Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Dawa ya yote haya ni CCM waweke democrasia kwny mchakato wa uchaguzi..kila mwanachama mwenye Nia achukue form mbona Sita kwenye uspika alikubali ninyi kwnn hamtaki mnaogopa nini?
 
Jiwe hapati usingizi ujue

SUBIRI KIDOGO
Nikikumbuka ile 2015 Magu dizaini kama alichanganyikiwa hivi kipindi kile cha kampeni EDO alijua kumuhenyesha asee. Ijapokuwa edo hakuwa mwana mageuzi wa ukweli....leo naona ny'aa inagonga pichu[emoji23][emoji23][emoji23] Ila huyu atamfanya achanganyikiwe zaidi
Your browser is not able to display this video.
 
Aise...
Hivi bado kuna wanaowaza kushindana na magu? Yaani kwa hapa tz upinzini kuchukua nchi bado sana labda damu imwagike au umoja wa mataifa uingilie kati ma tume iliopo ibadilishwe
 
Mkuu una mahaba niue na Lissu! Huoni kwamba mwenyekiti wa chama katia nia na hivyo ni vyema akapewa nafasi?
 
Kwani lazima agombee kupitia CCM vyama vipo vingi aende Chadema,ACT ,CUF .Membe kitu gani bana.Tukutane kwa debe .
 
Jamaa anapenda kuongea huyu actions zero, chagua moja sio kulia lia ,chagua ccm au pinzani mara moja, shushu mbobezi unalalamika muda wote vipi wewe? vyama vingi vipo hata Tz na muda una yoyoma fanya haraka kampeni zianze.
 

Sioni ushawishi wowote wa ukweli wa kisiasa alionao Membe, sana sana ninachoona ni yeye kutokukubali kuwa kondoo kwa Magufuli kama walivyo wengine. Pia nguvu ya ushawishi ya kweli ya chama cha ACT iko pemba/Zanzibar, sehemu ambayo ni ndogo sana. Lakini kwa huku bara chama cha upinzani chenye ushawishi mkubwa ni CDM. Hata Lowassa hakuwa na ushawishi wowote wa kisiasa hiyo 2015, bali alikuta cdm ikiwa imepata hamasa kubwa. Vinginevyo angejiunga chama kingine angepata chini ya za Anna Mghwira.

Hata hivyo sitaki kuamini eti tatizo la upinzani ni mgombea, kwangu tatizo hasa la wapinzani kupata kura, ni tume isiyo huru ya uchaguzi. Iwapo wapinzani hawatasimamia hili kwa nguvu zote, itakuwa ni upotevu wa rasilimali muda na fedha. Ni bora kususia siku ya kupiga kura na kuhamasumisha wananchi kutokutokea siku ya kupiga kura, ili kushinikiza uwepo wa tume huru ya uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…