Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwakweliNyie si mnasema kila siku kuwa Jiwe anakubalika ,sasa atajuaje kuwa anakubalika sasa si ashindane na membe aonekane anavyokubalika ,mbona anaogopa hivyo ushindani .Halafu upinzani ndani ya chama sio uhaini ,tatizo la Jiwe wenu hajui siasa yeye ni ubabe ,matokea yake hana sapoti kabisa ndani ya chama labda wachumia tumbo kina Bashiru ,polepole ,musukuma ,lusinde ambao ni empty head ,membe akigombea Jiwe byebye .
huu ni uhaini
Usifikiri membe yupo pekeyake kuna watu wazito wapo nyuma yakeKwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.
Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
He!huu ni uhaini
Ccm hata wakimsimamisha musiba watashinda Tu ishu kubwa ni jinsi ya kushinda Kwenye Kura za maoni ndani ya chama.Hata mwanangu wa miaka nane ukimwambia Membe atamshinda Magufuli kwenye uchaguzi atakataa na atakushangaa.
huyu aliyopo kwa sasa anataka atawale zaidi ya miaka 10 itakuwaje?
Unataka waziri wa mambo ya nje aonyeshe barabara au majengo ya zahanati.Amekuwa waziri miaka 8. Atuonyeshe kitu kimoja (kimoja tu) alichofanya..namaanisha kimoja tu!
Unasubiri clip yake mkuu.Habari kama hizi hutakiwa kuambatana na kakideo chake akiongea.
Tofauti na hapo ni stori tu za kitaa.
Hata mwanangu wa miaka nane ukimwambia Membe atamshinda Magufuli kwenye uchaguzi atakataa na atakushangaa.
Uhaini kwa vipi Mkuu Eliungata??huu ni uhaini
Acheni kujifariji kwa vitu mnavyojuwa kutoka mioyoni mwenu kuwa haviwezekani, ninkupoteza mda. Siasa za Tanzania zinajulikana.Hata kijana mdogo wa wakati huo, asiyejulikana aitwaye Nyerere wakati alipowaambia watanganyika kuwa atalig'oa jabali, super power muingereza kuna watu walicheeeeka. Lakini muingereza aling'oka hakung'oka?
Nani alitegemea Magufuli atakuwa rais, maana hata yeye anashangaa ilikuwaje akawa rais.Acheni kujifariji kwa vitu mnavyojuwa kutoka mioyoni mwenu kuwa haviwezekani, ninkupoteza mda. Siasa za Tanzania zinajulikana.
Amesema wapi