Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Mambo mengine hata kuyajadili unashindwa. Hivi huyu membe kwenye chama chao leo, pamoja na Magufuli kutoungwa mkono na baadhi ya wakongwe, anaweza kuwa hata na robo ya nguvu aliyokuwa nayo lowasa kuelekea 2015?!

Alishindwa kufurukuta akiwa kabebwa na mwenyekiti Kikwete, leo atapenya wapi chini ya uenyekiti wa huyo anayetaka kupambana naye? He is overrated. Labda akajaribu ACT kama inavyosemwasemwa.

Alimalizwa na timu EL
Sasa hivi timu EL imekaa inaangalia gemu linavyoenda.
Hata huyo unayedhani ana nguvu leo "alisaidiwa" na huyohuyo mwenyekiti JK kwenye mkutano mkuu otherwise Amina Salum Ali ndiye angepambana na EL kwenye kinyang'anyiro cha 2015
 
Alimalizwa na timu EL
Sasa hivi timu EL imekaa inaangalia gemu linavyoenda.
Hata huyo unayedhani ana nguvu leo "alisaidiwa" na huyohuyo mwenyekiti JK kwenye mkutano mkuu otherwise Amina Salum Ali ndiye angepambana na EL kwenye kinyang'anyiro cha 2015
Hiyo timu ishasambaratika kitambo, hakuna mwanachama wa CCM atayeweza kumzuia Magufuli kugombea tena 2020. Huo ndio ukweli.
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
Jaman Mbona mnapenda sana Kumnyima Raha Kiongozi wa Malaika ?
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
Sina uhakika na chanzo kwa hiyo sina comment hapa
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
Safi sana lakini binafsi siamini uwezo wa membe kuwa Raisi
 
Mambo mengine hata kuyajadili unashindwa. Hivi huyu membe kwenye chama chao leo, pamoja na Magufuli kutoungwa mkono na baadhi ya wakongwe, anaweza kuwa hata na robo ya nguvu aliyokuwa nayo lowasa kuelekea 2015?!

Alishindwa kufurukuta akiwa kabebwa na mwenyekiti Kikwete, leo atapenya wapi chini ya uenyekiti wa huyo anayetaka kupambana naye? He is overrated. Labda akajaribu ACT kama inavyosemwasemwa.
Mpaka kufikia hatua hii naona kama anajiamini sana. Mm badala ya kumdharau ningejiuliza hivi huyu ana sapoti ya nani na nani wenye ushawishi kiasi kwamba wanaamini wanaweza mshawishi mwenyekiti ambaye ni raisi akubali kumpisha?
 
Naiona CCM iliyopasuka.
Kikwete alikuwepo Dar ila hakukaribishwa kwenye ufunguzi wa Uwanja.
Jina lake lilitajwa kama aliyetoa wazo na si mwanzilishi wa ujenzi.
Kikwete akawa kaenda zake kuhani msiba kwao Mbowe
Upo sawa mkuu daraja la kigamboni hivyo hivyo sasa na uwanja duu!!
 
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.

Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Unajua kwamba 2010 kulikua na kura za maoni ndani ya chama? Rais alipigiwa kura
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
Kumekucha ! Nyuma ya Membe kuna kundi zito mno !
 
Nnachojua huyu jamaa yatamkuta yaliyomkuta Lowassa, ngoja tuone na bahati nzuri hata yeye analitambua hilo
CCM chama cha mapinduzi unafiki utawasumbua sana kwani mbona kwenye awamu ya NNE Shibuda alitangaza nia kugombea tena Mara mbili mlimfukuza???
 
Jamani wakati wa Kikwete si mlitaka rais dikteta? Hivi nyie watu mnataka nini hasa
Hili neno limetafsiliwa vibaya sana na wapambe wa jiwe ni upotoshaji wa kijinga sana angekuwa dikteta kwa mambo ya msingi kitaifa mfano ufisadi,rushwa,madawa ya kulevya na sio kuthibiti Uhuru wa kujieleza kuingilia Uhuru wa bunge,kujiamulia mwenyewe matumizi ya fedha za nchi,mauwaji ya watu kwenye viroba bila uchunguzi wowote,Lissu kupigwa risasi bila uchunguzi wowote sidhani kama kuna mtanzania alihitaji dikteta wa aina hiyo.
 
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.

Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Ili kuzima mambo ya sauti ndo kaamua kujiyokeza sasa watahangaika na swala la kuwania urais
 
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.

Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Waanze kwanza kuwachukulia hatua wadukuzi. Walichofanya ni sawa na kupiga picha za ngono chumbani kwa mtu bila taarifa yake na kuzisambaza hadharani ili kumdhalilisha mhusika.
 
URAIA SASA UTAHOJIWA NA UHAMIAJI PA1 NA MAMBONOW
 
Back
Top Bottom