Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Ni wazi kuna mtu hapa alikuwa ana kumbushwa na kutumiwa salamu!
Hata mm nilimsikia halafu ghafla kibaridi cha wasiwasi juu ya mgombea ninayemkubali Sana kikanikumba.

Lakini bado najipa moyo. Maana najiuliza hivi Membe anajua sheria kuliko mgombea ninaye mkubali Sana mm?

Au Membe alitulia baada ya kupewa taarifa za kikachero kwamba Kuna dhuluma inapikwa na sabb itakuwa ni kusaka wadhamini kwa kelele?
 
Leo kachero mbobezi kawa muoga tena??
 
Membe naye mjinganjinga alitakiwa kubaki ccm mpinzani gani mwoga analeta unafiki wa ccm na siasa za analog wapinzani wanafanya siasa za kidigital muda mrefu, Membe bodo yuko nyuma sana mawazo ya kiccm aachane na upinzani amefeli kabla ya kuanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…