Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Wachaga mnatukana mnavyotaka, wengine wakiandika hivyo mnawapiga ban, acheni ubaguzi ili labda wengine waweze kuwapigia kura pia.

Barbarosa

Tuhuma za uongo hizo...

Most often nakula ban like anyone else!

Plus,unachokiona tusi kwako sio kwa sisi wengine na moderators!

Matusi ni very subject sana!

Kwako wewe tusi kwa yule sio tusi!
 
Niimeamini TISS wanatumia akili za hali yajuu sana. Ukiangalia huu uzi utadhani umeletwa kama taarifa ya kuonyesha "daring spirit" ya bwana Membe lakini ni uzi wa "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya"

Kwa uzi huu inaonyesha huku JF kuna waajiriwa wengi wa "kitengo" na wanachofanya ni kum expose Membe hata kwa kumsingizia ili kwanza kumtisha yeye mwenyewe lakini pia waungaji mkono wa awamu ya tano wapate muda wa kutosha wa kupanga namna ya kumshughulikia

Hivi ikifanyika move ya kumvua Bernard uanachama kabda hata ya kipindi cha kuchukua form za ugombea ndani ya chama nini tena anaweza kufanya?

Kwenye bandiko hili kuna akili ya ki TISS. Kwa mfano, ukitaka watu wautukane usabato au uislamu au ukatoliki wee andika uzi kuusifia humu ndani ambapo wàtatokeza wa kukuunga mkono lakini watakuwepo wengi wa kutukana, kuchambua, kuonyesha madhaifu ya imani husika na utajua misimamo, hisia na akili za watu kuhusiana na jambo hilo
Oya Kama kweli hivi
Hao jamaa wapo humu kweli?
(Naweza Amini ukifafanua zaidi )
 
Tatizo hapq siyo kujenga swala kubwa hapa ni usimamizi na nidhamu kwa pesa zetu wananchi.

Nidhamu ipi, hujaona madudu aliyoyaibua CAG huko?
Trilion 2.4 hazina maelezo yaliyonyooka
Miradi inafanywa kwa maamuzi ya Mtu na mtoto wa dada yake muidhinisha fedha badala ya fedha kuidhinishwa na bunge halafu ili kuficha madudu, shirika linawekwa chini ya Ofisi ya mtu ambako CAG hana jurisdiction ya kukagua.

Usimamizi na Nidhamu gani ya pesa unayoizungumzia wewe?
 
Ngoja tuone...

Isije kua ni njia ya kuua upinzani... sababu kama attention yote tutailekezea kwa Magufuli vs Membe 2020...

Ya wapinzani tutayaweka kapuni... lets wait and see...


Cc: mahondaw
 
Hapo sasa ndo ametangaza vita rasmi labda ahame nchi kwa muda
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.

 
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.

Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Kwa nini Magufuli asifukuzwe chama anayedukuwa mawaziri and ya wenziwe yeye ya kwake yakiwekwa wazi atasemaje maana kadukuliwa vya kutosha
 
Niimeamini TISS wanatumia akili za hali yajuu sana. Ukiangalia huu uzi utadhani umeletwa kama taarifa ya kuonyesha "daring spirit" ya bwana Membe lakini ni uzi wa "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya"

Kwa uzi huu inaonyesha huku JF kuna waajiriwa wengi wa "kitengo" na wanachofanya ni kum expose Membe hata kwa kumsingizia ili kwanza kumtisha yeye mwenyewe lakini pia waungaji mkono wa awamu ya tano wapate muda wa kutosha wa kupanga namna ya kumshughulikia

Hivi ikifanyika move ya kumvua Bernard uanachama kabda hata ya kipindi cha kuchukua form za ugombea ndani ya chama nini tena anaweza kufanya?

Kwenye bandiko hili kuna akili ya ki TISS. Kwa mfano, ukitaka watu wautukane usabato au uislamu au ukatoliki wee andika uzi kuusifia humu ndani ambapo wàtatokeza wa kukuunga mkono lakini watakuwepo wengi wa kutukana, kuchambua, kuonyesha madhaifu ya imani husika na utajua misimamo, hisia na akili za watu kuhusiana na jambo hilo
Niyatazamapo maandishi yako, ninaiona sura ya Bernard. Ni kwamba kitengo kimegawanyika? Au ni hofu zangu boss??
 
Muombee wewe na Familia Yako sio lazima utulazimishe kulikubali jiwe. 2020 ni MEMBEEE.
Membe kuwa Rais!! Hapana kwa kweli. Heri ya Magufuli wetu. Tumwombee Magu,aache hofu ajiamini;awe na hekima na busara,aache kiburi.
 
Membe alikuwa na nafasi kubwa sana by 2015 kuliko aliyonayo 2020.

Namuona Membe akienda kujaribu bahati yake huko upinzani
Ha ha bashite amekuambia anapambana na Magufuli ccm nyota yake inang"ara ccm
 
Hapo sasa ndo ametangaza vita rasmi labda ahame nchi kwa muda
Katiba ya nchi ipo wazi kila mwenye miaka 18 yupo huru kuchagua na kuchagulia Magufuli mroho wa madaraka atulize boil 2020 sio rahisi sana kwake 2015 nchi ili kuwa shwari sasa tupo vitani na udikteta na ufisadi uuwaji na ukabila wake ha ha ninauhakika atakimbia nchi kabla jogoo hajawika
 
Back
Top Bottom