Amesahau pia chadema walimdukua kubenea na komu wakipanga njama za kumuondoa sultani mboweHa ha Dogo bhana, nakumbuka jinsi Lema alivyompokonya Mwigamba Kompyuta na kuiba nyaraka huenda bado ulikuwa shule. Kimsingi Mleta hoja kaibua jambo zito ambalo linahitaji majibu na sio kejeli.