Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Ndio nasema ni ushamba!Kipindi Zitto ,Mwigamba na Wenzie wana dukuliwa na jasusi Lwakatale itakuwa ulikuwa shule ya msingi hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nasema ni ushamba!Kipindi Zitto ,Mwigamba na Wenzie wana dukuliwa na jasusi Lwakatale itakuwa ulikuwa shule ya msingi hahaha
Usioangie watu cha kujadili!Nyumbu ni neno linalotumika kuonyesha watu wanaofuata mkumbo bila kupima mambo. Hivyo basi hata uhuru wa mtu kufuata atakacho bila tafakari ni unyumbu.
Mkuu;Mambo ya siasa ni magumu sana.
Yawezekana vikao walivyokuwa wanakaa walisha msafisha na kupulizia pafume, kwa hiyo sasa hanuki tena hata akiguswa.
Mkuu;Nipo hapa getini nasubiri harufu itoke lakini bado labda kuna gari ya chooni inakuja, nitawataarifu kikinuka au labda harufu itatokea sehemu nyingine.
Link ya audio ya Membe tafadhali
Mkuu;Vuta picha press conference ya membe galfa anashuka membe akisindikizwa na JK🇹🇿🇹🇿
Mkuu;Jamii Forum imechangia kwa kiasi fulani downfall yake.Membe,alipewa misifa iliopitiiliza nae akaamini hivyo.
Unaulizwa ujasikia harufu mbaya ICU? Au unasubiri jamaa yenu mkuu apate fangus za poumbou muamini membe kanuka kweli?Mkuu;
Ninakubaliana na maoni yako!
Mzee Kikwete aliwahi kusema, ''akili za kuambiwa changanya na zako''! Membe hakuchanganya na zake bali alitumia pekee akili za kwenye mitandao ya kijamii!
AnusHivi ni sehemu gani ya mwili wa binadamu ukiigusa inatoa harufu kali? Alimaanisha hivyo!
Arudishe kwanza Kiwanda chetu cha kubangua koroshonnnnnsNamshauri anyamaze tu, awe Mpole na akubaliane na Maamuzi huku muda wake mwingi akiutumia Kupumzika na Kufanya Kazi zake tu za Kiujasiriamali. Awe makini mno kwani yajayo hayafurahishi kwa upande wake na kama kuna Watu ambao anatakiwa awe nao makini ni Watanzania wa Mitandaoni ambao wengi Wao ni Wanafiki kupita Maelezo ambapo yakitokea ya kutokea atajikuta amebaki peke yake tu.
kwenye mbooHivi ni sehemu gani ya mwili wa binadamu ukiigusa inatoa harufu kali? Alimaanisha hivyo!
watajiuaVuta picha press conference ya membe galfa anashuka membe akisindikizwa na JK[emoji1241][emoji1241]
Mkuu;yaani akinuka tu harufu yote itamzuru mwenyewe ajaribu kunuka aone