Tetesi: Membe kupokelewa Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo?

Tetesi: Membe kupokelewa Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo?

Aliyekuwa kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi, Waziri wa Mambo ya Nje, Kachero mbobezi kama anavyoitwa na wapambe wake, Ndugu Bernard Membe anatazamiwa kujiunga na Chama Cha ACT-Wazalendo pindi chama hicho kitakapofanya uchaguzi wa ndani kuchagua viongozi wakuu wa chama hicho.

Chama hicho kinapanga kumpatia Membe nafasi ya Mshauri wa chama ambayo kwa sasa inashikiliwa na Maalim Seif ambaye anaenda kuchagukiwa kuwa Mwenyekiti.

Mchakato wa Membe kujiunga CHADEMA umekuwa mgumu kwa sababu ya historia ya Mzee Lowasa na wenzake ambao walikitumia Chama hicho kugombea na hatimaye kurudi zao CCM.

Aidha Membe amehakikishiwa nafasi ya kugombea urais ndani ya ACT-Wazalendo ambako ndani ya CHADEMA walimuambia wao akienda aende pasipo masharti ya kugombea maana tayari wamemuandaa Tundu Lissu kuwa mgombea wao japo hawajafunga kabisa room ya majadiliano.

Na hizo ndizo mpya katika siasa zetu hapa bongo.
Kwa hio atagombea urais chini ya tume ipi?

Kama atakubali kuhamia act na kugombea urais chini ya hii tume ya wasukuma , basi huyo Membe ni mpumbavu tu
 
Well said mkuu.A.k.a siasa maslahi
Siasa za Tanzania ni siasa za madaraka!

Sio chama tawala wala wapinzani, wote wanaongelea madaraka!

Hizi ni siasa za kibinafsi ndio maana kwenye masuala ya kulipwa mishahara, ruzuku na posho wote huwa kitu kimoja!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishasema hatuna vyama vya upinzani tanzania.
Sipigi kura kwa chama chochote zaidi ya ccm.
 
Aliyekuwa kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi, Waziri wa Mambo ya Nje, Kachero mbobezi kama anavyoitwa na wapambe wake, Ndugu Bernard Membe anatazamiwa kujiunga na Chama Cha ACT-Wazalendo pindi chama hicho kitakapofanya uchaguzi wa ndani kuchagua viongozi wakuu wa chama hicho.

Chama hicho kinapanga kumpatia Membe nafasi ya Mshauri wa chama ambayo kwa sasa inashikiliwa na Maalim Seif ambaye anaenda kuchagukiwa kuwa Mwenyekiti.

Mchakato wa Membe kujiunga CHADEMA umekuwa mgumu kwa sababu ya historia ya Mzee Lowasa na wenzake ambao walikitumia Chama hicho kugombea na hatimaye kurudi zao CCM.

Aidha Membe amehakikishiwa nafasi ya kugombea urais ndani ya ACT-Wazalendo ambako ndani ya CHADEMA walimuambia wao akienda aende pasipo masharti ya kugombea maana tayari wamemuandaa Tundu Lissu kuwa mgombea wao japo hawajafunga kabisa room ya majadiliano.

Na hizo ndizo mpya katika siasa zetu hapa bongo.

kimpango wao...kila mtu apambane na hali yake..uendezi wa 2015 sitaki kurudia tena
 
Siasa sio dini
Siasa za Tanzania ni siasa za madaraka!

Sio chama tawala wala wapinzani, wote wanaongelea madaraka!

Hizi ni siasa za kibinafsi ndio maana kwenye masuala ya kulipwa mishahara, ruzuku na posho wote huwa kitu kimoja!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za Tanzania ni siasa za madaraka!

Sio chama tawala wala wapinzani, wote wanaongelea madaraka!

Hizi ni siasa za kibinafsi ndio maana kwenye masuala ya kulipwa mishahara, ruzuku na posho wote huwa kitu kimoja!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Napingana na wewe asilimia 50000℅,lini pamewahi kuwa na uchaguzi huru.Fanya iwe halafu tupime matokeo na ndiyo tujadili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za Tanzania ni siasa za madaraka!

Sio chama tawala wala wapinzani, wote wanaongelea madaraka!

Hizi ni siasa za kibinafsi ndio maana kwenye masuala ya kulipwa mishahara, ruzuku na posho wote huwa kitu kimoja!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Haya mambo yamekorogeka hivi kwa sababu wananchi wamejisahau sana...
Pengine kutokana na elimu ndogo!
Wanasiasa wameachiwa wafanye watakavyo..!!
 
Nilitonywa ili jumamosi ya juzi,sasa naanza kuamini.
Pili,mnyetishaji aliniambia baada ya yeye kwenda ACT na baada ya uchaguzi mkuu ACT itapata wabunge wengi kuliko chadema na ndio kitakuwa chama kikuu Cha upinzani maana kwa upande wa Zanzibar ACT itapata support kubwa kutoka kwa ACT.
Mwisho kabisa jamaa alinitonya kuwa CHADEMA ndio itakuwa kama NCCR au TLP Yani mbunge/wabunge wao watakuwa wachache Sana tena ni wa kutafuta na torch.Na ACT itapata support kubwa kutoka kwa CHAMA TAWALA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekutonya ni Tyson Wasira. Kabla ya kwenda kudai bk 7, muombe amalizie basi huo utabiri kuhusu wewe na pia YEYE mwenyewe.
 
Back
Top Bottom