambo
Anaweza shinda atashindaje bila kutangazwa? Kwa nn hamtaki kufikiri? Lowasa alishindwa membe ndio ataweza? Ktk watendaji wa tume membe kamteua nani?Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!
Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!
To me, membe is a real deal. why..?
#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,
#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..
#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!
#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!
#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!
#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!
Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!
vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Nafkr Lowasa na sumaye wangekuwa bado wapo chadema na membe akajoin the race hapo kdog wangeenda 50/50 na CCM , lakn kwa sasa hv ni ngumu , hakuna tumaini lolote zaid ya miujizaFursa nzuri ya upinzani kuiondoa CCM madarakani ni walipokuwa na Lowassa na Sumaye. Bahati mbaya sana CHADEMA/UKAWA wameshindwa kuwatumia vizuri hawa wazee. Itachukua miaka mingi kutengeneza siasa za upinzani wenye nguvu kama wa 2015. Membe is overrated.
Shauri yake
Bila TUME huru ni kutwanga maji kwenye kinu
Mkuu umeelezea vizuri sana..na maelezo yako ni KWELI tupu..Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!
Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!
To me, membe is a real deal. why..?
#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,
#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..
#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!
#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!
#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!
#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!
Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!
vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!
Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!
To me, membe is a real deal. why..?
#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,
#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..
#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!
#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!
#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!
#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!
Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!
vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Tatizo lenu la kipuuzi kuacha h. Hapa inaonesha ulitaka kusema Membe hana jipya.... Lakini inasomeka membe ana jipya... Hivi shule mlienda kuvuta bangi?Membe ana jipya kwakuwa mfumo wa uchaguzi waratibu ni vyombo vya dola hata akiwa ameshinda hawawezi kumpa ushindi!
Hata hao wapinzani unaweza kuta ndo hao hao CCM kwenye vazi lingine tu!Upinzani Kama mkirudia kosa mlilolifanya 2015 la kumpokea yule mzee mwenye nywele yeupe ndo utakuwa mwisho wenu kisiasa.
CCM Ina mbinu nyingi Sana za kucheza na wapinzani kinachonisikitisha nikuwa Wapinzani nao huwa hawajishitukii hata japo Kuna watu smart kabisa huko..
Je nikweli Wanachama wote wa vyama vya Upinzani hayopo hata mmoja Alie Bora zaidi ya Membe?
Na je Membe asingefukuzwa huko kwake asilia Msingesimamisha Mgombea?
Je nikweli Upinzani bila Membe hauna Nguvu?
Mwisho; Ni wakati wa kujenga Upinzani imara Sasa na Wala siyo Upinzani uliojaa mamuluki.
Membe aachwe apambane na CCM yao kwa njia zao...Membe kumuamini kama mpinzani wa kweli inahitaji akili ndefu, yatakuja tokea ya mzee lowasa na sumaye hawa sio wakuamini hata wa 15% pengine atumike kuongeza wabunge wa upinzani,
Kachelo mbobezi.. hawezi kuisaliti kazi yake
Naunga mkono hoja watu wanapotosha kweli eti CHADEMA hawajajifunza eti kwa Lowassa ,kiukweli Lowassa aliibeba sana CHADEMA ,Bila Lowassa CDM/UKAWA isingekuwa na Wabunge na kura nyingi huo ndio ukweli hata CCM wenyewe wanaujua sema wanajaribu kupotosha tu.Kati ya kipindi ambacho Chadema kinapaswa kuwa makini ni hiki cha kuteua mgombea wake wa urais atakayechuana na bwana jonh wa CCM..!
Kama CHADEMA kitashindwa kupanga kete zake vizuri za kumpata mtu sahihi katika nafasi ya Rais ni dhahiri kitadondokea pua kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba mwaka huu...!
To me, membe is a real deal. why..?
