Membe ulisema ‘’NIGUSE NINUKE’’, Kwa sasa tunasubiri hiyo harufu uliyoahidi!

Membe ulisema ‘’NIGUSE NINUKE’’, Kwa sasa tunasubiri hiyo harufu uliyoahidi!

Kaonewaje? Kamati kuu na halimashauri kuu vyote vimuonee mtu! sijaielewa. Kama hivyo vikao vya juu vinaweza kumuonea mtu ni wapi mwanaccm atapata haki yake?
Kilikuwa ni kikao cha kumfukuza yeye sababu anataka kukalia siti ya daladala, wenzake wamepona sababu hawana mpango wa kugombea siti yeyeto wao hata kwa kusimama kushikilia bomba bora wafike tu
 
Tulia ndugu alichofanya kiongozi wa malaika mkuu ndio Membe na watu wake walikuwa wanataka afanye sasa Sasa subiri bomu alilolilipua Jiwe limlipukie mwenyewe, The time will tell.
 
Mangula tayari yupo ICU Muhimbili usicheze na Kachelo Mbobezi dogo. Au ulitaka akinukisheje mkuu ili ujue kazi imeanza? maumivu ya Kichwa huanza taratibu, Wazee wa kule Mtama ni tofauti na wale wa Ruangwa.

Maendeleo hayana vyamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan watu wanavomchukulia it's like kuanguka vibaya.. Ila mi naona it's winner.. Mpeni muda... Atadhihirisha umwamba wake ndio mtaamini ni jasusi mbobezi.. It's matter of time..
Samson baada ya kutobolewa macho si wafilisti walidhani wameshamaliza kumbe ndio akaja kufanya maangamizi zaidi ya yake ya mwanzo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mangula tayari yupo ICU Muhimbili usicheze na Kachelo Mbobezi dogo. Au ulitaka akinukisheje mkuu ili ujue kazi imeanza? maumivu ya Kichwa huanza taratibu, Wazee wa kule Mtama ni tofauti na wale wa Ruangwa.

Maendeleo hayana vyamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mangula yu buheri wa afya. ICU maana yake ni sehemu yenye uangalizi maalum na anaweza kupelekwa mtu yeyote, ingawa wabongo wengi tunadhani ICU ni kwa wagonjwa waliokua mahututi
 
Waliofanya hivyo ni washamba pia!
Nyumbu wameshasau mambo ya tume huru ya uchaguzi. Nyumbu sasa wako kwenye ajenda ya Membe kafukuzwa kwa sababu ya kuogopwa kuwa atagombea urais. Nyumbu wameshasahau kuwa hiyo hiyo tume wanayoilalamikia ndiyo wanasema Membe angegombea kupitia na awe tishio. Nyumbu mna kazi.
 
Wakati mmoja, wakati nafanya mafunzo yaliyoendeshwa na taasisi kubwa kabisa ya usalama wa Dunia, kamanda mkufunzi mkuu alisema, siku zote ukiwa kwenye mapambano, ukatenda kama adui alivyotarajia na kwa namna adui alivyotarajia, ujue umeshindwa. Membe alijua atafukuzwa, na CCM wamemfukuza.
 
Kilikuwa ni kikao cha kumfukuza yeye sababu anataka kukalia siti ya daladala, wenzake wamepona sababu hawana mpango wa kugombea siti yeyeto wao hata kwa kusimama kushikilia bomba bora wafike tu
Kwa nini atake kiti nje ya utaratibu?
 
Nyumbu wameshasau mambo ya tume huru ya uchaguzi. Nyumbu sasa wako kwenye ajenda ya Membe kafukuzwa kwa sababu ya kuogopwa kuwa atagombea urais. Nyumbu wameshasahau kuwa hiyo hiyo tume wanayoilalamikia ndiyo wanasema Membe angegombea kupitia na awe tishio. Nyumbu mna kazi.
Usiwe na hasira,mambo ya siasa lazima yajadiliwe!Kila mtu ana uhuru wa kujadili atakacho!
 
Usiwe na hasira,mambo ya siasa lazima yajadiliwe!Kila mtu ana uhuru wa kujadili atakacho!
Nyumbu ni neno linalotumika kuonyesha watu wanaofuata mkumbo bila kupima mambo. Hivyo basi hata uhuru wa mtu kufuata atakacho bila tafakari ni unyumbu.
 
Hamuwezi kuamini




Jana nilipishana na Membe somwhere kusikojulikana.




Jamaa ananuka vibaya.
Ile harufu sijui ni ya nini Yani anatoa harufu kali hadi nikasepa fasta eneo hilo.
Ameanza kunuka I see.


[emoji36]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom