Membe ulisema ‘’NIGUSE NINUKE’’, Kwa sasa tunasubiri hiyo harufu uliyoahidi!

Membe ulisema ‘’NIGUSE NINUKE’’, Kwa sasa tunasubiri hiyo harufu uliyoahidi!

Huyu Membe si chochote wala lolote na kujitutumua kwake.
1. Hana mvuto kwa watanzania wengi.
2. Hana jambo muhimu la maana alofanya kwa watanzania tukasema anafaa urais.
4. Ni mtu anae penda mikogo na kujimwambafai wakati hana impact yoyote ya uongozi katika jamii.
5. Urais uwa hauoteshwi ni Mungu ambae upanga kila kitu liwe jema au baya kwa mwanadamu Mungu anamtazamo mwingine.
6, Anapenda kujionesha ni mtu wa falsafa na misemo lkn misemo yake haina mvuto matokeo yake analeta misemo inayo mchafua mwenyewe. Ajifunze misemo kwa Kikwete, Mwinyi na hata Nyerere misemo yao iliigwa na jamii. Si yeye kuwaza misemo ya Membe kunuka kama embe lililooza.
7, Lowasa na Mrema hawa ndo walikuwa na nguvu nakuitikisa CCM lkn si huyu Membe.
Pole kwa kutimliwa hata kama ulijua, kutimliwa ni aibu. Imechafua utumishi wako kwa Taifa hili. Acha tamaa na kuvimbishwa kichwa. Nawe ukajiona. Tulia ule ulichovuna enzi zako.
 
Mzuqa wanajamvi,

Nimeamka ghafla nimekaa hapa kitandani nawaza mapigo ya moyo yanaenda faster kulala vizuri nimeshindwa.

Kamilius chaliiii yangu tumia busara tu yaishe. Ni refresher ngapi tutanunua? Ni ges mask ngapi tunanunua? Ushaanza kunuka ukiwa Sauz watu wanadondoka je ukirudi bongo itakuwaje?

Kwasababu harufu usambaa hewani na kila mtu anavuta. Tumekwisha aisee kwasababu ya watu wanne kufanya maamuz ya kizembe .

Kachero mbobezi na Mwanadiplomasia mzoefu aliyetukuka tumia busara aiseee chalii yangu. Usiendeleekunuka kubali yapite tu. Corona ndio nayo inatuchanganya na harufu je itakuwaje?

Kamilius tumia busara.
 
Jon Stephano,
Bora ajipige perfume akinuka tu uhujumu uchumi uko sambamba nae wazee wa ligi atawaki kusikia harufu.Labda tu atembee na moshi wa ruangwa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Anaweza akanukwa vile vile,ye ajui kugombea siti ya daladala ni sawa na kuonja sumu.Sumaye kakimbia sumu kakimbilia sumu.
 
Mnavuoverate sana huyu Jamaa...Hana chochote ni mswahili tu..katika watu weak ni huyu jamaa and he had hit a rock bottom....who'lll pull him up? I Can Bet 100% jamaa hana Plan B and even if he had...He Ain't got no Gut left...Believe Me..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesahau mbaazi ukikosa kuzaa usingizia jua!
Mnaanguka na yenu tu, kisukari kinahitaji kudhibitiwa kwa uwangalifu. Kamilius ni mseminari labda kama amewachapa na sala za Vatican.

In God we Trust
 
Siyo sukari tu hata pressure zitawapanda
Sasa besti si ndio iyo iyo sukari ananuka kupitia. Kachero mbobezi siyo mchezo anaweza hata kunuka kupitia maombi ya Vatican.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom