Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

CCM Taifa ikiridhia kufanya ambacho haikuwa Utamaduni wake huenda likawa jaribio la bei ghali lenye kutikisa mizizi yake ya asili. Hivyo kwa wanaokitegemea chama watajua si kipindi kizuri kugusa mizizi, kwani kiangazi kimeshaanza. Je wako tayari kufanya hivo ili mtu anayeotea zaidi apate?
Jibu jepesi lenye maslahi kwa familia za wenye chama itakuwa ni bora kuuza tena kwa bei ya 5years.
Mambo yanabadilika , dunia Nayo inabadilika niwakwati wa ccm nayo kuishi tofauti na kukariri.
 
Amekuwa waziri miaka 8. Atuonyeshe kitu kimoja (kimoja tu) alichofanya..namaanisha kimoja tu!
 
Akishinda uraisi mimi nitamuomba aniruhusu nimfanyizie Musiba kwenye tuzi.
Nina chupa nzima ya mafuta ya zaituni mpaka asubuhi yanafika.
 
Habari kama hizi hutakiwa kuambatana na kakideo chake akiongea.

Tofauti na hapo ni stori tu za kitaa.
 
Here is what I see in Membe’s quest rather lust for highest political position on land. He is likely to be part of the gifted mockery people. There is Mugabe, well known for his witty and sarcastic quotes. Of course Mugambe is highly educated person, not comparable to Membe whose only asset is the so called experience.

With Membe, I suspect he is likely to be known for his satiric and bitterness-originated quotes. Hebu tuungane kukumbuka quotes ambazo zitamuweka kwenye limelight.

“Nikipata urais, nitamfunga Lowasa”
“Nitagombea hata kama sina akili”
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
tunakuombea muheshimiwa membe ktk safari yako ya kusaka uraisi
 
#IstandWithMembe2020#
#MwagaPombe2020#
#KaziNaBata#
#SendHimBackToChato#
 
Nangojea ile International Airport ya Chato itakavyoota mibuyu.
 
Nyie endeleeni kumpaisha tu!! Ingawa mnafikiri ndio mna mharibia
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
Katangazaaa mapemaaa...ilimpasa mipangoo iwe chini chinii...kwa utawalaa huu uliopo...mapema tuuu tutaanza na ngonjera za "bring back Membe"
 
Kwa wenye upeo washajua hizi kauli sio bahati mbaya bali ni calculated moves...


Watu wanachokoza makusudi kabisa ili moto uwashwe maana moto ukishawaka wataungua wote hakuna anayebaki salama, Genocide mission.
 
Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.

Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.

"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.

Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."

Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
.
tapatalk_jpeg_1564584097590.jpeg
IMG_20190801_085155.jpeg
 
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.

Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Walimchukua Lowassa,nikapoteza uaminifu kabisa nao.Hata Magu akishindwa 2020 halafu akahamia upinzani wanaweza mpa kijiti 2025..HAWANA WANACHOKISIMAMIA HAWA JAMAA.
 
Back
Top Bottom