Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
MIE sie ndiye nashangaa monocotyledon ama dicotyledon
Kama kakidhi vigezo Ni sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kakidhi vigezo Ni sawa
It is our turn to 'eat'!
Kweli kabisa hata kwa kikwete walilalamika hivyo hivyoHakuna binadamu asiye mkabila, au mbinafsi, hayupo na wala hatatokea, wapo wasiowapa nduvu lakini huwapa mahawala au watoto na ndugu wa mahawala na hata majirani. Ubinafsi ni (necha) ya mwanadamu, ingawa kelele husaidia kumfanya mwanasiasa apunguze roho ya ubinafsi.
Asilimia kwabwa ya wapinga ukabila ni wakabila kwa asili. Mimi siwezi kuwa raisi wa nchi, nalitumikia taifa alafu namuacha mtoto wangu nyumbani hana kazi. Ebu kabla hujamuhukumu mwingine mtazame mtoto wako alafu tafakari jinsi unavyompigania. Angali usizushe mambo pia ni dhambi.
Na ndiyo maana HDI ya mikoa hiyo ipo chini kuliko ya Msumbiji au miko ya kanda nyingine.Tangiapo lake zone ndio Tanzania yenyewe mkuu. Tukiamua kuwa ni nini kinatokea nchini ndicho kinachotokea wala sio mkoa ama kanda nyingine. Tumeshatoa maraisi wawili na kuna kanda hata mmoja raisi hawajatoa tokea. Yaani ukiangalia hata askari,usalama utaifa ndio sie so tukiamu lolote linatokea. Wewe umia na roho ya kujiona una akili kuliko wengine.
Yaani ukianza Tabora,shy,Mza,kagera,Mara ndio Tanzania imekaa hapo hapo mkuu.
Kama hauipendi lake zone mkuu utakufa kwa chuki mana hakuna kitu kitokee Tanzania bila ya lake zone. Gonga like twenzetu.Na ndiyo maana HDI ya mikoa hiyo ipo chini kuliko ya Msumbiji au miko ya kanda nyingine.
MhhhhhhhhhhKama hauipendi lake zone mkuu utakufa kwa chuki mana hakuna kitu kitokee Tanzania bila ya lake zone. Gonga like twenzetu.
Sio kama siwapendi ila nimekwambia tu ukweliKama hauipendi lake zone mkuu utakufa kwa chuki mana hakuna kitu kitokee Tanzania bila ya lake zone. Gonga like twenzetu.
Kama umesema ni sawa ila kama ulisemaga pia enzi zile aika MBE walijazana kule TRA,TPA n.k Uko sawa ila kama umesema kwa kipindi hiki tu mkuu utakuwa Upo biasedSio kama siwapendi ila nimekwambia tu ukweli
Hao jamaa bado wapo sana na huna cha kufanya walichofanya wameacha kutumia majina za koo zao tu ili boya kama ww usijue. Na walivyo na akili wamekimbilia pia kwenye biashara zote muhimu. Huko hamuwezi kushindana nao. Hadi nakuhurumia maana matamanio yako hayatafanikiwa. Kasome Historia ya Jews Europe walipotengwa na kilichotokea.Kama umesema ni sawa ila kama ulisemaga pia enzi zile aika MBE walijazana kule TRA,TPA n.k Uko sawa ila kama umesema kwa kipindi hiki tu mkuu utakuwa Upo biased
Mbona umekuja kujifariji ama kujilizaliza huku mtandaoni mkuu. Hata wabadili wameshajulikana hizo njama kitambo ila asili ya MTU haijifichi.Hao jamaa bado wapo sana na huna cha kufanya walichofanya wameacha kutumia majina za koo zao tu ili boya kama ww usijue. Na walivyo na akili wamekimbilia pia kwenye biashara zote muhimu. Huko hamuwezi kushindana nao. Hadi nakuhurumia maana matamanio yako hayatafanikiwa. Kasome Historia ya Jews Europe walipotengwa na kilichotokea.
Utapata tabu sanaMbona umekuja kujifariji ama kujilizaliza huku mtandaoni mkuu. Hata wabadili wameshajulikana hizo njama kitambo ila asili ya MTU haijifichi.
Naona umeguswa umejaa upepo ngoja afande aje akutoe upepo mana umejaa mkuu.
Kwa hiyo psrs ni geresha tu mkuu? Juzi kuna ndugu yangu katoka kwenye usahili wa tra oral katoka na furaha kweli, kwa hiyo maana yake hapiti?Hili kweli kabisa Mana sitasahau tulivyo Fanya interview za REA. Tukaingia mpaka oral Ila waliokuja kuitwa aisee lo inauma sana. Psrs ni madudu tu. Watu wananeemeka wengine tunahausle. Tunajua kunawatu waliitwa kindugu na majina hayakuwa publish online kukwepa aibu ya ulasimu.
Yani pamoja na kufukuza watu wenye vyeti feki lakini hamna kitu kabisa.
Hao jamaa bado wapo sana na huna cha kufanya walichofanya wameacha kutumia majina za koo zao tu ili boya kama ww usijue. Na walivyo na akili wamekimbilia pia kwenye biashara zote muhimu. Huko hamuwezi kushindana nao. Hadi nakuhurumia maana matamanio yako hayatafanikiwa. Kasome Historia ya Jews Europe walipotengwa na kilichotokea.
