Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hivi kuna mtu humu anayeweza kuleta kumbukizi zake, juu ya ile gari ya mhindi iliyonaswa na maburungutu ya minoti 'cash' makao makuu ya chama Dodoma kwenye kinyang'anyiro cha urais mwaka '15, zilikuwa ni za nani kwa jina na hilo saga liliishia wapi?