Angekuwa bingwa wa mikakati angejifunza kutokana na makosa ya waliomtangulia na kuna vitabu vya kusoma, ili ufanikiwe kwenye siasa duniani na sio tu bongo.CCM wamejizika wenyewe. Membe ni bingwa wa mikakati. Ipo siku atakuwa rais. Jiwe jiandae kudhalilishwa au kuwekwa kizuizini.