Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,649
Mbona weye ndo umetoka nje ya mada. Aliye kuwa akijadiliwa ni Membe. Nilipoongelea Membe sikutaja huyo Magufuli wako. Nashangaa weye kuingiza Magufuli. Ndo maana nikakupuuza kukujibu kwani ilikuwa nje ya mada. Nashukuru umenielewa. Siongelei vitu nje ya mada. Ukitaka tumjadili huyo mtu wako anzisha uzi atajadiliwa tu hakuna shida. Fuata uzi ulihusiana na nn? Nafurahi umechukizwa mtu akitoka nje ya mada. Hivyo jibu unalo!Jikite kwenye mada mada wewe mkaldayo acha porojo jamvini fanya kazi
Hamna bana jikite kwenye mada acha porojo jamviniMbona weye ndo umetoka nje ya mada. Aliye kuwa akijadiliwa ni Membe. Nilipoongelea Membe sikutaja huyo Magufuli wako. Nashangaa weye kuingiza Magufuli. Ndo maana nikakupuuza kukujibu kwani ilikuwa nje ya mada. Nashukuru umenielewa. Siongelei vitu nje ya mada. Ukitaka tumjadili huyo mtu wako anzisha uzi atajadiliwa tu hakuna shida. Fuata uzi ulihusiana na nn? Nafurahi umechukizwa mtu akitoka nje ya mada. Hivyo jibu unalo!
Itakuwa hajala kwa siku kadhaa ndio maana hajakinukisha bado
Mngempa nafasi agombee hapo Chadema kama mlivyompa Lowassa, hii itasaidia kumuondolea sumu uli baadaye arejee CCM uchu ukiwa umemwisha.“Tatizo ni urais. Wala wasipindishepindishe. Mara oh maadili, eti sijui fanya nini. Shida kubwa ni urais,” - Bernard Membe.
#Note 😂😂🤣🤣Membe bwana, ndiyo hujakosea hata sisi tunajua tatizo ni kuutaka Urais mpaka unakiuka maadili ya chama, maana urafi wa urais ndiyo unamfanya mtu abadilike tabia kama wewe, aanze hujuma za chini chini kama wewe, aanze kusema hajakumbukwa kama wewe, aanze kusema Rais wa nchi amechanganyikiwa kama wewe, aanze kudhani yeye ndiye alitakiwa kuwa Rais na siyo mtu mwingine yeyote kama wewe, ndiyo huenda tamaa ya urais ndiyo imekubadili tabia na kukuponza, hata 2015 ulionywa na siyo mara ya kwanza kukiuka maadili.
Ndiyo, ugonjwa wa watu wanaoutafuta urais kwa gharama huwa ni ugonjwa wa ajabu sana, labda nikuulize Membe, kwani 2015 ulipohojiwa na kamati hiyo hiyo ya maadili wakati huo Kinana akiwa katibu mkuu na Mangula huyo huyo akiwa makamu mwenyekiti na ukapatikana na hatia kwa tuhuma zilizokuwa zinakukabili TATIZO LILIKUWA NI NINI kama siyo URAIS ??
Watanzania na wanaCCM wangekuwa hawakusikiliza ile rekodi ya sauti iliyovuja ungeweza kuwahadaa kwa jinsi unavyojitetea leo, lakini sasa hivi kila mtu anajua mbivu na mbichi. Hakuna anayekuzuia kugombea urais bali chama kinalinda maadili na kanuni za chama kwa maslahi ya nidhamu ya chama, kwahiyo ulitakiwa kuwa na ndoto ya urais bila kukiuka miiko na maadili ya chama.
Mkuu;Kwanza na-declare interest, mimi namsapoti Membe kwenye urais kwa 93%. Membe alimaanisha kibajaji hutumika kama mbeba kinye... hivyo akimgusa atamchachua na kumnukisha! sasa alimpa go ahead kwamba hatishwi nae amchafue tuu hawezi mwogopa kilaza yule!!
