4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
mkuu we ni muongo sana , et hata apewe kura zake kuesabu atakataa, fanyeni hivyo muone kama atakataa na kumbuka ugombea wake wa kwanza wa ubunge mbona alishindwa hata yeye anakili , acheni izo mkuu tume ikimkata wajiamdae kwenda icc maana litakalo tokea kwa sasa wao ndo wanawajibika kwa asilimia 100 na hakuna namna wanaweza chomokaLissu hayupo tayari kushindwa kwa namna yoyote,yupo kishari zaidi na kulipa kisasi.kwa hiyo,hata apewe kura zake ahesabu mkononi,hata kibali,nia yake ni machafuko tu