mlingoti west
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 252
- 195
Ulikuwa upendeleo mtupu. mbona yule RC hakufukuzwa!Waliombiwa wana vyeti fake walifukuzwa ili ndugu wa watu wapate pa kushika
Hivi lini utaacha kuandika utumbo. si bora urudi shuleniMangi mleta mada naona unatamani enzi zile zirudi ambako kila kona lugha ya mangi ilikuwa lugha ya taifa kwenye kila
kila ofisi aikambe aikambe ha ha ha .Sahau nyakati hizo zinapita kasi na usitegemee zirudi tena kwa heri ya kuonana jipange tu kisaikolojia
Inawezekana ni wakurugenzi wanajipendekeza. Mwaka juzi body ya REA ilivunjwa , vipi waliopata dili Tena. Nahisi ndo Hawa walijipendekeza kwa mkuru.Umenena vema yamkini na mwanae Jesca kama kapelekwa huko REA na wanaojipendekeza yamkini atamng'oa soon!
Inawezekana ni wakurugenzi wanajipendekeza. Mwaka juzi body ya REA ilivunjwa , vipi waliopata dili Tena. Nahisi ndo Hawa walijipendekeza kwa mkuru.Umenena vema yamkini na mwanae Jesca kama kapelekwa huko REA na wanaojipendekeza yamkini atamng'oa soon!
kwani jesca alikuwa wapi kabla hajahamishiwa REA
Kuna kazi moja ya REA ilirudiwa Mara kwa mara kutangazwa ilihusu sana wasomi wa hiyo kozi na related. Nahisi kainyaka bila kutumia nguvuKamaliza Bachelor of Public Administration UDOM-2017
Kamaliza Masters Of Public Administration UDOM-2019.
Alaf unataka asile shavu?
Me too! Yaani sijaelewa ana furahia Mambo yanavyoenda au? Au yeye ndo Jesca?Hueleweki!
Kumbe Ali clear sup zakeKamaliza Bachelor of Public Administration UDOM-2017
Kamaliza Masters Of Public Administration UDOM-2019.
Alaf unataka asile shavu?
Kumbe Ali clear sup zake
AhaaaKuna thread humu ya wanafunz wenzake walikuja kulia lia humu kuwa kaenda masters huku akiwa na sups za bachelor. Zote ni tetesi ila taarifa za uhakika kuwa binti ni graduate wa Masters ya Public administration (MPA) hivyo hata kama mimi ningekuwa baba yake aisee lazima ningemuweka kitengo saa 2 asubuhi
Magufuli ndio anahamisha wafanyakazi kada ya chini kabisa ?Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara wa shilingi laki 5 cha ajabu Magu mwenyewe bila kufuata taratibu amemhamishia mwanae sehemu yenye neema bila kufuata taratibu. Kwa ujumla kipindi hiki JPM na Serikali yake imeajiri na kuhamisha hamisha wafanyakazi kwa kinyemela sana na bila kufuata taratibu. Wafanyakazi ndugu wa wakubwa wamewekwa sehemu nzuri nzuri tu. Wanakula mishahara mizuri na ndiyo maana Magu kagoma kata kata kupandisha mishahara. Wanae na wapwa wake kama akina Doto James hawafeel pinch yeyote ya hali ngumu waliyonayo wafanyakazi wengine.
Tafadhali Membe na Lissu mkianza kampeni hebu hojini kuhusu namna taratibu zilivyofuatwa na hawa wakubwa wakati wa kuajiri haw watato. Mnaweza kuanza na huyu Jesca Magu ni sababu gani zimeletekeza ahamishiwe REA? Je, alikuwa na vigezo? REA pia ina watoto wa wakubwa wengi akiwemo mtoto wa Majaliwa mwenyewe? Je, ni kweli waliajiriwa kwa taratibu na vigezo stahili?