Bakieni kwenye biashara muhimu ngoja sie kwanza tufaidi elimu yetu mkuu. Ukamuliwe kodi afu niile kiulaini. Saivi ujanja janja Wa kuikwepa hakuna kukwepa. Lazima ulipe kodi wanaume wale. Wewe pambana bwashee ulipe kodi ilivyostahiki afu katambi alipwe mshaaraUtapata tabu sana
Akili ya kimasikini. Kwani wao hawatasoma?Bakieni kwenye biashara muhimu ngoja sie kwanza tufaidi elimu yetu mkuu. Ukamuliwe kodi afu niile kiulaini. Saivi ujanja janja Wa kuikwepa hakuna kukwepa. Lazima ulipe kodi wanaume wale. Wewe pambana bwashee ulipe kodi ilivyostahiki afu katambi alipwe mshaara
Nimefuatilia nyuzi zako nimegundua kuwa wewe ni mkenya sema tu unaishi tz mkuu ila ki tabia za kibaguzi pia wewe ni ostaazi so siwezi kujibizana nawewe. Na una chuki zako binafsi na makabila yaliyoko Tanzania. Yaani hauna tofauti ya mkikuyu anayejiona ndiye anayesyahili kutawala kuliko mluo.Akili ya kimasikini. Kwani wao hawatasoma?
Daah!Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara wa shilingi laki 5 cha ajabu Magu mwenyewe bila kufuata taratibu amemhamishia mwanae sehemu yenye neema bila kufuata taratibu. Kwa ujumla kipindi hiki JPM na Serikali yake imeajiri na kuhamisha hamisha wafanyakazi kwa kinyemela sana na bila kufuata taratibu. Wafanyakazi ndugu wa wakubwa wamewekwa sehemu nzuri nzuri tu. Wanakula mishahara mizuri na ndiyo maana Magu kagoma kata kata kupandisha mishahara. Wanae na wapwa wake kama akina Doto James hawafeel pinch yeyote ya hali ngumu waliyonayo wafanyakazi wengine.
Tafadhali Membe na Lissu mkianza kampeni hebu hojini kuhusu namna taratibu zilivyofuatwa na hawa wakubwa wakati wa kuajiri haw watato. Mnaweza kuanza na huyu Jesca Magu ni sababu gani zimeletekeza ahamishiwe REA? Je, alikuwa na vigezo? REA pia ina watoto wa wakubwa wengi akiwemo mtoto wa Majaliwa mwenyewe? Je, ni kweli waliajiriwa kwa taratibu na vigezo stahili?
Inavyoonekana Sekretarieti ya Ajira kwa sasa inatumika tu kama pambo kwamba inaendesha michakato ya ajira Serikalini. Kwa sasa hamna kabisa ushindani kwenye ajira za Serikali kwa sehemu zile nyeti. Wakubwa wanapeleka tu watu wao. Hata Benki Kuu ambayo ni Taasisi iliyopaswa kuwa huru kadri iwezekanavyo kwa sasa imeingiliwa - watu hawana hata competency ya kueleweka wanapelekwa pale. Tena wengine wanasiasa kabisaa - bora hata wangepelekwa watu wa Usalama wa Taifa lakini wanapelekwa wanasiasa
Kuna hili la ukabila ambao limeonekana kabisa kwa uwazi. Dar-es-Salaam pamoja na kuwa ni kama haina ukabila lakini inaonekana WaSukuma wengi wameandaliwa kugombea Dar. Jaribuni kuangalia majimbo yote ya Dar yalikuwa na wagombea WaSukuma na watu wa Kanda hiyo ambao mpango ni kuwapitisha wote wagombee isipokuwa Ubungo tu. Huu mpango upo na baada ya muda kidogo mtaamini ninachoandika hapa
Ili kurekebisha hali hii Memba au/na Lissu tafadhalini mliseme sana hili wakati mkiomba kura zetu. Viongozi hawa warudi kwenye misingi ya ushindani sahihi uliowekwa na Mkapa na Kikwete. Nafasi za kazi za vyeo hata Taasisi nzuri kama REA, SSRA, EWURA, TCRA, TIRA, PSPF, PSSF, TBS, TPA, TRA, BOT, TIC n.k zote zilikuwa zinatangazwa. Kwa sasa huoni Taasisi hizo zikitangaza nafasi za kuanzia Mameneja wala Wakurugenzi. Wanapelekwa tu wale wanaohusiana kindugu, kimahaba, kikabila, kirafiki n.k.
Ili kuongea hayo kwa evidence mnaweza kuanza na Taasisi hizo kuangalia wafanyakazi wote wenye vinafasi walioingia kuanzia Mwaka 2018 Machi, mtakuta uozo sana sana. Na taarifa hizo mtazipata tu kwani mwenyewe nimefanya utafiti na nitawaletea ukweli wote kwa namana ninayoijua mimi!.
Wewe hujioni? IdiotNimefuatilia nyuzi zako nimegundua kuwa wewe ni mkenya sema tu unaishi tz mkuu ila ki tabia za kibaguzi pia wewe ni ostaazi so siwezi kujibizana nawewe. Na una chuki zako binafsi na makabila yaliyoko Tanzania. Yaani hauna tofauti ya mkikuyu anayejiona ndiye anayesyahili kutawala kuliko mluo.
Endelea pia hata uongozi uliopo hauupendi ma sio lazima uuepende as still life goes on nothing to worry.
Kaungane na ndugu zako kwenye biashara muhimu mkuu. Yupo kanada huyu kweli mmeenea kila pande ulimwengu mazima. Bado Jupiter ma mars hamjafikapo tu bado?Akili ya kimasikini. Kwani wao hawatasoma?
Kwani huyo ndugulile ni kabila gani unadhani? Wasukuma ni wengi mno mjomba,huu mchezo hauhitaji hasira tunawaangalia tu tunasema hiiiiiiWakabila sana hao kiongozi! Na hatari yao ndiyo inaanza kujulikana sasa. Unaona walivyoipania Dar - Makonda, Gwajima, Mashinji, Furaha Dominic, n.k