Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Wanaotuchanganya ni wale wasemao "baba paroko.. baba badre yupo?"kwa hiyo 'padre' ni lugha isiyo rasmi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaotuchanganya ni wale wasemao "baba paroko.. baba badre yupo?"kwa hiyo 'padre' ni lugha isiyo rasmi!?
Matokeo yake zinatumika kufanya maangamizi kwa watawa na wachungwao..We acha tu
Una silaha kwenye suruali ila hauitumii ...si habari ndogo
Mwaka 1999 nimemaliza form 4 hapoMwaka gani hiyo boss, na mm nimesoma namupa
Hata huyu wa sasa nae anasema alitaka kuwa Padri ila yakamshinda akavunja dirisha na kutoroka seminari
IGP Sirro nae alikua huko huko kaishia kuwa Polis
Dr Slaa alijaribu kaja kupata mchumba uzeeni🤣🤣
Upadri inaonekana sio kazi ndogo
Katika bible hatuma ofisi ya upari. Hizi ni aina ya huduma za masaidizi katika kujenga mwili wa kristo, ila ndani ya ma padri wapo walio na huduma ndani yao ( huduma za kristo ).Hivi neno padri huwa linamanisha nini, maana nikiangalia kwenye Biblia yote silioni.
JESUS IS LORD.
Umemsahau General Mabeyo[emoji28][emoji28]
Na yeye alitaka kuwa Padri???
Akaishia kuwa mtu wa Intelegensia kweli maisha yanaenda kasi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
biblical Moja kwa moja, Asili yake limetokana na neno pater Likiwa na maana from Spanish ndio likawa Padre, na kitaliano Padres, Likiwa na maana Father. Hii Dini yetu ndo changamoto yake, So watu nao wanatia maneno yao.Hivi neno padri huwa linamanisha nini, maana nikiangalia kwenye Biblia yote silioni.
JESUS IS LORD.
Basi sawaMgombea urais kwa tiketi ya ACT wazalendo mh Bernad Membe amesema wazazi wa hayati Ben Mkapa walitaka mtoto wao awe padri kama wazazi wake yeye walivyotaka Membe awe padri.
Membe amesema Ben Mkapa alikuwa mtu wa dini sana na alilipenda Kanisa licha ya kuwa anatumika siasani.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Inahitaji kuchimba haswaaSio
biblical Moja kwa moja, Asili yake limetokana na neno pater Likiwa na maana from Spanish ndio likawa Padre, na kitaliano Padres, Likiwa na maana Father. Hii Dini yetu ndo changamoto yake, So watu nao wanatia maneno yao.
Nilipenda sana Muslim kuacha Lugha yao ya asili kwenye Imani yao, Imewapunguzia Mgawanyiko(Maana unaielewa kwa usahihi wake toka waandishi wa awali).