Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Nyie si mnasema kila siku kuwa Jiwe anakubalika ,sasa atajuaje kuwa anakubalika sasa si ashindane na membe aonekane anavyokubalika ,mbona anaogopa hivyo ushindani .Halafu upinzani ndani ya chama sio uhaini ,tatizo la Jiwe wenu hajui siasa yeye ni ubabe ,matokea yake hana sapoti kabisa ndani ya chama labda wachumia tumbo kina Bashiru ,polepole ,musukuma ,lusinde ambao ni empty head ,membe akigombea Jiwe byebye .

Mkuu!

The nigga is shitting on himself shitlessly!
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.

kama ubunge watu watajitosa kugombea sioni tatzo yeye akifanya hivyo kwenye urais
 
Ikitokea akaingia kwenye mnyang'anyiro, kwa nguvu zangu zote na uwezo wowote nilionao nitamuunga mkono MAGUFULI.

Membe hastahili hata chembe kuwa Raisi wa Tanzania. Mimi ni kiumbe naweza kuwa nafanya kosa, but he is not a choice at all.
 
Mipango ilikuwepo tangu awamu ya kwanza. Tatizo unampigia chapuo mtu dhaifu kwa nafasi ya uraisi ili muendelee kutafuna nchi kirahisi zaidi.

JPM anatekeleza majukumu yaliyowashinda wengi hivyo ukiwa muathirika wa kukatiwa mrija lazima umpinge na hilo hatushangai.

Tukutane 2020
Miundombinu inajengwa kwa kodi za wananchi na sio hisani au mshahara wa rais. Hivyo miundombinu itajengwa na yoyote hata kama nchi itakuwa haina rais kwani mipango ya nchi ipo tayari.
 
Aliyekuwepo huko nyuma alijenga miundo mbinu IPI?? Huyo hawezi kuwa rais hata kwa mtutu was bunduki!!
Muulize huyo jiwe wako alipokuwa waziri alikuwa anasimamia nini? Acha uzwazwa.
 
Wakimfukuza ndio itakuwa vizuri ili mkose pa kujifichia pale mnaposema ccm kuna demokrasia, na mkimuacha mmemuogopa.

CCM kuna demokrasia ambapo wanachama wanajadili mambo yao kwa uwazi kwenye vikao halali vya Chama. Hiyo demokrasia ya kujificha na kuanza kufanya mipango ya uhaini si demokrasia bali domogasia
 
Mipango ilikuwepo tangu awamu ya kwanza. Tatizo unampigia chapuo mtu dhaifu kwa nafasi ya uraisi ili muendelee kutafuna nchi kirahisi zaidi.

JPM anatekeleza majukumu yaliyowashinda wengi hivyo ukiwa muathirika wa kukatiwa mrija lazima umpinge na hilo hatushangai.

Tukutane 2020

Pitia post zangu, kuna mahali nimesema wazi sitegemei Membe kuwa rais mzuri, ila hata huyu sio mzuri pia. Tunachompinga huyu ni kutaka kutuongoza kama wake zake, tulishatoka kwenye dunia ya kumsujudia na kumuhofia kiongozi. Sijawahi kunufaika binafsi na chochote cha serikali, bali siko tayari kuongozwa kikondoo eti kisa kuna ujenzi wa reli. Kama reli, barabara nk ndio kigezo cha kumsujudu kiongozi, ni kipi kilitufanya tuwatoe wakoloni, au kupeleka nguvu Africa kusini kudai uhuru wa weusi?
 
CCM kuna demokrasia ambapo wanachama wanajadili mambo yao kwa uwazi kwenye vikao halali vya Chama. Hiyo demokrasia ya kujificha na kuanza kufanya mipango ya uhaini si demokrasia bali domogasia

Usiwe mjinga, kinachojadiliwa kwenye vikao rasmi na halali ni matokeo ya mikakati. Lakini mikakati inafanyika nje ya vyumba vya mikutano. Toka nje ya box usigeuzwe zoba na wadhaifu wa ushindani.
 
Labda urais wa YANGA
Kams alishindwa lowassa,alikua na NEC yote,na asilimia 90 ya wajumbe wa mkutano mkuu itakua kikaragosi membe?
Membe ni sawa na joka la mdimuni
Leo Membe kawa kikaragosi wakati juzi nyie hao hao mlikuwa mnasema ni jembe bobezi la chama, kwa tabia hizi za wanaCCM si ajabu huko mbeleni Magufuli mkamuita kikaragosi.
 
Usiwe mjinga, kinachojadiliwa kwenye vikao rasmi na halali ni matokeo ya mikakati. Lakini mikakati inafanyika nje ya vyumba vya mikutano. Toka nje ya box usigeuzwe zoba na wadhaifu wa ushindani.
Mkakati wake wa kipuuzi sana huo.
 
Leo Membe kawa kikaragosi wakati juzi nyie hao hao mlikuwa mnasema ni jembe bobezi la chama, kwa tabia hizi za wanaCCM si ajabu huko mbeleni Magufuli mkamuita kikaragosi.
Kwa wanasiasa ni jambo la kawaida
Hata wewe zipo nyuzi zako humu unawsshabikia slaa,zitto na kitila,nina uhakika ukikutana nao leo unaweza hata kuwatemea mate
 
Usiwe mjinga, kinachojadiliwa kwenye vikao rasmi na halali ni matokeo ya mikakati. Lakini mikakati inafanyika nje ya vyumba vya mikutano. Toka nje ya box usigeuzwe zoba na wadhaifu wa ushindani.

Wenzie wanafanya makakati wa kumfuta uanachama ajipange tu kwenda kwa akina Zitto
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.

Alishashindwa 2015,huyu atakuja Chadema kuwazungusha vichwa badala ya mikono
 
Wenzie wanafanya makakati wa kumfuta uanachama ajipange tu kwenda kwa akina Zitto

Sintoshangaa maana hao wanaopanga kumfuta ni hao ninaokuambia hawawezi ushindani.
 
Back
Top Bottom