Huyo ana pesa za kuishi nje ya nchi maisha yake yote yaliyobaki duniani kwa starehe na chenji ikabaki, hao walishapiga pesa kipindi cha Mkwere halafu pia ni mtu wa idarani huyo anajua kila kitu kinachopangwa na kinachoendelea kila siku Magogoni na chamwino anajua hadi sasa hivi baba jeska anapiga mvinyo au kapiga chafya ndio maana akaitwa mbobezi system yote anaijua....NB: Usimuamini sana mwanasiasa hizi zote ni kutaka kuichanganya upinzani na kuwaondoa kwenye tension ya uchaguzi ili magu apate mserereko na wenyewe wakiicheza hii singeli ya membe wameenda na maji.