[emoji23][emoji23][emoji23],,anaweza kuupokea huu ushauriNapendekeza Jiwe akabadili katiba haraka bungeni aweke kipengele kuwa mtu haruhusiwi kuwania urais kama siyo Rais wa nchi.. Jiwe fanya chap chap jembe langu maana nakuaminia kwa kupendekeza sheria za matango pori.
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.
Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Membe kuwa Rais!! Hapana kwa kweli. Heri ya Magufuli wetu. Tumwombee Magu,aache hofu ajiamini;awe na hekima na busara,aache kiburi.
Ninachokiona ni Membe kupewa sifa ambazo hana. Hata hivyo sishangai kwa sababu wapinzani wa Rais Magufuli wana ombwe la mtu ambaye atapambana naye katika kiti cha Urais.
Kinachofanyika kwa sasa ni kumshabikia mtu yeyote anayesema au kuonekana atapambana na Rais Magufuli hata kama hana sifa ili tu kujaza ombwe.
Upo sahihiNiimeamini TISS wanatumia akili za hali yajuu sana. Ukiangalia huu uzi utadhani umeletwa kama taarifa ya kuonyesha "daring spirit" ya bwana Membe lakini ni uzi wa "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya"
Kwa uzi huu inaonyesha huku JF kuna waajiriwa wengi wa "kitengo" na wanachofanya ni kum expose Membe hata kwa kumsingizia ili kwanza kumtisha yeye mwenyewe lakini pia waungaji mkono wa awamu ya tano wapate muda wa kutosha wa kupanga namna ya kumshughulikia
Hivi ikifanyika move ya kumvua Bernard uanachama kabda hata ya kipindi cha kuchukua form za ugombea ndani ya chama nini tena anaweza kufanya?
Kwenye bandiko hili kuna akili ya ki TISS. Kwa mfano, ukitaka watu wautukane usabato au uislamu au ukatoliki wee andika uzi kuusifia humu ndani ambapo wàtatokeza wa kukuunga mkono lakini watakuwepo wengi wa kutukana, kuchambua, kuonyesha madhaifu ya imani husika na utajua misimamo, hisia na akili za watu kuhusiana na jambo hilo
Niimeamini TISS wanatumia akili za hali yajuu sana. Ukiangalia huu uzi utadhani umeletwa kama taarifa ya kuonyesha "daring spirit" ya bwana Membe lakini ni uzi wa "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya"
Kwa uzi huu inaonyesha huku JF kuna waajiriwa wengi wa "kitengo" na wanachofanya ni kum expose Membe hata kwa kumsingizia ili kwanza kumtisha yeye mwenyewe lakini pia waungaji mkono wa awamu ya tano wapate muda wa kutosha wa kupanga namna ya kumshughulikia
Hivi ikifanyika move ya kumvua Bernard uanachama kabda hata ya kipindi cha kuchukua form za ugombea ndani ya chama nini tena anaweza kufanya?
Kwenye bandiko hili kuna akili ya ki TISS. Kwa mfano, ukitaka watu wautukane usabato au uislamu au ukatoliki wee andika uzi kuusifia humu ndani ambapo wàtatokeza wa kukuunga mkono lakini watakuwepo wengi wa kutukana, kuchambua, kuonyesha madhaifu ya imani husika na utajua misimamo, hisia na akili za watu kuhusiana na jambo hilo
Chief huijui CCM, huijui system, huijui nguvu ya Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ndio rais wa nchiUnamvua uanachama kwa kosa gani?
Tuseme unamvua,yes,unadhani amuzi la kumvua uanachama Membe linafanywa na Magufuli unilaterally?
Linafanya kwa kikao kikubwa na kura zinapigwa!
Sasa una uhakika kura zita-favour avuliwe kwa maana Jiwe yupo ubongoni mwa hap wapiga kura?
Mzee,usidhani Jiwe ana uwezo wa ku-influence watu kiivyo!
Huenda hao wapiga kura wote wanampenda Membe,who knows?
Jiwe is in deep shit maana hajui pia what will happen!
Hana ushawishi kama aliokua nao Nyerere au Kikwete au Mkapa au Mwinyi!
Nigga its on...na asipotumia akili sawasawa tembo anaanguka!
Na kutokutumia akili na maarifa sio sifa aliyo nayo bwana Jiwe!
Hivyo subiri uone!
Siyo ndani ya chama tu, hats njeNi haki yake kikatiba kuna tatizo gani akiitumia? Maadam JPM anafanya kazi natumai kazi zake zitakuwa kigezo cha yeye kuchaguliwa tena ndani ya chama hivyo natamani kuona uchaguzi huru na haki ndani ya chama atakayeshinda ashinde!
jiwe halipendagi ushindani
Anaweza kuwekwa kizuizini huyu
Umesoma na kufikiri kwa moyo badala ya akili. Huwezi kunielewa.Duh!
JF ya siku hizi hata kujibu comment za wachangiaji inahitaji moyo sana!
Wewe kwa uzoefu wako hapa ulipaswa angalau ujitofautishe na kundi la instagram lililovamia JF lakini umeshindwa!
Samahani kama nimekukwaza!
Chief huijui CCM, huijui system, huijui nguvu ya Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ndio rais wa nchi
Unakumbuka kura za kiitifaki zilizopigwa enzi za Mkapa akapata kura asilimia mia moja wakati kuna waliplalamila pembeni kuwa walipiga kura za hapana kumkataa?
Wakitaka kumvua uanachama Bernard watafanya hivyo mchana kweupee na sababu itapatikana hata kama haikuridhishi wewe na nahisi ndio maandalizi ya hilo jambo yameanza ikiwemo ya kuletwa threads kama hizi
Na atafukuzwa tu hakuna namna hata akisema anagombea Urais hawezi kunusurika na kufukuzwa. Atafukuzwa yeye na wenzake wote kama vipi akaanzishe Chama chake ama aungane na vyama vingineKwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.
Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Tumuombee kwa nani wakati wachawi wameshajitoa muhanga kumulinda kwa kuwa wao ndio waliomweka madarakani na kumwangamiza mwanaccm yeyote atakayethubutu kuchukua form ya kumpinga.Membe kuwa Rais!! Hapana kwa kweli. Heri ya Magufuli wetu. Tumwombee Magu,aache hofu ajiamini;awe na hekima na busara,aache kiburi.