#Mwl Nyerere hakuwa mjinga wala hakukurupuka kusema ccm itaangushwa na wana ccm wenyewe..! Mwalimu aliona mbali na ukweli wa kauli yake unadhihirika hivi leo ambapo mfumo dola umeegemea upande wa chama tawala...!! Katika situation kama hii..! it is real impossible kwa mtu kama Lissu aliyekulia nje ya mfumo dola kugombea na kushinda..!! angalau benard membe aliyekulia kwenye mfumo huo anaweza kugombea na kuonyesha matumaini ya ushindi...!!...Hilo la kwanza,
#La pili..!! membe na lissu wote ni wajenzi wazuri wa hoja zao lakini kitu ambacho lissu anapungiwa ni hekima ya kuwasilisha hoja zake kwa wananchi, Mara nyingi hutumia lugha na maneno makali yenye viashiria vya matusi na uchochezi jambo litakalomkosesha mvuto wa kisiasa na hatimaye kupuuzwa na wananchi wakati wa kampeni....!!..
#kumsimamisha membe kutafanya wana ccm wasiokubaliana na utawala huu kumpigia kura yeye...!!. Hivo membe up to this point ana uhakika wa kuokoteleza kura nyingi za wana ccm wasiokubaliana na bwana jonh..!!
#kwenye uchaguzi huu kura zitapigwa kikanda. Bwana jonh ngome yake iko kanda ya ziwa ambako ana uhakika wa kujinyakulia ushindi...! Sioni kama chadema kuna kanda yoyote mnayotegemea kama ngome yenu ya ushindi...! Mtumieni membe awavushe kanda ya kusini kisha mjipange kwenye kanda zingine zilizobaki...!!
#ni ukweli usio na shaka lissu na membe ukiwaweka kwenye mizania sawa ya kisiasa utagundua kuwa lissu anakubalika zaidi ndani ya chama chake wakati huo membe anakubalika zaidi kwa wananchi wote wakiwemo wana ccm asilia..!! Kazi kwenu chadema kupitisha mtu anayekubalika ndani ya chama au kupitisha mtu anayekubalika kwa wananchi....!!
#Kazi kwenu chadema msijesema hatukuwashauri...!!!
Zaidi nisome nilichoshauri kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..!
vyama vya upinzani visisimamishe wagombea uchaguzi serikali za mitaa
Anagombewa na act na chademaChadema wampe nafasi Membe fasta kabla moto haujapoa.mbona Edlow walimpa haraka haraka lakini kwa Membe wanasuasua!?
Sasa imagine wanaotuandikia hizo habari za Membe, mara tuko uchumi wa kati ni watu kabisa wana nafasi katika vyombo vya serikali, kweli tutafika hiyo per capita ya 3000 usd by 2025?Hii ni aina ya ushauri inayoonyesha kama Tanzania ni taifa lililokufa. Yaani watu wake ama ni mazezeta au hawana umuhimu kabisa. Hawahusiki kabisa na mustakabali wa nchi yao. Ni Taifa linalomilikiwa na kufaidiwa na “CCM” na, pengine, “CHADEMA”. Wananchi wanaishi kwa huruma ya vikundi maslahi hivyo! Ni upumbavu mkubwa sana tuliorithi tangu kuasisiwa kwa taifa hili.
Yaani uchaguzi ni mapambano kati ya “CCM” na “CHADEMA”. Mikakati au njama za ushindi kwao ndio kitu muhimu. Ile dhana kwamba uchaguzi ni hatua muhimu ya wananchi kupata uongozi wa maana ni “illusion” - ndoto ya mchana. Cha maana ni kuzidiana kete kwa CCM/dola na upinzani! KUNA HAJA GANI YA UCHAGUZI WA AINA HII?
Kama hilo ndilo taifa aliloasisi Nyerere basi alifanya kitu cha ovyo sana. ALIUNDA NA KUTUACHIA CHAMA DOLA ambacho kinahakikisha dhana ya demokrasia ya vyama vingi haiwezekani nchini. Ni kupoteza muda, nguvu, jasho na damu za Watanzania kuwaaminisha kushiriki katika chaguzi hizi za viini macho! Hazina manufaa yoyote kwao.
SASA, unapotaka kuwaaminisha watu kuwa chama cha upinzani kinaweza kushinda uchaguzi kwa kumsimamisha MEMBE kama mgombea wake wa urais ni kuendeleza ULAGHAI uleule wa tangu enzi za awamu ya kwanza hadi leo. Dola ipo kuhakikisha CCM inashinda by hooks and crooks, PERIOD.
Iondoe CDM katika hilo suala.Anagombewa na act na chadema