Membe ulisema ‘’NIGUSE NINUKE’’, Kwa sasa tunasubiri hiyo harufu uliyoahidi!

Membe ulisema ‘’NIGUSE NINUKE’’, Kwa sasa tunasubiri hiyo harufu uliyoahidi!

Wilderness Voice,
hakika huyu jamaa sijui anajivunia nini hata simuelewagi hana mvuto kabisa hana power yoyote katika jamii anasiri gani ambayo hata akipewa uwanja aseme ambayo itachafua taifa? hana lolote huyu mjamaa
 
Hawezi kunuka tena. Kishakuwa cremated. Ulikuta wapi ashes zinanuka ?
Nimeamini what goes around comes around. Walimfanyia hila Lowassa wakakwamisha ndoto yake. Leo Membe nae badala ya kuhifadhiwa ili anuke kawa cremated kabisa
Mkuu;
Nadhani utakuwa unamuonea bure Membe kwenye suala la Lowassa kwa sababu hakuwa mjumbe wa Kamati Kuu ambayo ilikata jina la Lowassa!
 
Aisee njaa mbaya sana_;CCM,Tangu 1995,nikiwa bado barobaro wanagombea madaraka,TZ inahitaji Katiba Bora ambayo ,itawapa Uhuru wanasiasa wapigane Vita yao ,ili Hali Urasimu/Serikali ikiendelea la sivyo Kila siku tutakuwa tunazunguka tu...Mara,Kilimo Kwanza,Gesi mkombozi,shule za kata, Bandari ya Bagamoyo...Stiglers Gorge,Vi wonder,Treni ya umeme nk...ya kesho hatujui labda tutaanza program ya kwenda Mwezini!
 
Ng'wamapalala,
CCM ni ya ajabu, KWanini msitengeneze ushindani? Hii haina tofauti na watoto wagombanao mdogo zaidi akilia, mkubwa anashikwa mikono na miguu huku wakimuita mdogo aje alipize kisasi kwa kumpiga mkubwa aliyekabwa mikono na miguu.

Hili jambo si jema, CCM ingekuwa imekomaa, wangekuwa wanachukua cream ili iongoze, sio mnachagua mtu then mnaweka na mbeleko kisa under perfomance.
Mkuu;
Samahani sijaelewa hoja yako katika mahusiano na mada!
 
Mkuu;
Kumbuka pia ndizo hizo siasa za ''kipumbavu'' zimekifanya chama kuendelea kushika dola tokea nchi ipate uhuru! Kumbuka lengo kuu la chama chochote makini cha siasa ni kushika dola!
Kama ndivyo,bila Shaka wanaokichagua ndio wapumbavu!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Tumpe muda anajiandaa kunuka!!, Kwan hata hao waliomfukuza hawakuchukua maamzi hayo siku hiyohiyo. Walitafakari wakaamua juzi, nafikiri anasubiri wambambikizie hizo money laundering ndio aanze kunuka.suala la yeye kufukuzwa ccm alilijua mapema na alitaafuta mlango wakutokea ili awe huru kuisema.
Kwani Mangula amepata misukosuko gani mkuu,kwani nimepita mtandaoni nikamwona bosi wake akimwambia mtegemee Mungu.
 
Basi samaki wengi walio ndani ya maji wakitoka kwenye maji hawawezi piga mbizi , nahisi hata hii papa waliotupa nje ya maji itashindwa piga mbizi nje ya maji mana samaki wadogo waliomo ndani wanaogopa njaa nje ya maji.

Hawa wote walijiona watukuwa ndani ya maji daima hicho kitu ndo kinachowaumiza sana saizi katiba bado iko upande wa maji. Nadhani wanajutia kuto kubadili katiba ambayo bado inapendelea upande wa maji.

Nadhani ili ni funzo kwa ambao wako ndani ya maji tubadili katiba ndugu ili tuwe huru kukimbia kwenye maji.

Ngoja nisikilizie harufu ya papa nje ya maji[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jon Stephano,
Bora ajipige perfume akinuka tu uhujumu uchumi uko sambamba nae wazee wa ligi atawaki kusikia harufu.Labda tu atembee na moshi wa ruangwa
Huu mchezo hauhitaji hasira ile ya kumpa kadi nyekundu mpinzani wako kama uchwara afanyavyo. . Ruangwa kumbukumbh bado ipo.
 
Mkuu;
Nadhani utakuwa unamuonea bure Membe kwenye suala la Lowassa kwa sababu hakuwa mjumbe wa Kamati Kuu ambayo ilikata jina la Lowassa!
Ujue kuanalyse mambo,mpaka Lowassa kukatawa jina ni kazi iliyoanza miaka mingi,Umesahau Nappe team Membe na kina JK,Ulikuwa hujui kuwa Membe ndo alikuwa mbadala wa Lowassa?Ujue Magufuli kushinda ni hasira za wajumbe kumkomesha Jakaya/Membe baada ya Lowassa kukatwa.
 
Back
Top Bottom