Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ya Tanzania
CCM ya nchi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ya nchi gani?
Ni faida zaidi kwa act kuliko chadema, chadema hawawezi mpokea moja kwa moja kwa sababu hawataki tudia kisa la 2015. Act hawana cha kupoteza maana mpaka sasa hawana kitu zaidi ya zitto.Kwanini unasema hivyo?
Jamaa siyo wa kumpuuza kihivyo.
Chama atakachoshiriki kitapata faida kuliko kumkosa.
Kwanza atakuja na wanachama wapya wengi
Pili itapelekea nguvu ktk kuchagua wabunge na madiwani wa chama husika cha upinzani.
N.k
Chama chochote atakachogombea kitapeleka value addition nakuambia.
Tafakari
Anamaanisha "sisi wana ccm" maana ni yeye atapitishwa kugombeaKauli ya Membe ya SISI SISI SISI Nani kaielewa?
Kwa act, kwa kumchukua membe wao watapata kitu zaidi ya kupoteza! Kwa sasa hawana kitu. Nothing to lose sio kama chadema wakimchukua membe moja kwa moja kama mgombea wao.Mkuu hongereni kwa hayo maono yenu. Hivi kweli tatizo la sasa ni aina ya mgombea wa upinzani au kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi?
Nisiwe mnafiki, kumchukua Membe kuwa mgombea wa upinzani, ni kosa kubwa kuliko lile kosa walilofanya wapinzani la kumchukua Lowassa 2015. Ni wapi tunakwama, mbona tatizo la msingi lipo wazi kuwa tume kutokuwa huru ndio tatizo la msingi lilipo?
Bila tume huru ya uchaguzi, ni wendawazimu wapinzani kushiriki huo utapeli uitwao uchaguzi.
Huyu barafuyamoto ni mtu ambae siku zote mimi na yeye huwa tunakinzani kimawazo na kimisimamo hapa JF yeye aikionekana kuwa ni mtu anaeunga mkono CCM na mimi nikiwa ni mtu naeunga mkono upinzani.
Hata hivyo,kwa mshangao mkubwa leo hii mimi na yeye tumewaza kitu kile kile kwa asilimia 100 jambo ambalo linenifanya nijiulize kama hii imetokea tu kwa bahati au vinginevyo ila nimekuja ku-conlude kuwa haya yatakuwa maono na hiki huenda ndio kinaweza kuja kutokea hapo baadae kabla ya Oktoba mwaka huu.
Ni hivi:Baada ya kuisikiliza clip ya Membe,ndani ya muda mfupi tu nikapata wazo kuwa Membe atahamia ACT-Wazalendo na atateuliwa kuwa mgombea na watachofanya CHADEMA ni kutosimamisha mgombe(watacheza mchezo wa kisiasa) alafu waje wamuunge mkono Membe na lengo ni wao kukwepa kurudia kosa kama lile la kumsimamisha Lowassa(hawatataka kuonekana wanachakuwa tena wagombea kutoka CCM hasa kwa ngazi ya uraisi).
Hivyo ndivyo nilivyowaza, ila kwa mshangao mkubwa, nimekuta na huyu member barafuyamoto nae kawaza kama mimi kwa asilimia 100 ingawa mimi nilienda mbali zaidi kwa kuwaza/kuamini watachofanya CHADEMA ni kumsimamisha Lissu alafu baadae Lissu atajitoa kwa kuhofia usalama wake na hatarudi nchini na mchezo huo wa kisiasa utakuwa umekamilika na CHADEMA wataamunga mkono Membe.
Najua yako yanayosemwa kuhusu Lissu kufanyiwa mizengwe kwenye uteuzi ila hizi zote zinaweza kuwa ni siasa tu zenye malengo fulani.
Tusubiri.
Maoni yangu:
Mimi kama mwananchi wa kawaida,nawashauri wapinzani wasirudie kosa la kumsimamisha mgombe yoyote aliekataliwa,kufukuzwa au kujiondoa CCM katika uchaguzi huu, hasa kwa nafasi ya uraisi, kwani wananchi teyari wana majereha katika mioyo yao hivyo kurudia kosa kama hili kupitia chama chochote cha upinzani ni kutonesha vidonda hivi na zaidi ni kukaribisha hatari ya vyama vya upinzani kudharauliwa, kupuuzwa na hata kukataliwa na wapiga kura na madhara mengine ni hali hii kuwakatisha tamaa wananchi wengi na kuwafanya wasijitokeze kwenye kupiga kura.
Hata Nyalandu nawashauri msimpitishe kuwa mgombea kwasababu hizi hizi nilizozitaja.
Hawa mambwiga wa Lumumba kila siku nawaambia hawaelewi wanajifanya wao ni miungu watu,wanatukana mamba kabla hawajavuka mto.Amesema lkn kuwa hakuna ajuae Mungu kapanga nn juu yake na Magu pia. Oct. mbali tutegemee lolote hapa katikati.
Dah...Wewe umeanza kuchanganikiwa na barafu za moto wako, we unadhani sisi chadema tunaweza kutegemea chama cha hovyo kama Act kukiunga mkono...nakuomba uhamie ccm huko ndo kuna zero brain .
Kwani kutamka tu kuwa tunamuunga mkono mgombea fulani kunataka sheria?Mkuu mbona msajili kasema muda wa kujiunga ushaisha!!!!!!
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.Huyu barafuyamoto ni mtu ambae siku zote mimi na yeye huwa tunakinzani kimawazo na kimisimamo hapa JF yeye aikionekana kuwa ni mtu anaeunga mkono CCM na mimi nikiwa ni mtu naeunga mkono upinzani.
Hata hivyo,kwa mshangao mkubwa leo hii mimi na yeye tumewaza kitu kile kile kwa asilimia 100 jambo ambalo linenifanya nijiulize kama hii imetokea tu kwa bahati au vinginevyo ila nimekuja ku-conlude kuwa haya yatakuwa maono na hiki huenda ndio kinaweza kuja kutokea hapo baadae kabla ya Oktoba mwaka huu.
Ni hivi:Baada ya kuisikiliza clip ya Membe,ndani ya muda mfupi tu nikapata wazo kuwa Membe atahamia ACT-Wazalendo na atateuliwa kuwa mgombea na watachofanya CHADEMA ni kutosimamisha mgombe(watacheza mchezo wa kisiasa) alafu waje wamuunge mkono Membe na lengo ni wao kukwepa kurudia kosa kama lile la kumsimamisha Lowassa(hawatataka kuonekana wanachakuwa tena wagombea kutoka CCM hasa kwa ngazi ya uraisi).
Hivyo ndivyo nilivyowaza, ila kwa mshangao mkubwa, nimekuta na huyu member barafuyamoto nae kawaza kama mimi kwa asilimia 100 ingawa mimi nilienda mbali zaidi kwa kuwaza/kuamini watachofanya CHADEMA ni kumsimamisha Lissu alafu baadae Lissu atajitoa kwa kuhofia usalama wake na hatarudi nchini na mchezo huo wa kisiasa utakuwa umekamilika na CHADEMA wataamunga mkono Membe.
Najua yako yanayosemwa kuhusu Lissu kufanyiwa mizengwe kwenye uteuzi ila hizi zote zinaweza kuwa ni siasa tu zenye malengo fulani.
Tusubiri.
Maoni yangu:
Mimi kama mwananchi wa kawaida,nawashauri wapinzani wasirudie kosa la kumsimamisha mgombe yoyote aliekataliwa,kufukuzwa au kujiondoa CCM katika uchaguzi huu, hasa kwa nafasi ya uraisi, kwani wananchi teyari wana majereha katika mioyo yao hivyo kurudia kosa kama hili kupitia chama chochote cha upinzani ni kutonesha vidonda hivi na zaidi ni kukaribisha hatari ya vyama vya upinzani kudharauliwa, kupuuzwa na hata kukataliwa na wapiga kura na madhara mengine ni hali hii kuwakatisha tamaa wananchi wengi na kuwafanya wasijitokeze kwenye kupiga kura.
Hata Nyalandu nawashauri msimpitishe kuwa mgombea kwasababu hizi hizi nilizozitaja.
Hawezi kukubali kwani hajiamini hata kidogo.Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.Nakuuliza hiki unajibu kile!
Una maana gani unaposema kutatokea msiba, kuna watu ni wauaji.Labda atagombea nafasi ya ubunge, akiendelea kumsumbua rais Magufuli kitakachofuata ni msiba huko kwao
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 kuwa bila tume huru hakuna uchaguzi unaostahili kuitwa uchaguzi ila tatizo ni kukosekana kwa msimamo wa pamoja wa wapinzani kuhusu jambo hili hivyo najua watashiriki tu mradi kunadi vyama vyao na kuonyesha nguvu ya watu walio nyuma yao kupitia mikutano ya kampeni lakini sio kutangazwa washindi pale watakaposhinda unless wana mipango ya siri ambao labda sisi hatuijui.
Ni faida zaidi kwa act kuliko chadema, chadema hawawezi mpokea moja kwa moja kwa sababu hawataki tudia kisa la 2015. Act hawana cha kupoteza maana mpaka sasa hawana kitu zaidi ya zitto.
chadema wakimchukua ni goli la kujifunga kwao. Wataisapoti act na mgombea wao ila hawatchukua wao kwa tiketi yao agombee.
Mkuu hawa jamaa ni wazi kuwa wameishiwa hoja nguvu na karata yao ya mwisho iko kwenye UPORAJI na siyo kwingine.Wewe jamaa unaonekana ni mkabila..umeingza usukuma hapa..ninyi ndy mnamharibia JPM mpaka ndani ya Chama wanaona mnapendelewa..kama ulisoma shule vizuri huwezi kuandika hoja za kibaguzi na kiharamia humu..onyesha elimu aliyokpa mzazi wako thamani yake..onyesha kama mtu mwenye wazazi waliokpika kwa gharama na kujinyima kwingi...Onyesha elimu na hekima sio upupuu unao andika humu!!
He has never been a threat! Hata akifanya hivyo poa tu.Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.