Tusipende watu waanguke ingali hawajaikosea nchi hii lolote!! Lowasa,Membe,Sumaye nk hawajaikosea nchi labda walitofautiana na kikundi flani chawatu sio lazima wooote tuwe na mrengo mmoja hata kwenye familia hutokea watu kutofautiana.
Membe ni lipapa kwenye siasa tunataka atulie afanye maamuzi sahihi sio kusukumwa-sukumwa na viluilui wa siasa wanaodandia wasiyoyajua na kujitia wanajua yooote.
Muda wa kutosha mwisho wake ni lini?
Muda wa kutosha mwisho wake ni lini?
Bruh MTU ameingia tano bora ya Urais sio papa kweli? Mtu anamuwazisha mwnyekit na katibu hadi wanamfukuza sio papa?? Tavazali nduguMkuu;
Haya maneno yameondoa hata msingi wa hoja yako uliposema, ''Membe ni lipapa kwenye siasa ''.
Membe hajawahi kuwa lipapa kwenye siasa na hataweza kuwa kutokana na mazingira ya siasa za Tanzania.
Nadhani hujui kuwa huyu Membe ilibidi Rais Kikwete na familia yake waingilie kati ili achaguliwe kuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM! Kama isingekuwa Rais Kikwete na familia yake basi hata ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM asingeupata!
Nawe jikite ktk madaHamna bana jikite kwenye mada acha porojo jamvini
Kwanini leo namba 5 aonekane bora kuliko namba 1?Bruh
Bruh MTU ameingia tano bora ya Urais sio papa kweli? Mtu anamuwazisha mwnyekit na katibu hadi wanamfukuza sio papa?? Tavazali ndugu
Imasemekana uamzi uliosomwa sio walioumua kwenye kamati.hivyo amepata mshituko.Kwani Mangula amepata misukosuko gani mkuu,kwani nimepita mtandaoni nikamwona bosi wake akimwambia mtegemee Mungu.
Tumpe muda anajiandaa kunuka!!, Kwan hata hao waliomfukuza hawakuchukua maamzi hayo siku hiyohiyo. Walitafakari wakaamua juzi, nafikiri anasubiri wambambikizie hizo money laundering ndio aanze kunuka.suala la yeye kufukuzwa ccm alilijua mapema na alitaafuta mlango wakutokea ili awe huru kuisema.
Harufu ikianza mtakuja hapa nakuanza kusema Membe sio Mzalendo mara msaliti auwawe na maneno meeeengi.
Tumuombe Mungu tu watu wawe na busara na hekima haya mambo yawe kimya tu maana mwisho wa siku wahanga ni sisi wananchi.
Kwanza na-declare interest, mimi namsapoti Membe kwenye urais kwa 93%. Membe alimaanisha kibajaji hutumika kama mbeba kinye... hivyo akimgusa atamchachua na kumnukisha! sasa alimpa go ahead kwamba hatishwi nae amchafue tuu hawezi mwogopa kilaza yule!!
Tusipende watu waanguke ingali hawajaikosea nchi hii lolote!! Lowasa,Membe,Sumaye nk hawajaikosea nchi labda walitofautiana na kikundi flani chawatu sio lazima wooote tuwe na mrengo mmoja hata kwenye familia hutokea watu kutofautiana.
Membe ni lipapa kwenye siasa tunataka atulie afanye maamuzi sahihi sio kusukumwa-sukumwa na viluilui wa siasa wanaodandia wasiyoyajua na kujitia wanajua yooote.
Kama ni hilo Mungu wanamchosha,ana mambo mengi ya kufanyaImasemekana uamzi uliosomwa sio walioumua kwenye kamati.hivyo amepata mshituko.
Hate kangi alikula kiapo na kutembea na Ilani ya ccm.
Kama amepanda mema atavuna mema, kama n mabaya vivyohivyo atavuna.Kama ni hilo Mungu wanamchosha,ana mambo mengi ya kufanya