Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa Obama, Edward Snowden ambae alikuwa Jasusi wa NSA Marekani, alitoa tuhuma ambazo NSA haijakanusha mpaka sasa. Tuma zenyewe ni NSA kumdukua Chancellor wa Ujerumani Angela Markel.Kudukua maongezi ya wenzako ni ushamba,ujinga na kutojiamini!
Mi nimesema kudukua maongezi ya watu ya chumbani ni ujinga,ushamba na kutojiamini!Ha ha Dogo bhana, nakumbuka jinsi Lema alivyompokonya Mwigamba Kompyuta na kuiba nyaraka huenda bado ulikuwa shule. Kimsingi Mleta hoja kaibua jambo zito ambalo linahitaji majibu na sio kejeli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ni sehemu gani ya mwili wa binadamu ukiigusa inatoa harufu kali? Alimaanisha hivyo!
Duh!Kwa msemaji wake Zitto anasemaje[emoji16]
Mkuu;Tusubili tuone but believe me siasa ni mchezo mchafu lolote linaweza kutokea kwa mtu yoyote na kwa muda wowote..
Alitumia jf kufikiri kuliko akili yake binafsi. Alihisi ana jeshi kubwa sana nyuma yake na siku angeindolewa kwenye chama nchi isingetawalika.Jamii Forum imechangia kwa kiasi fulani downfall yake.Membe,alipewa misifa iliopitiiliza nae akaamini hivyo.
Vipi kuhusu chadema walivyomdukua komu na kubenea ,na ni washamba pia?Kudukua maongezi ya wenzako ni ushamba,ujinga na kutojiamini!