Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

hivi aliyemwambia Membe kuwa wananchi wanamuhitaji yeye ni nani?binafsi naona Membe hana ushawishi wowote compared na Magufuli alivyo sasa au hata Mbowe.
 
Hamna mwenye uwezo Wa kumpinga Bwana Mkubwa ndani ya CCM..
Kinachoangaliwa hapo ni je Katiba ya CCM ilifiatwa wakati wa kimfukuza uanachama Membe?

Kama haikufuatwa ni kwanini haikufiatwa na baada ya hapo ndipo mtakapojilua kuwa chama kina was mwenyewe.
 
Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Vigezo anavyo,,lakini tamaduni yetu haitaki
 
Yeye alishasema hajapewa barua yeyote ya kufukuzwa Uanachama. So yeye bado ajiona yu mwana CCM mwenye sifa za kugombea nafasi hiyo pendwa
Lakini hajaforce,anasema akikubaliwa kuchukua form atachukua,asipokubaliwa haendi dodoma,
Mbona kaeleza kila kitu wazi?
 
Ok
Kumbe tunabaguana tena
 
Kama membe hajafukuzwa CCM na anataka kugombea uteuzi asihangaike mitandaoni aende akachukue fomu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Point mkuu, badala ya kupoteza muda na siku ndo hizi za kutafuta wadhamini kesho asubuhi aamuke asubuhi na mapema akachukue form ashindane sio kuongea tu, muda ni huu.
 
Tuliza mshono huo sisi ndiyo wana ccm na tupo tayari kumuunga mkono

Kwani shida iko wapi, kama mnaumia sana nendeni mumpe fomu ya chadema agombee.
Mbona nyie mliwafuta uanachama akina sirinde kupitia kikamati cha mbowe na wao hawajataka kung'ang'ania huko?
Yeye CCM ameachamo nini, kama kingunge aliondoka yeye ni nani sasa?
 
Bado yupo yupo sana hapo hadi October tumkabidhi inchi ndani ya ccm.
 
Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Hoja ya msingi iko palepale.
Katiba yenu CCM inamruhusu Membe kama wengine kuchukua form ili kuomba kuwa mgombea urais, kwani ni mwanachama hai.
Hivyo basi akipenda anaweza kuitumia haki yake. Anafaa au hafai kwa macho yako haimwondolei haki hiyo.
 
Ccm wapo tayari kufanya lolote hata kumwaga damu ya mtu au kutoa uhai kabisa, ili kutetea maslahi yao. Na hapa ndo idara ya usalama inapopoteza weledi wake
 
Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
CDM mtuache asije akasababisha watu wetu wazidi kuuwawa.
 
Total stupidity! Kwani ulizaliwa kuwa rais? Huyu na yule jamaa wa Bunda hakuna tofauti. Kila leo wanwaza siasa. Nadhani walifaidi sana ndani ya siasa, mbona sisi tunalima?
 
Kinachoangaliwa hapo ni je Katiba ya CCM ilifiatwa wakati wa kimfukuza uanachama Membe?

Kama haikufuatwa ni kwanini haikufiatwa na baada ya hapo ndipo mtakapojilua kuwa chama kina was mwenyewe.
Kama Katiba Mama ya Nchi ameisigina na hamna aliyethubutu kumkemea sidhani kama Kikatiba uchwara cha CCM kinaweza kumtisha vyovyote..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…