Inavyoonekana Sekretarieti ya Ajira kwa sasa inatumika tu kama pambo kwamba inaendesha michakato ya ajira Serikalini. Kwa sasa hamna kabisa ushindani kwenye ajira za Serikali kwa sehemu zile nyeti. Wakubwa wanapeleka tu watu wao. Hata Benki Kuu ambayo ni Taasisi iliyopaswa kuwa huru kadri iwezekanavyo kwa sasa imeingiliwa - watu hawana hata competency ya kueleweka wanapelekwa pale. Tena wengine wanasiasa kabisaa - bora hata wangepelekwa watu wa Usalama wa Taifa lakini wanapelekwa wanasiasa
Kuna hili la ukabila ambao limeonekana kabisa kwa uwazi. Dar-es-Salaam pamoja na kuwa ni kama haina ukabila lakini inaonekana WaSukuma wengi wameandaliwa kugombea Dar. Jaribuni kuangalia majimbo yote ya Dar yalikuwa na wagombea WaSukuma na watu wa Kanda hiyo ambao mpango ni kuwapitisha wote wagombee isipokuwa Ubungo tu. Huu mpango upo na baada ya muda kidogo mtaamini ninachoandika hapa
Ili kurekebisha hali hii Memba au/na Lissu tafadhalini mliseme sana hili wakati mkiomba kura zetu. Viongozi hawa warudi kwenye misingi ya ushindani sahihi uliowekwa na Mkapa na Kikwete. Nafasi za kazi za vyeo hata Taasisi nzuri kama REA, SSRA, EWURA, TCRA, TIRA, PSPF, PSSF, TBS, TPA, TRA, BOT, TIC n.k zote zilikuwa zinatangazwa. Kwa sasa huoni Taasisi hizo zikitangaza nafasi za kuanzia Mameneja wala Wakurugenzi. Wanapelekwa tu wale wanaohusiana kindugu, kimahaba, kikabila, kirafiki n.k.
Ili kuongea hayo kwa evidence mnaweza kuanza na Taasisi hizo kuangalia wafanyakazi wote wenye vinafasi walioingia kuanzia Mwaka 2018 Machi, mtakuta uozo sana sana. Na taarifa hizo mtazipata tu kwani mwenyewe nimefanya utafiti na nitawaletea ukweli wote kwa namana ninayoijua mimi!.
Kwani haiwezekani? Mbona kateua mtu alikuwa Sajenti?Magufuli ndio anahamisha wafanyakazi kada ya chini kabisa ?
Kama kuna wanunuzi, hiyo ni fursa pia. Wachina wanatumia kurutubisha ardhi na hizo mboga mboga zinauzwa ktk masoko ya kwetu.Sio huko tu hadi Kanada wapo wanauza mavi ilimradi wapate Hela. Si Unamjua kule Hela mbele hata kwa kutoa kafara baba
MhhhhhKama kuna wanunuzi, hiyo ni fursa pia. Wachina wanatumia kurutubisha ardhi na hizo mboga mboga zinauzwa ktk masoko ya kwetu.
Mkuu kama huamini, tembelea maskani wanazokaa wenyewe nje ya mijiMhhhhh
Kama kuna waliokidhi zaidi yake na waliomba wakanyimwa kaepwa yeye bila kuomba!Kama kakidhi vigezo Ni sawa
Tangiapo lake zone ndio Tanzania yenyewe mkuu. Tukiamua kuwa ni nini kinatokea nchini ndicho kinachotokea wala sio mkoa ama kanda nyingine. Tumeshatoa maraisi wawili na kuna kanda hata mmoja raisi hawajatoa tokea. Yaani ukiangalia hata askari,usalama utaifa ndio sie so tukiamu lolote linatokea. Wewe umia na roho ya kujiona una akili kuliko wengine.Wakiliongelea hilo tu wategemee kutoambulia kura usukumani ambako ndio kunawapiga kura wengi,Wasukuma watapiga kura kikabila zaidi na mshindi atakuwa ameshajulikana tayari,huu mchezo hauhitaji hasira mjomba