Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
Watanzania wengi sana wanaishi maisha magumu kutokana na Serikali ya CCM
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.

Nijuavyo, maisha ya mtu yapo mikononi mwa MUNGU, hivyo kuishi vizuri au vibaya hakutegemei utasha wa mtu. Kama mtu atatumia nafasi aliyo nayo kunyanyasa watu wengine, basi huyo mtu hafai katika jamii yeyote ile.
 
Huyo ana pesa za kuishi nje ya nchi maisha yake yote yaliyobaki duniani kwa starehe na chenji ikabaki, hao walishapiga pesa kipindi cha Mkwere halafu pia ni mtu wa idarani huyo anajua kila kitu kinachopangwa na kinachoendelea kila siku Magogoni na chamwino anajua hadi sasa hivi baba jeska anapiga mvinyo au kapiga chafya ndio maana akaitwa mbobezi system yote anaijua....NB: Usimuamini sana mwanasiasa hizi zote ni kutaka kuichanganya upinzani na kuwaondoa kwenye tension ya uchaguzi ili magu apate mserereko na wenyewe wakiicheza hii singeli ya membe wameenda na maji.
Kwenye ubobezi nakataa, mbobezi gani anadukuliwa mawasiliano ya simu kirahisi rahisi.
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.

WOGA ni adui mkubwa kipindukia. Mtu mwoga hukimbia hata kivuli chake mwenyewe. Sasa basi ukichanganya UJINGA na WOGA unapata andiko kama nukuu ya juu.

Akiba ya maneno aliyo nayo BCM haichochewi na UJINGA, yeye sio IGNORAMUS hata kidogo na kama alivyosema, HAJAMKOSEA yeyote yule bali anasimama kwenye ule MSTARI anaouamini. Huyu ni JASIRI, a GENERAL material. Bisha
 
Watakao ishi maisha magumu ni wewe na Ndugu zako mnao mpigia debe magu arudi kumalizia kuua uchumi
 
Membe aliaminishwa kwamba yeye ndio mteule na ataendelea kula kuku kwa biscuit. Imekula kwake.
 
Acha kutisha watu wewe..unadhani huyo anayewekea wenzake chuki yeye ataishi kwa Amani? ukitendea mwenzio mabaya usifikirie kwamba mazuri yatakuwa yako.
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
Sio fala kiivyo kama unavyodhani!

Mawe akija kifala,anaweza ota manundu!
 
Namaanisha ndugu Membe ataishi maisha magumu sana baada ya uchaguzi mkuu wa hapo Oktoba mapema mwaka huu.
Wewe ni nani unatishia watu hapa? Au ndio wale vijana wa chattle wanaotesa na kuua watu kwa kutumwa? Mnajulikana wote na ni suala la muda tu kabla hamjaanza kukimbia nchi.
 
Wanapokuwa kwenye madaraka na nafasi ya kufanya maamuzi yenye tija kwa nchi wao wanaangalia masilahi ya chama. Sasa yupo njia panda anataka kuungwa mkono kutoka upande wa pili. Alipokuwa katika maamuzi alifanya nini kuimarisha demokrasia na hasa taratibu zenye usawa katika chaguzi zetu na utoaji wa haki katika ngazi za maamuzi?
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
Wewe ni kama waitara, ungesimama mahali pa mbowe saa hizi ushakimbia nchi
 
Back
Top Bottom