Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Namba moujer huwa ni mwepesi sana wa kusamehe ukiamua akusamehe..
Na ukijiona una kiburi utajua kiburi chake..
Akili kichwan mwako tu kudeal na nba moujer wetu
 
Kwenye ubobezi nakataa, mbobezi gani anadukuliwa mawasiliano ya simu kirahisi rahisi.
Huwajuwi watu wa Dunia ya kwanza walio wahi kudukuliwa wenye nguvu kubwa kuliko Jiwe !? Au huwa mnasomaga gazeti la Uhuru tu
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
Ulikuwa wapi siku zote?? UNACHEKESHA SANA 🤩🤩
 
Jasusi mbobezi Membe: Kudukua ni kosa la jinai, ukipatikana na hatia na ushahidi ukiwepo unafungwa gerezani....Nimewauliza kwenye kikao, nani kanidukua

Wajumbe: Hatujui mkuu,
 
Sjui Kwa nini Historia huwa inamatokeo ya kweli!

Woote waliowahi kuusaka uraisi Kwa nguvu waliambulia patupu, na huyu Jamaa haitatokea awe Raisi wa hii nchi ya wastarabu na Taifa la wacha Mungu
 
Nimpongeze kwa kuendelea kujipa moyo; bado muda upo.

Mh Membe akumbuke tu shida sio kuruhusiwa, shida hiyo fomu nyingine unaipata wapi?

Wakati wa Dodoma zile zigazaga mlifurahia sana; Mungu akaamua kuwaletea kipenzi chake Watanzania.

Sasa leo tuendelee kuwa wapole na kukubali matokeo kama alivyokubali Mh Lowassa kipindi kile; hakuendelea kukimbizana alikubali uhalisia.

Tuachieni Dk wetu Rais Magufuli twende naye mbele ya safari Mungu atatuongoza; haya mambo ya kila mtu kugomabania kama mnaweka kumbukumbu makumbusho, hatutaki tena.

All d best
 
Smoothly and silently [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
Nikiona mtu anaandika kwa all caps huku akiwa hajui matumizi ya koma ama nukta, namuona ni mpuuzi kama mpuuzi mwingine.
Kuna style inamtambulisha mtu kiasi mpaka akija na ID nyingine unaweza mshtukia.

Mleta uzi hii ndiyo style yake miaka yote.

Sasa hapo hujaanza kudeal na misspelling.
 
Hivi Buku 7 pale mitaa ya lumumba mmeongezewa ujira wenu ama bado kama wafanyakazi wengine? ukiona mtu anaandika mwandiko huu, ni kikundi cha waliokuja mjini kutokana na mbio za mwenye na walipatikana kupitia mikesha ya mwenge
 
Alafu na ofisi ya kuchukulia form imepigwa kufuli la kilo tano na sekretari kapewa likizo ya miezi sita hukoo ughaibuni akatulie.
 
Alionyesha misimamo yake dhidi ya jiwe. Pumzika kwa amani Membe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…