Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

hakuna kitu hapo labda wewe ndiyo TISS
 
Nyie si mnasema kila siku kuwa Jiwe anakubalika ,sasa atajuaje kuwa anakubalika sasa si ashindane na membe aonekane anavyokubalika ,mbona anaogopa hivyo ushindani .Halafu upinzani ndani ya chama sio uhaini ,tatizo la Jiwe wenu hajui siasa yeye ni ubabe ,matokea yake hana sapoti kabisa ndani ya chama labda wachumia tumbo kina Bashiru ,polepole ,musukuma ,lusinde ambao ni empty head ,membe akigombea Jiwe byebye .
 
Wagombanapo mafahali wawili ziumiazo ni nyasi, kicheeeko wasimamizi wa uchaguzi huyo Musiba na Makonda naona watu wakishinda kwa 100%
 
Jamani wakati wa Kikwete si mlitaka rais dikteta? Hivi nyie watu mnataka nini hasa
 
Hongera Bernard Membe. Hata hivyo kwa kuwa najua ukipata Urais tutapata taabu zaidi kuliko wakati wo wote wa Uhuru WA Taifa letu siku ukichukua fomu nami pia nitachukua kwa sababu najua wazi kuwa naweza kuwa Kiongozi bora kuliko wewe. Tunavyokujua ulivyo na visasi visivyoisha!! Pisha ibilisi wewe
 
 
 
Aliyekuwepo huko nyuma alijenga miundo mbinu IPI?? Huyo hawezi kuwa rais hata kwa mtutu was bunduki!!

Sio aliyekuwepo, sema waliokuwepo kuanzia wakoloni, kila mmoja aliweka miundo mbinu kulingana na mipango yake, labda kama hujui unaloongea.
 
Hahahaha yaani hakuna anayeongelea kina Mbowe, yaani ni CCM tu. 2020 twende na Magufuli ndiyo mpango mzima!
 
Matumbo yangu yote yamepata joto la ghafla... na amesema atashinda! !!!!!!! Oh my gosh
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… njaaaaaaaaaa hizi, hana uwezo wa kushinda labda asubirie chakula chake kiishe tumboni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…